Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amekutana na kufanya mazungumzo na mkurugenzi wa taasisi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na HIV hasa kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ya Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation, Charles Lyons.
EGPAF iliasisiwa mwaka 1988 na taarifa za mwisho zilizo kwa umma zinaonesha mwaka 2014 ilikuwa mapato na matumizi ya dola milioni 126 kwenye nchi 17.
EGPAF iliasisiwa mwaka 1988 na taarifa za mwisho zilizo kwa umma zinaonesha mwaka 2014 ilikuwa mapato na matumizi ya dola milioni 126 kwenye nchi 17.