Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
We ndo mpuuzi na mjinga kati ya mataifa 10 yote au dola lililo wahi kutokea duniani ambalo halikuwahi kumwaga Damu?
 
Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Hata Israel inakataaa hapa kwa mipango ya Mungu mwenyewe?
 
Silaha zinazotembea Kwa spidi za mwanga .lasers zenyewe ni mwanga pia.
FB_IMG_16529500430885165.jpg
 
Silaha za laser Kwa sasa zipo za kuharibu uono wa MTU yaani kuharibu macho Kwa miozi mikali lakini silaha za laser za kuharibu targets Kwa mionzi mikali wanasema bado wanahangaikia kuzitengeneza
Tunazichoma hizo targets kwa mionzi[emoji23][emoji23]
FB_IMG_16529500430885165.jpg
 
Haijawahi kutokea mmalekani akafanikiwa kuiunda vyema hili bomu, ninauhakika Hilo walilorusha kwa majaribio ni feki!! chuma original kipo Russia kinapumua tu!! ni batani tu ndo imekosa mtu wa kui press ,chombo iamshe Hadi Whitehouse [emoji573]! na siku ikiamsha hiyo chombo hakiyanani Biden ,atakata pumzi hata kabla ya chombo haijatua .
Yaani ww uwazidi akili na maarifa wataalamu na wanasayansi wa hali ya juu wa Marekani wakati hata components of bullet theoretically hujuhi ni zipi. Jitathmini.
 
Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Pamoja na maelezo yako mazuuri lakini ulichokielewa ni kinyume cha uhalisia
 
Putin hana tofaut na Sadam, kuna kipind Sadam alisema atiangamiza dunia kama wakiendelea kumchokonoa, mwishowe yaliyomkuta?
Sadam alipiga calculations vibaya, alitakiwa kuwana nuclear kwanza, Putin bila nuclear angekuwa hadithi tuu
 
Kumbe ndo wanatesti alafu ya urusi inaenda mara 5 mpaka 25 ya mwanga
Mara 5 hadi 25 ya mwanga..!! Hakuna kombora kama hilo, haijatokea na haitakaa itokee mpaka mwisho wa dahari.

Do you know the speed of light..?? Light from a stationary source travels at 300,000 km/sec 186,000 miles/sec.

Nendeni darasani haya mambo hamuwezi kuyapata madrassat. Never.
 

Itakumbukwa kwamba Putin alisema hii ni silaha ambayo haipo katika taifa lolote isipokuwa Russia, nadhan sasa yametimia​

Al Jazeera English

The United States Air Force says it has conducted a successful test of a hypersonic weapon, which flew at five times the speed of sound.

The test was conducted on Saturday off the coast of Southern California when a B-52 bomber released an Air-launched Rapid Response Weapon (ARRW), the Air Force said in a statement on Monday.

View attachment 2228487
Duuu inamaana alishazidiwa na Korea?
 
of course, wakati mwingine huwa waongo tu, hakuna success yeyote kwenye hizo silaha ila wanamrusha roho adversary aamini wako vizuri na kwasababu hili ni suala la siri sana, adui anabaki na kihoro, ni mojawapo ya silaha pia. kumtia woga adui ni mojawapo ya silaha.
 
Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Haki vile wewe ni shoga kabisa!
 
Back
Top Bottom