Marekani: Ndege mbili zagongana angani wakati wa maonesho ya kijeshi

Marekani: Ndege mbili zagongana angani wakati wa maonesho ya kijeshi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Ndege hizo zilikuwa katika maonesho ya Kumbukumu ya Vita ya Pili ya Dunia (WWII) katika Jimbo la Dallas na baada ya tukio hilo zilidondoka chini na kutokea mlipuko mkubwa huku wananchi wakishuhudia.

Haijaweka wazi idadi ya waliokuwemo ndani ya ndege hizo aina ya Boeing B-17 Flying Fortress na Bell P-63 Kingcobra lakini taarifa za awali inadaiwa ni watu sita.

Matukio ya shoo hiyo yamekuwa yakikosolewa kwa miaka kadhaa, kwani mwaka 2011 watu 11 walifariki eneo la Nevada baada ya ndege kuanguka kwa watazamani, Mwaka 2019 ndege ilipata ajali na kuua watu sana.



------------------------=

Two planes collide and crash at WWII airshow in Dallas

Two vintage military planes have collided in midair and crashed during an air show in the US state of Texas.

The collision on Saturday caused the planes to plummet to the ground and explode into a ball of flames, sending black smoke billowing into the sky.

It was not clear how many people were injured or killed.

The incident involved a World War II-era Boeing B-17 Flying Fortress bomber and a Bell P-63 Kingcobra fighter flying at the Wings Over Dallas Airshow at Dallas Executive Airport, according to the Federal Aviation Administration (FAA).

Emergency crews rushed to the site of the crash, airport officials said on Twitter, but it was unclear how many people were on board the two aircraft, the FAA said.

Hank Coates, the president and CEO of the Commemorative Air Force (CAF), a group dedicated to the preservation of World War Two combat aircraft, told a news conference the B-17 typically has a crew of four to five people.

The P-63 is crewed by a single pilot, Coates added, but would not say how many people were on board the aircraft at the time of the crash, nor their name or condition.

News footage from the scene showed crumpled wreckage of the planes in a grassy area inside the airport perimeter.

Dallas Fire-Rescue told The Dallas Morning News that there were no reported injuries among people on the ground.

Anthony Montoya saw the two planes collide.

“I just stood there. I was in complete shock and disbelief,” said Montoya, 27, who attended the air show with a friend. “Everybody around was gasping. Everybody was bursting into tears. Everybody was in shock.”

Investigators with the National Transportation Safety Board will arrive at the scene of the crash in Dallas on Sunday.

Dallas Mayor Eric Johnson said the NTSB had taken control of the crash scene, with local police and fire providing support.

“The videos are heartbreaking,” Johnson said.

Video clips posted on social media captured the incident as it unfolded, showing the fighter plane appearing to fly into the bomber, causing them to quickly crash to the ground and setting off a large ball of fire and smoke.

“It was really horrific to see,” Aubrey Anne Young, 37, of Leander. Texas, who saw the crash. Her children were inside the hangar with their father when it occurred. “I’m still trying to make sense of it.”

Air show safety — particularly with older military aircraft — has been a concern for years. In 2011, 11 people were killed in Reno, Nevada, when a P-51 Mustang crashed into spectators. In 2019, a bomber crashed in Hartford, Connecticut, killing seven people.

The NTSB said then that it had investigated 21 accidents since 1982 involving World War II-era bombers, resulting in 23 deaths.

Source: Aljazeera
 
Bahat mbaya tu hiyo ila n mambo kizamani waachane na huo upuuz mandege yenyeye n Yale ya zaman miaka hiyo
 
Ndege mbili za zamani za Vita vya Pili vya Dunia zimegongana na kuanguka kwenye maonesho ya anga katika jimbo la Texas nchini Marekani.
90301DEC-ED54-4FA2-8391-92D76FBE4E8F.jpeg


Ndege hizo - moja wapo ya Boeing B-17 Flying Fortress - zilikuwa zikishiriki katika maonesho ya anga ya ukumbusho karibu na Dallas.

Haijabainika mara moja ni watu wangapi walikuwa kwenye ndege hizo mbili, lakini waathirika wawili wametajwa.

Chama cha Marubani Washirika, ambacho kinawakilisha marubani wa Shirika la Ndege la Marekani, kilisema Terry Barker na Len Root - wawili wa wanachama wake wa zamani - walikuwa miongoni mwa watu waliofariki katika mgongano huo.

Mamlaka ya Usafiri wa Anga ilisema itachunguza ajali hiyo katika Onyesho la Ndege la Wings Over Dallas siku ya Jumamosi, ambalo linajieleza kuwa onyesho la kwanza la anga la WW2 la Marekani.

Tukio hilo la siku tatu lilikuwa likifanyika kwa heshima ya Siku ya maveterani, ambayo ilikuwa siku ya Ijumaa, na kati ya watu 4,000 na 6,000 walikuwa wakitazama onesho hilo.
423CCB19-A860-4850-95A9-6CD9E296B5AE.png


Meya wa Dallas Eric Johnson aliita "janga baya".
"Video hizo zinavunja moyo," alitweet. "Tafadhali, tuombee roho zilizopaa angani kuburudisha na kuelimisha familia zetu leo."

Idadi ya waliojeruhiwa bado haijathibitishwa, alisema, lakini akaongeza kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa.
Tovuti ya hafla hiyo inasema kuwa ndege kadhaa zilikuwa zimeratibiwa kufanya maandamano ya kuruka juu siku ya Jumamosi.

Ndege ya B-17 ilichukua jukumu kubwa katika kushinda vita vya anga dhidi ya Ujerumani katika WW2.

Ndege ya pili, P-63 Kingcobra, ilikuwa ndege ya kivita iliyotumika katika vita hivyo hivyo, lakini ilitumiwa katika vita tu na Jeshi la Anga la Soviet.
B-17 kawaida huwa na wafanyakazi wa takriban watu wanne hadi watano, wakati P-63 ina rubani mmoja, alisema Hank Coats, kutoka Jeshi la Anga la Kumbukumbu ambalo liliandaa tukio hilo - lakini hakuweza kuthibitisha vifo vyovyote.
"Hili lilikuwa onesho la aina ya ndege ya WW2 ambapo tunaangazia ndege na uwezo wake," aliwaambia wanahabari.
 
Ndege hizo zilikuwa katika maonesho ya Kumbukumu ya Vita ya Pili ya Dunia (WWII) katika Jimbo la Dallas na baada ya tukio hilo zilidondoka chini na kutokea mlipuko mkubwa huku wananchi wakishuhudia.

Haijaweka wazi idadi ya waliokuwemo ndani ya ndege hizo aina ya Boeing B-17 Flying Fortress na Bell P-63 Kingcobra lakini taarifa za awali inadaiwa ni watu sita.

Matukio ya shoo hiyo yamekuwa yakikosolewa kwa miaka kadhaa, kwani mwaka 2011 watu 11 walifariki eneo la Nevada baada ya ndege kuanguka kwa watazamani, Mwaka 2019 ndege ilipata ajali na kuua watu sana.

View attachment 2415286


------------------------=

Two planes collide and crash at WWII airshow in Dallas

Two vintage military planes have collided in midair and crashed during an air show in the US state of Texas.

The collision on Saturday caused the planes to plummet to the ground and explode into a ball of flames, sending black smoke billowing into the sky.

It was not clear how many people were injured or killed.

The incident involved a World War II-era Boeing B-17 Flying Fortress bomber and a Bell P-63 Kingcobra fighter flying at the Wings Over Dallas Airshow at Dallas Executive Airport, according to the Federal Aviation Administration (FAA).

Emergency crews rushed to the site of the crash, airport officials said on Twitter, but it was unclear how many people were on board the two aircraft, the FAA said.

Hank Coates, the president and CEO of the Commemorative Air Force (CAF), a group dedicated to the preservation of World War Two combat aircraft, told a news conference the B-17 typically has a crew of four to five people.

The P-63 is crewed by a single pilot, Coates added, but would not say how many people were on board the aircraft at the time of the crash, nor their name or condition.

News footage from the scene showed crumpled wreckage of the planes in a grassy area inside the airport perimeter.

Dallas Fire-Rescue told The Dallas Morning News that there were no reported injuries among people on the ground.

Anthony Montoya saw the two planes collide.

“I just stood there. I was in complete shock and disbelief,” said Montoya, 27, who attended the air show with a friend. “Everybody around was gasping. Everybody was bursting into tears. Everybody was in shock.”

Investigators with the National Transportation Safety Board will arrive at the scene of the crash in Dallas on Sunday.

Dallas Mayor Eric Johnson said the NTSB had taken control of the crash scene, with local police and fire providing support.

“The videos are heartbreaking,” Johnson said.

Video clips posted on social media captured the incident as it unfolded, showing the fighter plane appearing to fly into the bomber, causing them to quickly crash to the ground and setting off a large ball of fire and smoke.

“It was really horrific to see,” Aubrey Anne Young, 37, of Leander. Texas, who saw the crash. Her children were inside the hangar with their father when it occurred. “I’m still trying to make sense of it.”

Air show safety — particularly with older military aircraft — has been a concern for years. In 2011, 11 people were killed in Reno, Nevada, when a P-51 Mustang crashed into spectators. In 2019, a bomber crashed in Hartford, Connecticut, killing seven people.

The NTSB said then that it had investigated 21 accidents since 1982 involving World War II-era bombers, resulting in 23 deaths.

Source: Aljazeera
What went wrong?
 
Ndege hizo zilikuwa katika maonesho ya Kumbukumu ya Vita ya Pili ya Dunia (WWII) katika Jimbo la Dallas na baada ya tukio hilo zilidondoka chini na kutokea mlipuko mkubwa huku wananchi wakishuhudia.

Haijaweka wazi idadi ya waliokuwemo ndani ya ndege hizo aina ya Boeing B-17 Flying Fortress na Bell P-63 Kingcobra lakini taarifa za awali inadaiwa ni watu sita.

Matukio ya shoo hiyo yamekuwa yakikosolewa kwa miaka kadhaa, kwani mwaka 2011 watu 11 walifariki eneo la Nevada baada ya ndege kuanguka kwa watazamani, Mwaka 2019 ndege ilipata ajali na kuua watu sana.

View attachment 2415286

Hii hapa ilishawekwa na @JanguKamaJangu
Weka clips

------------------------=

Two planes collide and crash at WWII airshow in Dallas

Two vintage military planes have collided in midair and crashed during an air show in the US state of Texas.

The collision on Saturday caused the planes to plummet to the ground and explode into a ball of flames, sending black smoke billowing into the sky.

It was not clear how many people were injured or killed.

The incident involved a World War II-era Boeing B-17 Flying Fortress bomber and a Bell P-63 Kingcobra fighter flying at the Wings Over Dallas Airshow at Dallas Executive Airport, according to the Federal Aviation Administration (FAA).

Emergency crews rushed to the site of the crash, airport officials said on Twitter, but it was unclear how many people were on board the two aircraft, the FAA said.

Hank Coates, the president and CEO of the Commemorative Air Force (CAF), a group dedicated to the preservation of World War Two combat aircraft, told a news conference the B-17 typically has a crew of four to five people.

The P-63 is crewed by a single pilot, Coates added, but would not say how many people were on board the aircraft at the time of the crash, nor their name or condition.

News footage from the scene showed crumpled wreckage of the planes in a grassy area inside the airport perimeter.

Dallas Fire-Rescue told The Dallas Morning News that there were no reported injuries among people on the ground.

Anthony Montoya saw the two planes collide.

“I just stood there. I was in complete shock and disbelief,” said Montoya, 27, who attended the air show with a friend. “Everybody around was gasping. Everybody was bursting into tears. Everybody was in shock.”

Investigators with the National Transportation Safety Board will arrive at the scene of the crash in Dallas on Sunday.

Dallas Mayor Eric Johnson said the NTSB had taken control of the crash scene, with local police and fire providing support.

“The videos are heartbreaking,” Johnson said.

Video clips posted on social media captured the incident as it unfolded, showing the fighter plane appearing to fly into the bomber, causing them to quickly crash to the ground and setting off a large ball of fire and smoke.

“It was really horrific to see,” Aubrey Anne Young, 37, of Leander. Texas, who saw the crash. Her children were inside the hangar with their father when it occurred. “I’m still trying to make sense of it.”

Air show safety — particularly with older military aircraft — has been a concern for years. In 2011, 11 people were killed in Reno, Nevada, when a P-51 Mustang crashed into spectators. In 2019, a bomber crashed in Hartford, Connecticut, killing seven people.

The NTSB said then that it had investigated 21 accidents since 1982 involving World War II-era bombers, resulting in 23 deaths.

Source: Aljazeera
Umeiona Crocodiletooth
 
Watu 11 wanahofiwa kufariki dunia baada ya ajali ya ndege mbili kugongana angani na kuungua moto kwenye maonesho ya WWII huko Dallas Texas Marekani .

Ndege hizo ambazo ni za kizamani ni Boeing B-17 ilikuwa na watu 5 iliyotengenezwa 1930 na nyingine ni Bell P-63 iliyokuwa na watu 6.
 
Back
Top Bottom