Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,290
- 1,123
Wako juu ya taifa lako la kimaskini la Tanzania siyo Russia babu acha umaku hilo kombora limewasumbua sana wamefeli karibia mara tatu unaweza kuta uongoHii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Unafkiri iraq hiyo waende hao USA kama wana ubavuPutin hana tofaut na Sadam, kuna kipind Sadam alisema atiangamiza dunia kama wakiendelea kumchokonoa, mwishowe yaliyomkuta?
Mungu hatoki kijijini kwako mkuu.Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
Mbona umepanic jibu hoja we makalioUshoga ndio unaona dhambi tuu,unavyozin na mademu ,huon dhambi,umewatia watoto wa watu mimba wakazitoa huon dhambi,ila ushoga ndio unaona dhambi ,unakoishi kwenyewe mashoga wamejaa,Fanya kampen basi tujue wewe mwanaharakati jasir
Wazee wa upinde kumbe mkitetea marekani mnajidai taifa lilochaguliwa huwaga mnamaanisha uchafu wenu [emoji23][emoji23], kwa laana hii Mungu hatowaacha aseeacha ushoga
Wewe ndo una matatizo kitu hujui unabisha iUna matatizo wewe nikuache tuu
Kumbe warusi ni wadau wakubwa wa kupakua marinda yaani mashoga pia ?wanajua kuwa mrusi akijua ni mwendo wa kupakuliwa
Ndiyo maana nimesema Kwa mtazamo wangu mdogo Ila Kwa nyie wenye mawazo tofauti na Mimi siwez kupiga maoni yenuKiongozi umetumia eneo gani la mwili wako kuwaza haya?
Mara tano zaidi ya sauti, sio mwanga.Acha uongo wewe bangi ,hakuna silaha yoyote inazid spid ya mwanga ,hi mi pro.Russia ya manzese bwana ukishabwia madude ndio unatupia comment na smart phone za wizi
Huku kwenye maandiko nimeona wengi watashangaa Ila kiukweli ni sahihi kabisaa kimaandiko hili taifa lilitabiriwa kwenye kitabu cha ufunuoSio mtazamo wako boss ni mtazamo wa maandiko
Ni kwasababu wengi wao watakuwa wameathirika na hiyo tabia.Ni sawa na mwizi anavyokuwaga muda wote ana wasi wasi akiamini walioko karibu yake ni wezi kama yeye,au Mchawi anavyokuwa anawatuhumu majirani zake kuwa ni wachawi.[emoji115]
Nyamizi Jackal Frank Wanjiru Tsh Coco Master
T14 Armata
dudus
MK254 Yoda britanicca ...jibuni hili swali ?
Ushasema laser... Laser means light beam au kwa kiswahili tunaita mwale. Nijuavyo Mimi silaha za laser ni laser guided weapons yaani mahali a laser beam itakapoPinpont basi hapo ndipo hit itafanyika preciselyHapo nilimaanisha speed of sound sio light lakini kuna silaha zipo za lasers ambazo zinasafiri speed of light
Hapa kwetu zanzibar mkuu mbona wapo wa kutosha na hujasemea mzee babadudus, Hizo ni porojo zako, Putin harusu ushoga, kama mashoga huwaga wanakimbia na kwenda kuomba hifadhi Europe, nyinyi mashoga mna shida sana kwakweli, mnapata wapi ujasiri wa kuingiliana wanaume kwa wanaume ??
👆
Nyamizi Jackal Frank Wanjiru Tsh Coco Master
T14 Armata
dudus
MK254 Yoda britanicca ...jibuni hili swali ?
Sababu wanasapoti ushoga we haiwezekani Kila mada zenye mantiki mtoto wa kiume unaunganishia habari za Ushoga.....ujue kiafrika hatunaga hata kuzungumzia sabab we don't acceptKwanini Warusi wa Buza wakishindwa hoja hukimbilia ushoga?
Silaha za laser Kwa sasa zipo za kuharibu uono wa MTU yaani kuharibu macho Kwa miozi mikali lakini silaha za laser za kuharibu targets Kwa mionzi mikali wanasema bado wanahangaikia kuzitengenezaUshasema laser... Laser means light beam au kwa kiswahili tunaita mwale. Nijuavyo Mimi silaha za laser ni laser guided weapons yaani mahali a laser beam itakapoPinpont basi hapo ndipo hit itafanyika precisely
Acheni kishabikia mambo ya kipuuzi, eti marekani ni taifa lililochaguliwa na Mungu, Mungu gani huyo, laana mnazozifanya alaf mnamshirikisha Mungu [emoji23], au Mungu wa pauloSababu wanasapoti ushoga we haiwezekani Kila mada zenye mantiki mtoto wa kiume unaunganishia habari za Ushoga.....ujue kiafrika hatunaga hata kuzungumzia sabab we don't accept
Sasa unakuta Mrusi wa Buza STRUGGLE MAN kicha ni story za ushoga na michambo badala ya content we unadhani Kuna mtu hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kwa upuuzi wenu huu mlioletewa na wazungu tuwaachie tu hivihivi alaf mnasema ni taifa lilichaguliwa na Mungu, yaani Mungu achague taifa lenye laana mnazozifanya [emoji23][emoji23][emoji16], AstaghfirullahView attachment 2228625
Ukiona mtu anataja taja ujue hilo jambo lake lipo ndani kabisa kwenye vinasaba vya ubongo.
Ukiona mtu anakomaa na ushoga na udini Dah we kilaza kweli [emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kwa upuuzi wenu huu mlioletewa na wazungu tuwaachie tu hivihivi alaf mnasema ni taifa lilichaguliwa na Mungu, yaani Mungu achague taifa lenye laana mnazozifanya [emoji23][emoji23][emoji16], Astaghfirullah
Mungu kiokoe hiki kizazi kimeposhwa sana
Ivi mtakwenda kujibu nn mbele ya Muumba kwa kukubali kunajisiana??
Je mnajua kesho qiama kuna hukumu
Teh teh teh ngoja matusiPutin hana tofaut na Sadam, kuna kipind Sadam alisema atiangamiza dunia kama wakiendelea kumchokonoa, mwishowe yaliyomkuta?