Marekani: Rais Biden apanga kuwateua mabalozi wapya kwa Tanzania, China na Japan

Marekani: Rais Biden apanga kuwateua mabalozi wapya kwa Tanzania, China na Japan

Una akili kweli wewe? Kuna mada ya kujadili hapa? Upuuzi huu ndio unataka watu wajadili. Wright (Republican) anaondoka kwa sababu Biden (Democratic) analeta Balozi wake. Sasa Mulamula anaingiaje hapa? Huko CCM kazi kweli kweli! Kiswahili chenyewe huyo Mulamula hawezi kuongea.
Niletee orodha ya mabalozi wa USA na itikadi zao.yaani mabalozi 20 walikuwa republican na sasa wanabadilishwa.
Think...my friend
 
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kitendo kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.
Ukiona hivyo ujue mission aliyotumwa kufanya Tanzania ilishakamilika.

Huyu nae kaja na mission yake.

I believe USA pia iko behind ya kifo cha the late......... Sababu alikua threat sana.
 
Narudia tena acha KUKURUPUKA ná kuja humu kuandika uongo na juha wewe ukajiona umeleta mada ya kujadiliwa. Ujinga wako peleka kwa wapuuzi wenzio lumumba siyo humu. Humu tutakuchapa za uso tu.
Endelea kujikweza kwa madogo...mimi ni mkongwe humu nimekusoma muda mrefu.jirekebishe upuuzi wako wafanyie wasiokujua sio mimi.boya wewe
 
Ukiona hivyo ujue mission aliyotumwa kufanya Tanzania ilishakamilika.

Huyu nae kaja na mission yake.

I believe USA pia iko behind ya kifo cha the late......... Sababu alikua threat sana.
Hakuna cha mission wala nini.Liberata MulaMula kamlipua ,sio kwamba namkubali sana MulaMula ila kwa hili lazima nimtambue
 
Ukongwe wa kuandika UJINGA!? 🤣🤣🤣🤣 kukwambia UKWELI kuhusu UZUSHI wako wa balozi kuondolewa na huyo liberatus si upuuzi. Kuwa mkongwe humu si RUKHSA au TICKET ya kuandika ujinga. Kama hujui kitu uliza ZWAZWA!!!


Endelea kujikweza kwa madogo...mimi ni mkongwe humu nimekusoma muda mrefu.jirekebishe upuuzi wako wafanyie wasiokujua sio mimi.boya wewe
 
Ntaibuka nikupasua Linda zaidi na Zaidi
Linda ndio nini...mimi nakuchania Rinda na underware.kajifunze lugha ndio uje kujibu ..hata ubwabwa wa shingo haujakutoka.
Usiniletee kwere mazee nime-bang JF muda kitambo...twende kazi!
 
Ukongwe wa kuandika UJINGA!? 🤣🤣🤣🤣 kukwambia UKWELI kuhusu UZUSHI wako wa balozi kuondolewa na huyo liberatus si upuuzi. Kuwa mkongwe humu si RUKHSA au TICKET ya kuandika ujinga. Kama hujui kitu uliza ZWAZWA!!!
come unto ya sense ....hoja ikiletwa uache ujuha kalulu.ukiona nimepost usije kichwakichwa.usione tumechill ukatuchukulia poa.Next time ukiona nimeleta thread behave!!
 
Hakuna hoja hapa wewe ZWAZWA!!! Kuandika UZUSHI wako humu usilazimishe kuwa ni hoja. KAMWE uzushi hauwezi kuwa hoja peleka kwa wapuuzi wenzio lumumba kule itakuwa hoja siyo humu.

come unto ya sense ....hoja ikiletwa uache ujuha kalulu.ukiona nimepost usije kichwakichwa
 
Ubishi wa kitoto huu. Okay, Mulamula amemfukuza Wright. Akili ya kijinga...
Niletee orodha ya mabalozi wa USA na itikadi zao.yaani mabalozi 20 walikuwa republican na sasa wanabadilishwa.
Think...my friend
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hakuna hoja hapa wewe ZWAZWA!!! Kuandika UZUSHI wako humu usilazimishe kuwa ni hoja. KAMWE uzushi hauwezi kuwa hoja peleka kwa wapuuzi wenzio lumumba kule itakuwa hoja siyo humu.
Upuuzi kwako na mabwana wako wa kinondoni manyanya..let the thinkers digest and comment
 
Acha kujifanya unanijua pimbi wewe!!! Kwa kuwa babaako anafanya huo ujuha kisha akakufundisha na wewe unadhani kila mtu anafanya!? Eti jadili hoja!!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tangu lini uongo/uzushi ukawa ni hoja ZWAZWA WEWE!!!?
Upuuzi kwako na mabwana wako wa kinondoni manyanya..let the thinkers digest and comment
 
Acha kujifanya unanijua pimbi wewe!!! Kwa kuwa babaako anafanya huo ujuha kisha akakufundisha na wewe unadhani kila mtu anafanya!? Eti jadili hoja!!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tangu lini uongo/uzushi ukawa ni hoja ZWAZWA WEWE!!!?
Nakujua kwa post zako humu JF na umeonekana kuwa kinara wa kutukana watu humu.sasa be informed sio kila mtu humu ni nyumbu kama wewe na leo umeingia kiumeni nitakukeketa bila ganzi
 
Acha uongo wewe,Balozi aliopo Lizima angeondoka kama ataondoka kwani huyu alitokana na.chama.cha Tramp-Repuplican n sasa kimeshinda chqma kingine wanaweka safu yao ikiwemo mabalozi
 
Back
Top Bottom