Marekani: Rais Biden amteua Jaji mwanamke mweusi katika Mahakama ya Juu

Marekani: Rais Biden amteua Jaji mwanamke mweusi katika Mahakama ya Juu

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Rais wa Marekani, Joe Biden mnamo amemteua Jaji wa Shirikisho Ketanji Brown Jackson kuwa Jaji katika Mahakama Mkuu ya Marekani ambapo atakuwa mwanamke wa kwanza mweusi kujiunga katika mahakama hiyo.

Iwapo ataidhinishwa na Bunge la Seneti, mwanasheria huyu mahiri mwenye umri wa miaka 51 atakuwa jaji wa kwanza mwenye asili ya Afrika katika mahakama hiyo ya juu, ambapo ni wanaume wawili tu weusi ambao wamejiunga na mahakama hiyo hadi sasa.

Ketanji Jackson ambaye ni Jaji katika Mahakama ya Rufaa anakuwa mwanamke wa kwanza mweusi kwenye mahakama hiyo.

Biden anatekeleza ahadi yake ya kampeni ya kuweka historia ya mtu atakayemtangaza kushika nafasi hiyo, na kuongeza sura tofauti kwenye mahakama ambayo imetawaliwa na wanaume wazungu kwa takriban miongo miwili.

"Yeye ni mmoja wa watu wenye akili kuhusiana na masuala ya sheria katika taifa letu," ameandika katika ukurasa wake Biden, jana Ijumaa mchana.


Source: Al Jazeera

=================================
Ketanji Brown Jackson is Biden’s pick for US Supreme Court

President Joe Biden has nominated United States appeals court judge Ketanji Brown Jackson to become the first Black woman to serve on the US Supreme Court.

In nominating a Black woman, Biden is delivering on a 2020 campaign promise to make the historic appointment and to further diversify the US high court that was made up entirely of white men for almost two centuries.

“For too long, our government, our courts, haven’t looked like America,” Biden said, introducing Jackson as his nominee at the White House on Friday afternoon.

“It’s time that we have a court that reflects the full talents and greatness of our nation with a nominee of extraordinary qualifications,” he said.

Jackson, 51, would be the high court’s first former public defender, though she possesses an elite legal background. Jackson would be just the third Black justice in US history and only the sixth woman to serve on the court. Her likely confirmation by the Senate would mean that, for the first time, four women would sit together on the nine-member court.

Biden said Jackson is “one of our nation’s brightest legal minds and will be an exceptional Justice” in his announcement on Twitter.

Jackson would join the liberal minority of a conservative-dominated court that is weighing cutbacks to abortion rights, gun regulations and minority admissions by colleges while allowing states to impose voting rights restrictions.


In brief remarks at the White House, Jackson offered praise and thanks to her family and distinguished jurists she has served with. She twice offered thanks to God and gratitude for blessings bestowed in her life.

“I am truly humbled by the extraordinary honour of this nomination,” Jackson said. “I know that one can only come this far by faith.”

Biden is filling the seat that will be vacated by Justice Stephen Breyer, 83, who is retiring at the end of the term this summer. In replacing Breyer – one of the more liberal justices – Jackson would not tip the balance of the court, which now leans 6-3 in favor of conservatives.

Jackson once worked as one of Breyer’s law clerks early in her legal career. She attended Harvard as an undergraduate and for law school, and served on the US Sentencing Commission, the agency that develops federal sentencing policy, before becoming a federal judge in 2013.

Jaji.jpg
 
Rais Joe Biden wa Marekani amemteua mwanamke wa kwanza mweusi kuwa jaji wa Mahakama ya Juu kabisa nchini humo.

Ketanji Jackson ambaye ni jaji katika Mahakama ya Rufaa anakuwa mwanamke wa kwanza mweusi kwenye mahakama hiyo ambayo awali ilitangaza kwamba hastahili kupata uraia wa nchi hiyo kutokana na rangi ya ngozi yake na hivyo kuidhinisha ubaguzi.

Biden anatekeleza ahadi yake ya kampeni ya kuweka historia ya mtu atakayemtangaza kushika nafasi hiyo, na kuongeza sura tofauti kwenye mahakama ambayo imetawaliwa na wanaume wazungu kwa takriban miongo miwili.

Iwapo ataidhinishwa atakuwa mwanamke wa sita kuhudumu kwenye mahakama hiyo. Hatua hiyo itamaanisha kwamba kwa mara ya kwanza majaji wanne wanawake watakuwa miongoni mwa jopo la majaji tisa.
 
... majaji huko Marekani wanastaafu at 83? At that age wanaweza kuamua kesi ngumu kama ya Mbowe credibly kweli?
 
Hamna Cha maana. Russia amewashinda wanatafuta spinning.
 
Marekani ilipata uhuru make 1776 yaani Leo ndio anapatikana jaji mweusi mwanamke baada ya Miaka 255 anyway something is better than nothing .Wanahubiri usawa wa kijinsia wakati wao inawachukua miaka 255 kupata jaji mahakama ya juu mwanamke wa kwanza mwafrika mweusi

They preach what they don't practice
 
Ketanji Jackson ambaye ni jaji katika Mahakama ya Rufaa anakuwa mwanamke wa kwanza mweusi kwenye mahakama hiyo ambayo awali ilitangaza kwamba hastahili kupata uraia wa nchi hiyo kutokana na rangi ya ngozi yake na hivyo kuidhinisha ubaguzi.
Kitu gani kinawalazimisha kukaa huko?
Rudini huku tujenge afrika yetu
 
Back
Top Bottom