Marekani na washirika wake EU wameisaliti Ukraine

Marekani na washirika wake EU wameisaliti Ukraine

There is a famous saying by the former Egyptian president Hosni Mubarak:
"He who is covered by Americans is naked!"[emoji16][emoji16]
IMG_20220614_231504.jpeg
 
Umevimbiwa zako makande unawaza ya Ukraine wakati familia yako inakushinda ediot
 
Unaandika hadithi ndefu ambayo haina hata maana. Tanzania ilipovamiwa na Uganda October 1978 kwa nini Tanzania haikukaa ifanye mazungumzo na Uganda.
 
Marekani na UIngereza wamejifunza kutoka vita vya kwanza na vya pili vya dunia. Huku nyinyi mnaenda kwenye vita yeye anarudi nyuma ndiyo kilichowatokea Russia, Germsny na wenzake ambao walikuwa super power.

Bado hamjamsoma Marekani vizuri, vita vya mihemko huwa hapigani. Ukimuona anaisaidia basi ujue kuna faida anatengeneza.

Vita ni biashara kwa bepari kama Marekani. Vita vya kupigana ili uonekane una nguvu au silaha nzito nchi zinazojielewa hawapigani siku hizi.

Urusi itachukua nchi ile yoye wasiposhituka.
 
Vita ni gharama na ni biashara. Unapigana vita ili uonekane una silaha kali. Nchi za kibepari wameshatoka huko, wanapigana vita biashara. Tunaingia vitani ili nije kuiba mali zako ndicho kilichotokea kwenye nchi zenye mafuta. Watu wameiba mafuta wamejaza kwao, kipindi cha ukoloni wameiba sana mali wameweka kwao.

Tunakoelekea China atamzidi kiuchumi mbali sana Russia.

Marekani wahuni sana, watu tulijua US navy na SWAT wanaingia kazini kama kwenye movie zao lakini kanyuti🤣🤣🤣🤣
 
Vita ni gharama na ni biashara. Unapigana vita ili uonekane una silaha kali. Nchi za kibepari wameshatoka huko, wanapigana vita biashara. Tunaingia vitani ili nije kuiba mali zako ndicho kilichotokea kwenye nchi zenye mafuta. Watu wameiba mafuta wamejaza kwao, kipindi cha ukoloni wameiba sana mali wameweka kwao.
Tunakoelekea China atamzidi kiuchumi mbali sana Russia.
Wote tumeona utofauti WA China na Rusia hasa kwenye hii vita ni vigumu kumtenga Rusia na uchumi WA dunia wote duniani tunalia vitu kupanda sababu ya Rusia Ila China haya maumivu yasingetukuta
 
Siyo kwamba Zelensiky anasalitiwa na nchi za Magharibi,yaani amewekwa na nchi hizo kama kibaraka,kwa hiyo kazi yake ni kuwasikiliza wanasema nini, wala hayupo pale kuisaidia Ukraine.
 
Russia hii vita amekurupuka 100%. Huwezi kutumia nguvu kupigana na ka nchi kadogo km Ukraine. Ni matumizi mabaya ya akili na mali.
Wote tumeona utofauti WA China na Rusia hasa kwenye hii vita ni vigumu kumtenga Rusia na uchumi WA dunia wote duniani tunalia vitu kupanda sababu ya Rusia Ila China haya maumivu yasingetukuta
 
Vita ni gharama na ni biashara. Unapigana vita ili uonekane una silaha kali. Nchi za kibepari wameshatoka huko, wanapigana vita biashara. Tunaingia vitani ili nije kuiba mali zako ndicho kilichotokea kwenye nchi zenye mafuta. Watu wameiba mafuta wamejaza kwao, kipindi cha ukoloni wameiba sana mali wameweka kwao.
Tunakoelekea China atamzidi kiuchumi mbali sana Russia.
Huwezi kuuona uhalisia wa ukubwa wa uchumi wa urusi kupitia data za imf na wb kwa sabab jamaa uchumi wao unaendeshwa kiujasus,

Wamewekeza sana ulaya na marekan kupitia mawakala na ndio maana nato walifanya makadirio ya uchumi wa urusi kupitia data za wb na imf wakidhan kuwa hawatohimili kufadhil vita ya muda mrefu wamejikuta wao ndio hawawez himil kwa sabab data walizonazo si sahih.
 
Back
Top Bottom