Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Hiwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Ndio imeshatokeaWacha uongo wewe!!! Huo ubavu wa kumuondoa balozi wa US atautoa wapi!? 😳😳😳
Ndio imeshatokea
Hiki kingereza cha LumumbaWamepata Balozi mpya mteule. Wright kamaliza muda wake anasepa.
Aje huyu pasta atupatie injili.
View attachment 1902177
Ndio.Hiki kingereza cha Lumumba
Niko USAID jikoni USA iko pamoja Mandela...soon kitaeleweka udikteta tupa kulee....Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.
Uongo utakusaidia nini wewe kikongwe ?Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.
Hana kibarua tena😂😂Balozi aliyekuwa anagonga mhindi wa Iringa juzi Kati?
Kabisa. Hii ni political appointment ambapo Biden anaweka watu wataoendeleza ajenda yake. Mchakato wa kumpata ulianza zamani.Unahisi MulaMula hajahusika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaahOga paka mafuta ya kula lala ya dunia waachie wakubwa
Pumbafu Kabisa weweHii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kitendo kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.
Achana na hayo aikili yake inaishia kwenye TOZO lumumba kijiwe cha kahawa....Kabisa. Hii ni political appointment ambapo Biden anaweka watu wataoendeleza ajenda yake. Mchakato wa kumpata ulianza zamani.
Amandla...
hata Tanzania hufanya hivyo.Usilolijua ni usiku wa giza.
Unafikiri USA wanapeleka mabalozi au uubalozi ni cheo cha hisani au zawadi ya ustaafu kwa wazee??
Asilimia 95% ya mabalozi wa US huwa majasusi na wako pale kuserve interest za kiuchumi, kiusalama,kijamii na kiutawala kwa upande wa US so usifikiri wanakuja kimakosa au ni okota okota inafanyika
SawaKila Rais wa Marekani huwa anapenda kuweka mabalozi wake. Wright ni daktari wa binadamu na aliteuliwa na Trump. Hakuwa career diplomat. Jana Biden ametangaza watu wake kwa ajili ya Tanzania, China na Japan. Mulamula hahusiki katika mabadiliko haya.
Amandla ...
Wright alipitishwa kuwa balozi 2020 kwa hiyo hajakaa sana. Kwa sababu alikuwa ni balozi wa kisiasa basi inabidi ampishe mtu wa Biden. Hamna cha muda kuisha.Ndoto yako haitatimia. It is a day dream. You are a day dreamer. Na akitoka ni kama Masilingi na Slaa walivyotoka huko walikokuwa. Muda wao kuisha.
Kila Rais wa Marekani huwa anapenda kuweka mabalozi wake. Wright ni daktari wa binadamu na aliteuliwa na Trump. Hakuwa career diplomat. Jana Biden ametangaza watu wake kwa ajili ya Tanzania, China na Japan. Mulamula hahusiki katika mabadiliko haya.
Amandla ...
Mkuu mbona umeweka font ya kindezi...?Wamepata Balozi mpya mteule. Wright kamaliza muda wake anasepa.
Aje huyu pasta atupatie injili.
View attachment 1902177