Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Wako juu ya taifa lako la kimaskini la Tanzania siyo Russia babu acha umaku hilo kombora limewasumbua sana wamefeli karibia mara tatu unaweza kuta uongo
 
Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
Mungu hatoki kijijini kwako mkuu.

Unaposema marekani imeua watu kumbuka wewe ndo unasema hivyo,ila kwa Mungu hasemi kwamba wamwrekani ndio wameua watu.
MUNGU atamhukumu yule aliyefanya tukio tu na sio wamarekani wote.

Kwa hiyo usidhani kwamba Mungu ni mpumbavu sana awaporomoshe wamarekani kwa juhudi zao na wananchi kulipa kodi kisa tu kuna wapumbavu wachache wanaua watu.

Usidhani kwamba Mungu anatoka kijijini kwenu kiasi kwamba wapuuzi wachache walitumia atomic bom alafu mungu akawaangamiza wamarekani wote hata ambao hhawakubariki na kuhusika na huo upuuzi ?

Mungu hatoshi shamba ya kwenu,na Mungu sio mshamba kama wewe,Mungu hana roho ya visasa.

Mungu anamuadhibu aliyefanya tukio tu na Mungu hana hasira za kupaniki na kuwatia wasiokuwemo.

Kama raisi kaingia madarakani akafanya mauaji Mungu sio mpuuzi kama wewe kiasi kwwmba aliangushe taifa zima la marekani eti kisa maamuiz ya raisi mmoja mpuuzi aliyeamua kuua watu ?

Ni sawa na mtu aseme kwqmba utawala fulani wa tqnzania wananchi walikufa,wakawekwa kwenye viroba,uchaguzi kura zinaibiwa,hakuna demokrasia why Nchi haijapigwa laana ?

Jawabu ni kuwa kuna watu wengi hawabariki mambo hayo na Hao Mungu pia anawaangalia.

Acha kuwaza huo upuuzi Kuhusu Mungu,huyo Mungu unayemdhania wewe ni Mungu wako wa maboksi na wala sio mungu huyu wa rehema na huruma.
 
Ushoga ndio unaona dhambi tuu,unavyozin na mademu ,huon dhambi,umewatia watoto wa watu mimba wakazitoa huon dhambi,ila ushoga ndio unaona dhambi ,unakoishi kwenyewe mashoga wamejaa,Fanya kampen basi tujue wewe mwanaharakati jasir
Mbona umepanic jibu hoja we makalio
 
Acha uongo wewe bangi ,hakuna silaha yoyote inazid spid ya mwanga ,hi mi pro.Russia ya manzese bwana ukishabwia madude ndio unatupia comment na smart phone za wizi
Mara tano zaidi ya sauti, sio mwanga.
Tumvumilie mrusi wa uwanja wa fisi huyo amejikwaa ulimi!
 
Hapo nilimaanisha speed of sound sio light lakini kuna silaha zipo za lasers ambazo zinasafiri speed of light
Ushasema laser... Laser means light beam au kwa kiswahili tunaita mwale. Nijuavyo Mimi silaha za laser ni laser guided weapons yaani mahali a laser beam itakapoPinpont basi hapo ndipo hit itafanyika precisely
 
dudus, Hizo ni porojo zako, Putin harusu ushoga, kama mashoga huwaga wanakimbia na kwenda kuomba hifadhi Europe, nyinyi mashoga mna shida sana kwakweli, mnapata wapi ujasiri wa kuingiliana wanaume kwa wanaume ??
Hapa kwetu zanzibar mkuu mbona wapo wa kutosha na hujasemea mzee baba
 
images - 2022-05-03T090516.979.jpeg

Ukiona mtu anataja taja ujue hilo jambo lake lipo ndani kabisa kwenye vinasaba vya ubongo.
 
Kwanini Warusi wa Buza wakishindwa hoja hukimbilia ushoga?
Sababu wanasapoti ushoga we haiwezekani Kila mada zenye mantiki mtoto wa kiume unaunganishia habari za Ushoga.....ujue kiafrika hatunaga hata kuzungumzia sabab we don't accept

Sasa unakuta Mrusi wa Buza STRUGGLE MAN kicha ni story za ushoga na michambo badala ya content we unadhani Kuna mtu hapo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushasema laser... Laser means light beam au kwa kiswahili tunaita mwale. Nijuavyo Mimi silaha za laser ni laser guided weapons yaani mahali a laser beam itakapoPinpont basi hapo ndipo hit itafanyika precisely
Silaha za laser Kwa sasa zipo za kuharibu uono wa MTU yaani kuharibu macho Kwa miozi mikali lakini silaha za laser za kuharibu targets Kwa mionzi mikali wanasema bado wanahangaikia kuzitengeneza
 
Sababu wanasapoti ushoga we haiwezekani Kila mada zenye mantiki mtoto wa kiume unaunganishia habari za Ushoga.....ujue kiafrika hatunaga hata kuzungumzia sabab we don't accept

Sasa unakuta Mrusi wa Buza STRUGGLE MAN kicha ni story za ushoga na michambo badala ya content we unadhani Kuna mtu hapo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni kishabikia mambo ya kipuuzi, eti marekani ni taifa lililochaguliwa na Mungu, Mungu gani huyo, laana mnazozifanya alaf mnamshirikisha Mungu [emoji23], au Mungu wa paulo
 
View attachment 2228625
Ukiona mtu anataja taja ujue hilo jambo lake lipo ndani kabisa kwenye vinasaba vya ubongo.
Yaani kwa upuuzi wenu huu mlioletewa na wazungu tuwaachie tu hivihivi alaf mnasema ni taifa lilichaguliwa na Mungu, yaani Mungu achague taifa lenye laana mnazozifanya [emoji23][emoji23][emoji16], Astaghfirullah

Mungu kiokoe hiki kizazi kimeposhwa sana

Ivi mtakwenda kujibu nn mbele ya Muumba kwa kukubali kunajisiana??

Je mnajua kesho qiama kuna hukumu
 
Yaani kwa upuuzi wenu huu mlioletewa na wazungu tuwaachie tu hivihivi alaf mnasema ni taifa lilichaguliwa na Mungu, yaani Mungu achague taifa lenye laana mnazozifanya [emoji23][emoji23][emoji16], Astaghfirullah

Mungu kiokoe hiki kizazi kimeposhwa sana

Ivi mtakwenda kujibu nn mbele ya Muumba kwa kukubali kunajisiana??

Je mnajua kesho qiama kuna hukumu
Ukiona mtu anakomaa na ushoga na udini Dah we kilaza kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom