Marekani: Rais Biden apanga kuwateua mabalozi wapya kwa Tanzania, China na Japan

Marekani: Rais Biden apanga kuwateua mabalozi wapya kwa Tanzania, China na Japan

Acha ujinga nimekwambia tafuta nyuzi yangu yoyote ile ambayo niliandika ujinga kama huu wa kwako SIKURUPUKI kuja kuandika upumbavu humu. Ni ukinitusi siwezi kunyamaza.
Nakujua kwa post zako humu JF na umeonekana kuwa kinara wa kutukana watu humu.sasa be informed sio kila mtu humu ni nyumbu kama wewe
 
Hakuna cha mission wala nini.Liberata MulaMula kamlipua ,sio kwamba namkubali sana MulaMula ila kwa hili lazima nimtambue
You believe Tanzania inaweza kumuendesha USA kwenye namna ya uendeshaji wa propaganda?
 
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kitendo kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.
Utapendeza sana ukiajiriwa na mpiga ramli chonganishi
 
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kitendo kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.
Utapendeza sana ukiajiriwa na mpiga ramli chonganishi
 
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kitendo kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.
Utapendeza sana ukiajiriwa na mpiga ramli chonganishi
 
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kitendo kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.
Utapendeza sana ukiwa mpiga ramli chonganishi
 
Mpuuzi wewe!!! Huyo balozi ni wa chama cha Republicans aliteuliwa na Trump. Biden anatakiwa ateue Mabalozi kutoka chama chake cha Democrats ili kuwakilisha USA katika nchi mbali mbali duniani, lakini mpuuzi wewe huelewi hilo unakuja humu na kuonyesha ujuha wako hadharani. 😳😳😳😳 muwe mnauliza kabla ya KUKURUPUKA.
Mbeba mabox na muosha wazee huko majuu katika ubora wako!!!!
 
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu.
Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA Tanzania kutokana na kitendo cha ubalozi kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi kitendo kilicholalamikiwa na Serikali ya Tanzania.

Nadhani wewe utakuwa huijui vizuri Marekani. As long as hutishii interests za Marekani, you can be a terrorist all you want; taji la ugaidi halitakuhusu!

Hapa duniani ni nani amewahi kufadhili operations hatari zaidi za kigaidi kuliko Marekani? Pengine huzijui vizuri historia za watu kama Osama bin Laden na Saddam Hussein.

Kwa uchache, Marekani ndiye alikuwa mfadhili number one wa operations za Osama bin Laden wakati ule wa vita vya USSR na Afghanistan. Osama bin Laden hakuvikwa taji la terrorist mpaka alipogeuka kuwa threat kwa interests za Marekani!

Kwahiyo, kufikiria kuwa Marekani inaweza kutilia maanani tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe ni kujidanganya tu. Labda kama kuna ushahidi wa Mbowe kutishia interests za Marekani mahali popote pale. Na kama ushahidi wa namna hiyo ungekuwepo, Ayatollah Mbowe sasa hivi angekuwa kwenye mahabusu ya Guantanamo Bay![emoji23]
 
hata Tanzania hufanya hivyo.
Jifunze zaidi
Aliyekudanganya ni nani??

Hujui ubalozi ni asilimia kubwa ni hisani ya wastaafu au zawadi kwa wanandugu?

Hao mabalozi unaowasema ndio wanaoenda na kuwa kama watalii huko nchi inakua kama haina uwakilishi?

Ungekuwa unakaa nje ndio ungeelewa ninachokisema! Tunawaona watu wakiwa na shida kadha wa kadha ila wakienda ubalozini hakuna msaada wa maana wanaopewa ! Hapa sizungumzii msaada wa kipesa.
 
..tz ikimfukuza balozi wa marekani na wao watamfukuza balozi wetu.

..na lazima tukio hilo lingeripotiwa ktk vyombo vya habari.

..haiwezekani kabisa tukio hilo likafanyika kwa siri.
Mkuu umemjibu vyema huyu pengine tu tumkumbushe kwa kumbukumbu zangu ni around 2016 baada ya yule balozi wa US kuondoka , US ilimleta "muwakilishi" kukaimu walikuja kumleta mtu kama balozi zaidi ya mwaka kupita , pengine kutokua na exposure ndio tatizo kwa watanzania wengi !

Ndio maana akiwa Tanzania kupanda ndege inaonekana kama ni anasa haishangazi kuona watu wanavunja shughuli za msingi eti wanaandaa sherehe ya kwenda kupokea ndege mpya
 
Kwa hiyo unahisi JPM wa USA kamtumbua balozi wa Tanzania kisa kesi ya Mbowe????!!!Unaumwa Mbowesis Gaidiosis sarcoma!!!!
 
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania.

Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu...
Anaondoa Makapi ya Trump yaliyokuwa yanamuunga mkono Jiwe na ukatili wake.
 
Kila Rais wa Marekani huwa anapenda kuweka mabalozi wake. Wright ni daktari wa binadamu na aliteuliwa na Trump. Hakuwa career diplomat. Jana Biden ametangaza watu wake kwa ajili ya Tanzania, China na Japan. Mulamula hahusiki katika mabadiliko haya.

Amandla ...
Uongozi wa Trump umeishisha Heshima ya Marekani. Kaingi Biden Taliban wameshinda.
 
Back
Top Bottom