George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Kiranga kuna mtu anataka kutudanganya huku, njoo utusaidie.Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiranga kuna mtu anataka kutudanganya huku, njoo utusaidie.Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani.
We ndo mpuuzi na mjinga kati ya mataifa 10 yote au dola lililo wahi kutokea duniani ambalo halikuwahi kumwaga Damu?Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
Hata Israel inakataaa hapa kwa mipango ya Mungu mwenyewe?Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Tunazichoma hizo targets kwa mionzi[emoji23][emoji23]Silaha za laser Kwa sasa zipo za kuharibu uono wa MTU yaani kuharibu macho Kwa miozi mikali lakini silaha za laser za kuharibu targets Kwa mionzi mikali wanasema bado wanahangaikia kuzitengeneza
Yaani ww uwazidi akili na maarifa wataalamu na wanasayansi wa hali ya juu wa Marekani wakati hata components of bullet theoretically hujuhi ni zipi. Jitathmini.Haijawahi kutokea mmalekani akafanikiwa kuiunda vyema hili bomu, ninauhakika Hilo walilorusha kwa majaribio ni feki!! chuma original kipo Russia kinapumua tu!! ni batani tu ndo imekosa mtu wa kui press ,chombo iamshe Hadi Whitehouse [emoji573]! na siku ikiamsha hiyo chombo hakiyanani Biden ,atakata pumzi hata kabla ya chombo haijatua .
Pamoja na maelezo yako mazuuri lakini ulichokielewa ni kinyume cha uhalisiaHii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Wewe unaumwa ugonjwa unaitwa "the third eye nyegelized diseaseYaani ww uwazidi akili na maarifa wataalamu na wanasayansi wa hali ya juu wa Marekani wakati hata components of bullet theoretically hujuhi ni zipi. Jitathmini.
Sadam alipiga calculations vibaya, alitakiwa kuwana nuclear kwanza, Putin bila nuclear angekuwa hadithi tuuPutin hana tofaut na Sadam, kuna kipind Sadam alisema atiangamiza dunia kama wakiendelea kumchokonoa, mwishowe yaliyomkuta?
Mara 5 hadi 25 ya mwanga..!! Hakuna kombora kama hilo, haijatokea na haitakaa itokee mpaka mwisho wa dahari.Kumbe ndo wanatesti alafu ya urusi inaenda mara 5 mpaka 25 ya mwanga
Duuu inamaana alishazidiwa na Korea?Itakumbukwa kwamba Putin alisema hii ni silaha ambayo haipo katika taifa lolote isipokuwa Russia, nadhan sasa yametimia
Al Jazeera English
The United States Air Force says it has conducted a successful test of a hypersonic weapon, which flew at five times the speed of sound.
The test was conducted on Saturday off the coast of Southern California when a B-52 bomber released an Air-launched Rapid Response Weapon (ARRW), the Air Force said in a statement on Monday.
View attachment 2228487
Duh hii kamba ya dunia gani kakaKumbe ndo wanatesti alafu ya urusi inaenda mara 5 mpaka 25 ya mwanga
Haki vile wewe ni shoga kabisa!Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Mimi na Baba yako shoga ni naniHaki vile wewe ni shoga kabisa!