Marekani: Trump atishia kufunga mitandao ya kijamii nchini Marekani

KINACHONISHANGAZA WATU WENGI HUKU KWETU BADO WANADHANI Eti MATAIFA YA MAGHARIBI YAPO KTK DEMOKRASIA KWA ASILIMIA MIA !! HAYA SASA MNAONA ?
Demokrasia ni nini?
Trump anatukanwa kwenye mitandao ya kijamii kuliko anavyotukanwa Rais yeyote duniani and he's doing nothing to them.
.
Trump anasemwa vibaya mno na Dems na wala hajawapiga pin wasiendelee na campaigns zao wala chochote kwa kisingizio cha uchumi Hivi Tanzania nini kinaendelea?
.
Trump alitaka kuondolewa madarakani na Dems na alituliza mshono. hivi Tanzania unaweza kuthubutu kutaka kumuondoa Magu kwanza hiyo sheria ipo?
.
Kwenye air times za media Dems wanafanya watakavyo, hivi Tanzania wanaweza kuthubutu kufanya haya?
.
kumkosoa mfalme wa Tanzania ni jinai, kumkosoa Trump ni kama kunywa chai na mkate.
 
Amina.

Social media sio publishing media.

Kazi ya kuhariri maoni ya watu ni ujuha wa kiwango cha juu sana.
Likazi la JF hilo na walivyo wa ajabu hatuna hata uwezo wa ku-edit heading tu ahahaha.
.
Kuna mdau kasema JF ni sawa na ITV tu
 
This idiot and loon duh,kweli tunatofautiana kufikiri.
 
Kumbe Trump angekuwa na id hapa JF ingekuwa kisanga
 
Hiyo Executive Order aliyosign ni kama takataka tu, hakuna Mmarekani mwenye akili timamu ataitambua hiyo takataka, hakuna taasisi yoyote nchini Marekani itakayoitii hiyo takataka wala chombo chochote nchini Marekani kitakachoitekeleza hiyo amri takataka. Ni mtu mjinga tu na mwendawazimu anayeweza kuwaza kufanya kitendo kama hicho na hii imeonesha huyo Rais alivyo mtupu kichwani.
 
Mkuu haya unaandika ukiwa unafikiria sawasawa ama uko maji? Kwamba rais aagize watu wasitekeleze?

Nipe mfano wa executive order ambayo rais aliwahi kusaini na hakuna mtu wala taasisi hata moja iliyokataa kutekeleza.

Mitandao ya kijamii iliyotangaza kwenda mahakamani kuipinga hiyo takataka ni wajinga? Si wangeacha takataka ijifie yenyewe huko?
 
Watu hawajui tu, hii hali ya watu kuhariri content ya post ya mtu inakers sana. Iliwahi kunitokea humu JF, nilipost comment baadaye nikaona kuna mtu ameni wuote nikipokwenda kusima nikahisi kuna mtu ame hack account yangu, kwani kile nilicho post nikskuta kimehaririwa na kwa jinsi aliyeni quote alivyinielewa mimi nikashindwa kujibu maana yupo sahihi ku quote vile kulingana junsi uhariti ulivyofanyika
 
Mkuu haya unaandika ukiwa unafikiria sawasawa ama uko maji? Kwamba rais aagize watu wasitekeleze?
Labda aliyekuwa maji ni huyo Rais wa Marekani kwani mamlaka hayo hana. Mitandao ya kijamii inalindwa na sheria zilizo juu ya uwezo wake. Rais wa Marekani si mungu-mtu kama huyu wa kwetu TZ na hayuko juu ya sheria. Alichofanya ni usanii tu.
 
Mleta mada umegeuza ukweli wa kilichotokea.

Actually alichokifanya Trump ni kutaka mitandao mikubwa iache tabia za kufuta maoni ya watu, kupiga ban watu hovyo na kujifanya kufact check watu.

Kasema hayo makampuni yamepewa leseni kama platforms ya watu kurusha maoni yao na siyo Editorial boards zenye opinion maalum, kasema kama yanaanza kuwa kama bodi za uhariri basi yakaombe leseni yatambulike hivyo.

Siku hizi Youtube imekuwa ikifanyia censoring maoni ya watu sana, kuwafungia kurusha content zao, Na hichi ndicho Trump amekizuia kupitia hiyo Executive order.

Muwe mnafuatilia vitu kiundani kabla ya kukurupuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…