Marekani naye ameibuka na tamko dhidi ya Tanzania

Status
Not open for further replies.
Kati yetu na nyie ni rahisi kujua anayenyonywa akanyonyeka, maana nyie pamoja na raslimali nyingi kuzidi nchi zote za Afrika, lakini mpo maskini wa kutupwa hadi mnashia kushindwa na viinchi vidogo na kame kama Kenya.
Ati kenya ni nchi ndogo na kame. Hicho kisingizio chenu cha udogo na ukame ndio maana ni maskini, scarce food, huge inequality etc will flourish and Somedays mtabaki story.
 
Wamempigisha magoti Kim? Cheki ulivyo ndezi. Kim has nuclear weapons na hakuna na amekataa kuamuliwa, kitu alichokiacha ni kurusha makombora, which was rudeness. But hajapigishwa magoti na miungu wenu, ww nishakwambiaga, ni zero
 
Huu ni upuuzi ukisoma tu mistari 6 ya kwanza utajua

MAGUFULI NASIKIA UPO HUMU.MZEE CHAPA KAZI PIA MAKONDA ENDELEA HIVO HIVO NA HILI JAMBO MIMI NAKUCHUKIA MUHESHIMIWA RAIS NA HUA NAKUSEMA VIBAYA MNO HUMU.ILA KATIKA HILI NAIPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA 5
 
KULA MAWE MWENYEWE USITAKE KUSHAWISHI WATU UPUMBAVU.

HAIWEZEKANI NCHI IPOTEZE MABILIONI YA SHILINGI ETI KISA JAMES DELICIOUS.

Hivi bado watu mnafikiria misaada hadi leo?
2018? Really?? You cant work and earn your cash?
Wewe binafsi unajitegemea? Au unasaidiwa?
Halafu watu mnaoandika kwa herufi kubwa namna hii huwa na matatizo kwenye Cognition.
 

Man you are so Ignorant, elimu ya [emoji1139] hufundisha wanafunzi kingereza pekee,
How can a nation selling weapons to Saudi arabia [emoji1210] to torture innocent kids in Yemen [emoji1267] care about human Rights?
By the way, did you know whose behind the mighty al shaabab? Or you thought those AK 47 they use to kill innocent garisa students come from [emoji1156]
 

Unafikiri wananunua kwa favor?? Au they buy those goods because the need them?
Labda tuanzie hapo
 
Wamempigisha magoti Kim? Cheki ulivyo ndezi. Kim has nuclear weapons na hakuna na amekataa kuamuliwa, kitu alichokiacha ni kurusha makombora, which was rudeness. But hajapigishwa magoti na miungu wenu, ww nishakwambiaga, ni zero

Hawa Wakenya wanajua tu kuzungumza Kingereza, nothing else!
 
Reactions: Oii
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…