Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Uko sahihi kabisa mahali popote lazima kuwe na kiongozi,dunia Kwa ujumla kuongozi ni marekani Kwa sasa,,siku za nyuma hata tangu Enzi za biblia walikuwepo TAIFA kiongozi,bila marekani yangeibuka mataifa kulazimisha wote kufuata dini zao,kufuata Siasa zao,kufuata mifumo Yao ya kiuchumi.n.k
 
dudus, Hizo ni porojo zako, Putin harusu ushoga, kama mashoga huwaga wanakimbia na kwenda kuomba hifadhi Europe, nyinyi mashoga mna shida sana kwakweli, mnapata wapi ujasiri wa kuingiliana wanaume kwa wanaume ??
 
Halafu anavyoongea utadhani hao anaowashabikia hakuna mashoga. Russia imeruhusu ushoga hadi age 14 wanaweza kupakuana kama kawaida.
Hao ni wanaume wa wa NATO lakini Urusi hakuna huo upuuzi kama unaweza thibitisha! Kama mnapakuana at 14 yrs ni huko kwenu NATO msipakazie wengine na ndo maana USA kapeleka jeshi Somali tena kwa mbwembwe na dunia inajua lakini kwa wanaume kule Urusi wanapeleka silaha lakini siyo wanajeshi na wakiwapeleka ni wakati wa usiku wa manane maana wanajua kuwa mrusi akijua ni mwendo wa kupakuliwa marinda
 
Nilijua tu unatetea ushoga, je unajua mm naishi wapi, usitete ushoga kijana sisi waafrika hatuna desturi za kufirana, Laana ya Mungu ikutangulieni mashoga
Kuchinja watu na kujilipua mabomu ufe na wengi bila kujali watoto na wakubwa ni dhambi ndogo ila ushoga ndio kubwa

Kwani Ushoga kwa mara ya kwanza Afrika ulilipotiwa kusambazwa hasa na wafanyabiashara waarabu na yapo maandishi yanayoelezea jinsi Hadi mtawala wa Buganda alivyoanza funzwa na wafanyabiashara hao waarabu

Hivi ni uongo kwamba hakuna sehemu iliyojaa mambo hayo kama uarabuni

Hauna tofauti na wale wanaohalalisha dhambi kubwa na ndogo dhambi ni dhambi tu
 
Kuchinja watu na kujilipua mabomu ufe na wengi bila kujali watoto na wakubwa ni dhambi ndogo ila ushoga ndio kubwa

Kwani Ushoga kwa mara ya kwanza Afrika ulilipotiwa kusambazwa hasa na wafanyabiashara waarabu na yapo maandishi yanayoelezea jinsi Hadi mtawala wa Buganda alivyoanza funzwa na wafanyabiashara hao waarabu

Hivi ni uongo kwamba hakuna sehemu iliyojaa mambo hayo kama uarabuni

Hauna tofauti na wale wanaohalalisha dhambi kubwa na ndogo dhambi ni dhambi tu
Nakupa home work, Toka nenda marekani kaseme mm ni shoga naomba ukimbizi alaf hapohapo toka nenda arabuni kaseme tena mm ni shoga naomba ukimbizi[emoji23][emoji23]
 

Itakumbukwa kwamba Putin alisema hii ni silaha ambayo haipo katika taifa lolote isipokuwa Russia, nadhan sasa yametimia​

Al Jazeera English

The United States Air Force says it has conducted a successful test of a hypersonic weapon, which flew at five times the speed of sound.

The test was conducted on Saturday off the coast of Southern California when a B-52 bomber released an Air-launched Rapid Response Weapon (ARRW), the Air Force said in a statement on Monday.

US says it conducted a successful hypersonic weapon testView attachment 2228170
Mbona china kajaribu mwaka jana hadi wamarekani wakatetemeka kwa walichoshuhudia.
 
Wanasema marekani ndio mtu wa kwanza [emoji1] wanasahau Russia na china washajaribu kitambo tena Russia yeye kajaribu kwenye operation ikapiga handaki la silaha kabisa[emoji848][emoji1]
Kabisa yaani, Urusi kashajaribu sana hizo vitu, China alipojaribu marekani mwenyewe alipiga kelele
 
Nakupa home work, Toka nenda marekani kaseme mm ni shoga naomba ukimbizi alaf hapohapo toka nenda arabuni kaseme tena mm ni shoga naomba ukimbizi[emoji23][emoji23]
Tatizo kubwa utakapoenda jitangaza STRUGGLE MAN kuwa wewe ni shoga Marekani utakubaliwa kwa uwazi uarabuni hayo mambo yanafanyika chinichini

Yaani ni sawa kujionesha kwa nje huu msafi wakati ndani umeoza
 
Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Sio mtazamo wako boss ni mtazamo wa maandiko
 
MMbona Jim
L

Itakumbukwa kwamba Putin alisema hii ni silaha ambayo haipo katika taifa lolote isipokuwa Russia, nadhan sasa yametimia​

Al Jazeera English

The United States Air Force says it has conducted a successful test of a hypersonic weapon, which flew at five times the speed of sound.

The test was conducted on Saturday off the coast of Southern California when a B-52 bomber released an Air-launched Rapid Response Weapon (ARRW), the Air Force said in a statement on Monday.

US says it conducted a successful hypersonic weapon testView attachment 2228170
Mbona kama imelipuliwa kutokea kwenye banda la nguruwe.
 
Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
Acha mihemko... Unatatalika kama mabisi vip?
 
Back
Top Bottom