Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,389
- 2,366
Demokrasia ni nini?KINACHONISHANGAZA WATU WENGI HUKU KWETU BADO WANADHANI Eti MATAIFA YA MAGHARIBI YAPO KTK DEMOKRASIA KWA ASILIMIA MIA !! HAYA SASA MNAONA ?
Trump anatukanwa kwenye mitandao ya kijamii kuliko anavyotukanwa Rais yeyote duniani and he's doing nothing to them.
.
Trump anasemwa vibaya mno na Dems na wala hajawapiga pin wasiendelee na campaigns zao wala chochote kwa kisingizio cha uchumi Hivi Tanzania nini kinaendelea?
.
Trump alitaka kuondolewa madarakani na Dems na alituliza mshono. hivi Tanzania unaweza kuthubutu kutaka kumuondoa Magu kwanza hiyo sheria ipo?
.
Kwenye air times za media Dems wanafanya watakavyo, hivi Tanzania wanaweza kuthubutu kufanya haya?
.
kumkosoa mfalme wa Tanzania ni jinai, kumkosoa Trump ni kama kunywa chai na mkate.