Marekani: Urusi ikitumia Nyuklia tutaingilia kati moja kwa moja

Marekani: Urusi ikitumia Nyuklia tutaingilia kati moja kwa moja

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mshauri wa Masuala ya Usalama wa Marekani, Jake Sullivan ametoa kauli hiyo baada ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin kunukuliwa akigusia uwezekano wa Nchi yake kutumia silaha hizo katika vita dhidi ya Ukraine.

Sullivan hajafafanua ni kwa namna gani watajibu mapigo moja kwa moja lakini amesema wamekuwa wakiwasiliana na Urusi siku chache zilizopita kuhusu maamuzi ya vitisho ya Putin.


--------------------------------

Jake Sullivan: US will act ‘decisively’ if Russia uses nuclear weapons in Ukraine

The United States would respond decisively to any Russian use of nuclear weapons against Ukraine and has spelled out to Moscow the "catastrophic consequences" it would face, U.S. National Security Adviser Jake Sullivan said on Sunday.

Sullivan's remarks represented the latest American warning following the thinly veiled nuclear threat made by Vladimir Putin last Wednesday in a speech in which the Russian president also announced his country's first wartime military mobilization since World War Two

"If Russia crosses this line, there will be catastrophic consequences for Russia. The United States will respond decisively," Sullivan told NBC's "Meet the Press" program.

Sullivan did not describe the nature of the planned U.S. response in his comments on Sunday but said the United States has privately to Moscow "spelled out in greater detail exactly what that would mean." Sullivan said that the United States has been in frequent, direct contact with Russia, including during the last few days to discuss the situation in Ukraine and Putin's actions and threats.

U.S. President Joe Biden in a speech at the United Nations General Assembly in New York on Wednesday accused Putin of making "overt nuclear threats against Europe" in reckless disregard for nuclear nonproliferation responsibilities.

Russia also is staging a referendum in four eastern Ukrainian regions with the goal of annexing territory that Russian forces have taken during their invasion of Ukraine launched in February. Ukraine and its allies have called the referendums a sham designed to justify an escalation of the war and Putin's mobilization drive after recent battlefield losses.

By incorporating the areas of Luhansk, Donetsk, Kherson and Zaporizhzhia into Russia, Moscow could portray attacks to retake them as an attack on Russia itself, a warning to Ukraine and its Western allies.

After suffering setbacks on the battlefield, Putin is mobilizing 300,000 troops while also threatening to use "all available means" to protect Russia.

"This is not a bluff," Putin said in the remarks viewed on the world stage as a threat on the potential use of nuclear weapons.

Sullivan said on Sunday: "Putin remains intent ... on wiping out the Ukraine people that he does not believe have a right to exist. So he's going to keep coming and we have to keep coming with weapons, ammunition, intelligence and all the support we can provide."
Jake Sullivan: US will act ‘decisively’ if Russia uses nuclear weapons in Ukraine

America and its allies will act “decisively” if Russia uses a tactical nuclear weapon in Ukraine, US national security adviser Jake Sullivan said on Sunday, reaffirming the Joe Biden White House’s previous response to mounting concerns that Vladimir Putin’s threats are in increased danger of being realized.

“We have communicated directly, privately and at very high levels to the Kremlin that any use of nuclear weapons will be met with catastrophic consequences for Russia, that the US and our allies will respond decisively, and we have been clear and specific about what that will entail,” Sullivan told CBS’s Face The Nation.

Sullivan said that the Russian leader Putin had been “waving around the nuclear card at various points through this conflict”, and it was a matter that Biden’s administration has “to take deadly seriously because it is a matter of paramount seriousness – the possible use of nuclear weapons for the first time since the second world war”.

In a separate interview with CBS, Ukraine president Volodymyr Zelenskiy said he was not certain that Putin was bluffing with nuclear threats. “Maybe yesterday it was bluff. Now, it could be a reality,” he said. “He wants to scare the whole world.”

The administration’s security chief said that Russia’s nuclear threat against Ukraine, including extending its nuclear umbrella over eastern parts of the country that are still being contested seven months after its invasion, would not deflect the US and its allies.

“We will continue to support Ukraine in its efforts to defend its country and defend its democracy,” Sullivan said, pointing to more than $15bn in weapons, including air defense systems, hundreds of artillery pieces and rounds of artillery, that the US has supplied to Ukraine.

He said that Moscow’s mobilization of troops was a “sham referenda in the occupied regions” that would not deter the US. “What Putin has done is not exactly a sign of strength or confidence – frankly, it’s a sign that they’re struggling badly on the Russian side,” Sullivan said.

But, Sullivan added, it is “too soon to make comprehensive predictions” about a collapse of Russian forces.

“I think what we are seeing are signs of unbelievable struggle among the Russians – you’ve got low morale, where the soldiers don’t want to fight. And who can blame them because they want no part of Putin’s war of conquest in their neighboring country?”

Sullivan continued: “Russia is struggling, but Russia still remains a dangerous foe, and capable of great brutality.” He alluded to mass burial sites containing hundreds of graves that Ukrainian forces found after recapturing Izium from Russia and said, “We continue to take that threat seriously.”

He added that the US, the International Atomic Agency and Ukraine nuclear regulators are working together to ensure there is no “melt-down” at the Zaporizhzhia nuclear plant in eastern Ukraine.

The Russians, he said, had been “consistently implying that there may be some kind of accident at this plant”.

Reactors at the plant, Sullivan said, had been put into “cold storage” to “try to make sure there is no threat posed by a melt-down or something else at the plant. But it’s something we all have to keep a close eye on.”

Separately, Sullivan said US criticism of a crackdown on mounting protests in Iran after the death in police custody of 22-year-old Mahsa Amini would not affect the administration’s offer to lift sanctions on Iran as part of the effort to reach a deal on nuclear enrichment.

“The fact that we are in negotiations with Iran on its nuclear program is in no way impacting our willingness and our vehemence in speaking out about what has been happening on the streets of Iran,” he said.

Last week, Biden told the General Assembly of the United Nations in New York that “we stand with the brave citizens and the brave women of Iran who right now are demonstrating to secure their basic rights”. The US president’s remarks came shortly after a defiant speech by Iranian President Ebrahim Raisi.

In his remarks on Sunday, Sullivan said the US had taken “tangible steps” to sanction the morality police who caused the death of Mahsa Amini.



“We’ve taken steps to make it easier for Iranians to be able to get access to the internet and communications technologies to talk to one another and talk to the world and we will do all that we can to support the brave people, the brave women, of Iran,” Sullivan said.

But Sullivan refused to be drawn out on whether the US would change its policy on lifting sanctions in exchange for a nuclear deal in light of the protests.

“We’re talking about diplomacy to prevent Iran from ever getting a nuclear weapon,” he said. “If we … succeed …, the world, America and its allies will be safer.”

But the pursuit of a nuclear deal, Sullivan said, “would not stop us in any way from pushing back and speaking out on Iran’s brutal repression of its citizens and its women. We can and will do both.”

Source: The guardian
 
If Russia crosses this line, there will be catastrophic consequences for Russia. The United States will respond decisively

Wa Tanzania wamekuwa obsessed sana na hii ishu ya Russia - Ukraine conflict kuliko hata wahusi wenyewe.

US wanazungumzia kwamba kutakuwa na Catastrophic consequences . Wewe unabadili maneno na kusema kwamba US wamesema wataingilia moja kwa moja.

Sasa unakaa unajiuliza, hivi kweli wewe una akili timamu? Maana unachoandika sicho kilichosemwa.

Ndio maana wa Kenya wanaendelea kutukana wa Tanzania kwamba Watanzania hawana akili
 
If Russia crosses this line, there will be catastrophic consequences for Russia. The United States will respond decisively

Wa Tanzania wamekuwa obsessed sana na hii ishu ya Russia - Ukraine conflict kuliko hata wahusi wenyewe.

US wanazungumzia kwamba kutakuwa na Catastrophic consequences . Wewe unabadili maneno na kusema kwamba US wamesema wataingilia moja kwa moja.

Sasa unakaa unajiuliza, hivi kweli wewe una akili timamu? Maana unachoandika sicho kilichosemwa.

Ndio maana wa Kenya wanaendelea kutukana wa Tanzania kwamba Watanzania hawana akili
Kabisa mkuu
 
If Russia crosses this line, there will be catastrophic consequences for Russia. The United States will respond decisively

Wa Tanzania wamekuwa obsessed sana na hii ishu ya Russia - Ukraine conflict kuliko hata wahusi wenyewe.

US wanazungumzia kwamba kutakuwa na Catastrophic consequences . Wewe unabadili maneno na kusema kwamba US wamesema wataingilia moja kwa moja.

Sasa unakaa unajiuliza, hivi kweli wewe una akili timamu? Maana unachoandika sicho kilichosemwa.

Ndio maana wa Kenya wanaendelea kutukana wa Tanzania kwamba Watanzania hawana akili
Sasa Nkuba, mimi naona kama umekasirika sana bila sababu za msingi, hadi kuhoji sanity ya mleta mada!

Mimi nataka nikuulize wewe ku "respond decisively" maana yake nini?
 
If Russia crosses this line, there will be catastrophic consequences for Russia. The United States will respond decisively

Wa Tanzania wamekuwa obsessed sana na hii ishu ya Russia - Ukraine conflict kuliko hata wahusi wenyewe.

US wanazungumzia kwamba kutakuwa na Catastrophic consequences . Wewe unabadili maneno na kusema kwamba US wamesema wataingilia moja kwa moja.

Sasa unakaa unajiuliza, hivi kweli wewe una akili timamu? Maana unachoandika sicho kilichosemwa.

Ndio maana wa Kenya wanaendelea kutukana wa Tanzania kwamba Watanzania hawana akili
Tuanzie hapo Kwanza wewe ni ke yaani Kenya au me yaani Tanzania........maana kujifanya Una akili nyingi uku Tu hao alishabab mashoga Tu wanakugonga 3x a day......Una kunya kunya kuhusu my lovely country Tanzania
 
If Russia crosses this line, there will be catastrophic consequences for Russia. The United States will respond decisively

Wa Tanzania wamekuwa obsessed sana na hii ishu ya Russia - Ukraine conflict kuliko hata wahusi wenyewe.

US wanazungumzia kwamba kutakuwa na Catastrophic consequences . Wewe unabadili maneno na kusema kwamba US wamesema wataingilia moja kwa moja.

Sasa unakaa unajiuliza, hivi kweli wewe una akili timamu? Maana unachoandika sicho kilichosemwa.

Ndio maana wa Kenya wanaendelea kutukana wa Tanzania kwamba Watanzania hawana akili
Wewe ndiyo una shida sasa hapa,kwamba unajiona umezaliwa Buckingham palace unajua sana lugha ya Malkia kuliko wengine hadi uwatolee lugha ya madharau.Wewe toa ulichoelewa tu lakini kujifanya ni mzaliwa wa Windsor na kuwatolea kejeli wengine ni udhaifu mkubwa katika kujenga hoja zako.
 
Sasa Nkuba, mimi naona kama umekasirika sana bila sababu za msingi, hadi kuhoji sanity ya mleta mada!

Mimi nataka nikuulize wewe ku "respond decisively" maana yake nini?
Jamaa anatokwa povu bila sababu ya msingi,nilitegemea aje na hoja za maana lakini kaishia kutuletea mbwembwe za Baba zetu waliosoma darasa la nane la mkoloni waliokuwa wako proud kuijua lugha ya Malkia zaidi kuliko sisi tuliosoma St Kayumba za Julius Nyerere.Lakini kwa hoja ya maana ya kuhusu hii mada hakuna cha maana alichoongea
 
Jamaa anatokwa povu bila sababu ya msingi,nilitegemea aje na hoja za maana lakini kaishia kutuletea mbwembwe za Baba zetu waliosoma darasa la nane la mkoloni waliokuwa wako proud kuijua lugha ya Malkia zaidi kuliko sisi tuliosoma St Kayumba za Julius Nyerere.Lakini owa hojanya maana ya kuhusu hii mada hakuna cha maana alichoongea
Umepotea kidogo Da' Nyamizi, kwema lakini?

Huyu ndugu yetu Nkuba ni aidha haelewi vizuri hiyo lugha ama anapotosha makusudi.
Ku respond decisively, maana yake ni kumjibu Urusi, ni sawa tu na kuingilia kati.

Nimeshangaa ametumia maneno makali na yasiyo na staha kwa mleta mada.
 
Wewe ndiyo una shida sasa hapa,kwamba unajiona umezaliwa Buckingham palace unajua sana lugha ya Malkia kuliko wengine hadi uwatolee lugha ya madharau.Wewe toa ulichoelewa tu lakini kujifanya ni mzaliwa wa Windsor na kuwatolea kejeli wengine ni udhaifu mkubwa katika kujenga hoja zako.
Wa Kenya ndio wanawadharau wa Tanzania kwa sababu ya maujinga ya watanzania, kama huyu mleta hii thread.

Na ujinga haujifichi.
 
Umepotea kidogo Da' Nyamizi, kwema lakini?

Huyu ndugu yetu Nkuba ni aidha haelewi vizuri hiyo lugha ama anapotosha makusudi.
Ku respond decisively, maana yake ni kumjibu Urusi, ni sawa tu na kuingilia kati.

Nimeshangaa ametumia maneno makali na yasiyo na staha kwa mleta mada.
Nipo Kaka yangu,wakati mwingine unajaribu kuwa mpole na kujaribu kujifunza kwa wengine kwa kusoma tu comments zao.Lakini mwisho wa siku unaona hakuna cha maana zaidi ya mbwembwe za watu kujitia wanajua zaidi lugha ya Malkia kuliko hata mada yenyewe.
 
Wali sema hivyo hivyo Urusi iki vamia Ukraine. Ila wapiiii
 
Wa Kenya ndio wanawadharau wa Tanzania kwa sababu ya maujinga ya watanzania, kama huyu mleta hii thread.

Na ujinga haujifichi.
Bado hujadhihirisha umakini wako wa kutoa hoja zaidi ya majivuno yasiyo na maana ya 'kuijua lugha ya malkia' kuliko wengine.Toa hoja tukuelewe Mkuu haya mengine ya kujua lugha ama la achia watoto wa primary watambiane.
 
Nipo Kaka yangu,wakati mwingine unajaribu kuwa mpole na kujaribu kujifunza kwa wengine kwa kusoma tu comments zao.Lakini mwisho wa siku unaona hakuna cha maana zaidi ya mbwembwe za watu kujitia wanajua zaidi lugha ya Malkia kuliko hata mada yenyewe.
Yeah, ni kweli.
 
Back
Top Bottom