Marekani Sasa inatia huruma juu ya mzozo wa Ukraine, kauli za Joe Biden ni za kukata tamaa na hofu

Marekani Sasa inatia huruma juu ya mzozo wa Ukraine, kauli za Joe Biden ni za kukata tamaa na hofu

Nafuatilia kila kinachojiri ila kila nikiingia jamiiforums naona watetezi wa Marekani wanaongea ujinga tu huku wameweka pamba masikioni...

Katika maswala ya kijeshi kuna mistari Urusi akikiwekea usijaribu kuivuka!
Yes, kumbuka hata wakati wa Rais Trump, Rais Putin alimwambia mmewashughulikia Iraq na Libya nimewaacha huku nikijua manafanya makosa. Akasema Safari hii mikitaka kumshughulikia Syria na Venezuela nitaingilia kati tena kwa nguvu zangu zote!
 
Marekani Ina nguvu nyingi Sana za kiuchumi na za kijeshi, na Ina washirika wenye nguvu Sana. Joe Biden ana hekima Sana, hana shida ya kutunisha misuli ili kujionesha kuwa ana nguvu. Atapata faida gani? Dunia s itaangamia. Unapokuwa unatatua jambo tumia hekima sio hisia.

Silaha zake zina kazi gani?
 
Baadae Joe anahutubia Taifa Kuhusu hii issue ya Russia, kiukweli US anaionea huruma hiyo Russia.

Na wewe unaweza kucheka,angalia hizi kejeli zenye ukweli Kuhusu Russia 😆😆

Screenshot_20220223-173713.png
 
Unarahisisha duh eti Russia atapigwa na Marekani.
Kwenye hili Kuna kitu hiki Cha Vita ya us na Russia Kiitwacho mutual destruction ikiwa na maana rahisi ya kutokupatkana kwa mshindi was Vita hi lakini kuangamia kwa mataifa hayo na dunia nzima
Saizi atapigwa na vikwanzo kwanza afu waone

Screenshot_20220223-173713.png
 
Zifuatazo ni kauli za Joe Biden na viongozi wengine baada ya kuona mzozo wa Ukraine na Urusi ni kina kirefu kwa Marekani kuvuka.

1-Marekani haitapeleka majeshi Ukraine!

2-Raia wa Marekani waondoke Ukraine Sasa!

3-Raia wa Marekani waondoke Ukraine mara moja kwani Marekani haitapeleka majeshi kuwachukua/kuwaokoa!

4-Mambo yanaweza kwenda hovyo haraka huko ukrain hivyo wamarekani waondoke haraka

5-Urusi ikiivamia Ukraine isahau mradi wake wa Bomba la gesi,yaani watafunga koki,

6-Na kauli kubwa kuliko zote iliyonishangaza ni hii:

- "Tunadili na moja ya jeshi kubwa Sana hapa duniani Sio magidi".

Nikikumbuka mwanzo.

Tulikua tunaambiwa kwamba .

"Safari hii wanamwacha tu ajaribu kuivamia Ukraine wampe kichapo"

Sasa nchi inayotegemewa kutoa kichapo imesema hitapeleka majeshi,sio tu kupigana na Urusi, bali pia hata kupeleka majeshi kuwaokoa Raia wake. Aaisee hii sio Marekani ninayoijua Mimi.

Marekani kupitia rais wake anawaambia Raia wake walioko Ukraine kuwa "Tunadili na moja ya jeshi kubwa Sana hapa dunianii,Urusi so magaidi,ondokeni haraka Sana huko Ukraine, hatutamuma wanjeshi kuja kuwaokoa",

Sishabikii Vita ila Kuna vitu lazima tuviangalie kwa pande zote.

Kwa kifupi Ukraine na Wa Europe ndo washatoswa hivyo na mzee mzima.

Marekani watoto wa mjini hawatakagi ujinga kashawauzia wenzie mbuzi kwenye gunia yeye mwenyewe kala Kona.

Nimekuwekea hapo chini taarifa za BBC, Al Jazeera, New York times na Forbes. Kuona jinsi mzee mzima Marekani alivyowaachia msala wenzake.

BBC
Ukraine tensions: Joe Biden says US citizens should leave Ukraine now

Al jazeera
It’s not like we’re dealing with a terrorist organisation. We’re dealing with one of the largest armies in the world. It’s a very different situation and things could go crazy quickly,” he added.

Biden also repeated that under no circumstances would he send US troops to Ukraine, even to rescue US citizens in case of a Russian invasion.

“That’s a world war. When Americans and Russians start shooting one another, we’re in a very different world,” he said.

‘Military action may commence at any time’
His comments came as the US State Department, in a travel note updated on Thursday, advised citizens to leave Ukraine and urged those who remain to exercise caution due to “potential combat operations should Russia take military action”.

“Do not travel to Ukraine due to the increased threats of Russian military action and COVID-19; those in Ukraine should depart now via commercial or private means,” the advisory said.

There are four levels of US warning, the lowest being “exercise normal precautions”.

Ukraine is already at the highest “do not travel” level because of COVID-19 and tensions with Russia. But for US citizens already in Ukraine, the previous advisory said they “should consider departing” from the country.

New York Times

Biden Warns U.S. Won’t Send Troops to Rescue Americans in Ukraine

“American citizens should leave, should leave now,” the president said in an NBC interview, adding that rescues in a conflict zone during a Russian invasion would risk “world war.”

Forbes
That’s A World War’: Biden Says He Won’t Send Troops To Help Americans Evacuate Ukraine
Zachary Snowdon Smith
Forbes Staff
Business
I cover breaking news for Forbes

TOPLINE
President Joe Biden confirmed in an NBC interview Thursday the United States will not send troops to Ukraine to help evacuate Americans if Russia invades, warning a U.S. presence could spark “a world war,” one day after the White House reportedly approved a plan to use U.S. troops in neighboring Poland to help Americans flee Ukraine.

KEY FACTS
Biden told NBC anchor Lester Holt he hopes Russian President Vladimir Putin is “smart enough” not to harm American citizens even if he’s “foolish enough” to invade, and he wants to avoid an evacuation scenario that could lead to clashes between American and Russian troops.
Aache uoga🤣
 
Zifuatazo ni kauli za Joe Biden na viongozi wengine baada ya kuona mzozo wa Ukraine na Urusi ni kina kirefu kwa Marekani kuvuka.

1-Marekani haitapeleka majeshi Ukraine!

2-Raia wa Marekani waondoke Ukraine Sasa!

3-Raia wa Marekani waondoke Ukraine mara moja kwani Marekani haitapeleka majeshi kuwachukua/kuwaokoa!

4-Mambo yanaweza kwenda hovyo haraka huko ukrain hivyo wamarekani waondoke haraka

5-Urusi ikiivamia Ukraine isahau mradi wake wa Bomba la gesi,yaani watafunga koki,

6-Na kauli kubwa kuliko zote iliyonishangaza ni hii:

- "Tunadili na moja ya jeshi kubwa Sana hapa duniani Sio magidi".

Nikikumbuka mwanzo.

Tulikua tunaambiwa kwamba .

"Safari hii wanamwacha tu ajaribu kuivamia Ukraine wampe kichapo"

Sasa nchi inayotegemewa kutoa kichapo imesema hitapeleka majeshi,sio tu kupigana na Urusi, bali pia hata kupeleka majeshi kuwaokoa Raia wake. Aaisee hii sio Marekani ninayoijua Mimi.

Marekani kupitia rais wake anawaambia Raia wake walioko Ukraine kuwa "Tunadili na moja ya jeshi kubwa Sana hapa dunianii,Urusi so magaidi,ondokeni haraka Sana huko Ukraine, hatutamuma wanjeshi kuja kuwaokoa",

Sishabikii Vita ila Kuna vitu lazima tuviangalie kwa pande zote.

Kwa kifupi Ukraine na Wa Europe ndo washatoswa hivyo na mzee mzima.

Marekani watoto wa mjini hawatakagi ujinga kashawauzia wenzie mbuzi kwenye gunia yeye mwenyewe kala Kona.

Nimekuwekea hapo chini taarifa za BBC, Al Jazeera, New York times na Forbes. Kuona jinsi mzee mzima Marekani alivyowaachia msala wenzake.

BBC
Ukraine tensions: Joe Biden says US citizens should leave Ukraine now

Al jazeera
It’s not like we’re dealing with a terrorist organisation. We’re dealing with one of the largest armies in the world. It’s a very different situation and things could go crazy quickly,” he added.

Biden also repeated that under no circumstances would he send US troops to Ukraine, even to rescue US citizens in case of a Russian invasion.

“That’s a world war. When Americans and Russians start shooting one another, we’re in a very different world,” he said.

‘Military action may commence at any time’
His comments came as the US State Department, in a travel note updated on Thursday, advised citizens to leave Ukraine and urged those who remain to exercise caution due to “potential combat operations should Russia take military action”.

“Do not travel to Ukraine due to the increased threats of Russian military action and COVID-19; those in Ukraine should depart now via commercial or private means,” the advisory said.

There are four levels of US warning, the lowest being “exercise normal precautions”.

Ukraine is already at the highest “do not travel” level because of COVID-19 and tensions with Russia. But for US citizens already in Ukraine, the previous advisory said they “should consider departing” from the country.

New York Times

Biden Warns U.S. Won’t Send Troops to Rescue Americans in Ukraine

“American citizens should leave, should leave now,” the president said in an NBC interview, adding that rescues in a conflict zone during a Russian invasion would risk “world war.”

Forbes
That’s A World War’: Biden Says He Won’t Send Troops To Help Americans Evacuate Ukraine
Zachary Snowdon Smith
Forbes Staff
Business
I cover breaking news for Forbes

TOPLINE
President Joe Biden confirmed in an NBC interview Thursday the United States will not send troops to Ukraine to help evacuate Americans if Russia invades, warning a U.S. presence could spark “a world war,” one day after the White House reportedly approved a plan to use U.S. troops in neighboring Poland to help Americans flee Ukraine.

KEY FACTS
Biden told NBC anchor Lester Holt he hopes Russian President Vladimir Putin is “smart enough” not to harm American citizens even if he’s “foolish enough” to invade, and he wants to avoid an evacuation scenario that could lead to clashes between American and Russian troops.
ita ni mbaya tena huyo usiiombe kwa binadamu yoyote duniani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu alivyo mpuuzi sasa anawaambia anawaombea wa ukraine baada ya kuwaingiza matatani
 
Timu America mnalipi la kusema tuliwambia Russia nitidhio kipindi cha vita ya Syria mkasema hana kitu subiri tuone ni umbwa gani ataenda kubweka Russia wote wataufyata kwani wanajua jamaa atakuwa anapiga moja kwa moja wakizingia anawasha Nuke.
 
Marekani Ina nguvu nyingi Sana za kiuchumi na za kijeshi, na Ina washirika wenye nguvu Sana. Joe Biden ana hekima Sana, hana shida ya kutunisha misuli ili kujionesha kuwa ana nguvu. Atapata faida gani? Dunia s itaangamia. Unapokuwa unatatua jambo tumia
Kiukweli Urusi ikiingia kazini lazima upate hekima hata ya kukopa maana usipokuwa na hekima utachakaa.
 
Russia hana cha kupoteza. Uchumi wake wa kichovu. Watu kwenye nchi nyingi duniani wakipewa option ya wapi wakatafute maisha Kati ya nchi hizo mbili unajua wapi watapochagua.

Hata wale Pro-Russia
Baada ya Putin kuwazabua ndo mmegundua sasa hivi kwamba mna maisha mazuri tulieni mshikishwe adabu
 
Biden ana akili, anajua anachofanya urusi hata yeye angefanya kama angekuwa urusi.

Pia anatambua ukubwa wa maafa kwa dunia iwapo atachagua kupambana kiuita na urusi kwani wote wana nukilia.
 
Biden ana akili, anajua anachofanya urusi hata yeye angefanya kama angekuwa urusi.

Pia anatambua ukubwa wa maafa kwa dunia iwapo atachagua kupambana kiuita na urusi kwani wote wana nukilia.
Mtu kazidiwa kete tu.......akili ndo wamezipata leo....huko kwa wakina iraq, syria , Iibya walikua vichaa?
 
Baadae Joe anahutubia Taifa Kuhusu hii issue ya Russia, kiukweli US anaionea huruma hiyo Russia.

Na wewe unaweza kucheka,angalia hizi kejeli zenye ukweli Kuhusu Russia 😆😆

View attachment 2128714
Hizi kejeli Sasa zimetuonesha halihalisi kua west si lolote so chochote kwa uchumi wao wa kwenye makaratasi.
Viwanda Sasa vimeanza kufungwa na watu wao wameanza kuandamana.
Pia matumizi ya Kuni yaanza upya Huku Urope.
 
Hahahahah! Dah imenibidi nicheke kwanza!

Russia Russian Russia nimekuita mara tatu, utazidi kuwa mshindi
Unaishabikia nchi inayoharibia wenzake maisha yao??
Kweli ipo kama hata kwenu mko kama warusi ukiona jirani anaendelea mnaenda kumfungia koki zote anabaki maskini usishabikie mateso ya mtu ni mbaya
 
Back
Top Bottom