Marekani: Waliobadili jinsia waondolewa marufuku ya kujiunga na Jeshi iliyowekwa na Donald Trump

Hao waliobadili jinsia mwanzo waliokua jinsia gani?


Ngoja nijaribu kukuelewesha kidogo mkuu,humu watu wanasema kubadili jinsia (wanakosea)

Hakuna mtu mwenye uwezo wa kubadili jinsia yake popote pale Ulimwenguni,

Wanaosemwa hapa mostly ni wanaume waliojibadilisha muonekano wao na kuonekana kama wanawake kwa nje (maziwa,makalio,shape nk) lakini ndani bado ni wanaume tu ,ndio hao wanaitwa Transgender women au Tranny
 
Ila mzee mbona hilo liko simple ..huwezi kuchange jinsia Kama huna hisia tofauti..mtu mwanaume anabadili awe mwanamke ..inamaana huyo kwanzA ni gay..so anataka kuwa pure women or girl ..so anaenda kukatwa dudu na kuwekewa homon za kike..nk..so transgender ni gay or lesbian Yani hilo neno transgender limekuja kuficha ama kufifisha aibu ya Shoga aleyekubuhu ama mshagaji aliyekubuhu
 
Unasema ^hatuwahukumu^!??? Hivi ukimwona jirani yako anaenda na kuenenda ndivyo sivyo, si wajibu & jukumu lako kumkanya, ewe unayewaza kwa kutumia mifupa!???
Kumkanya maana yake ni kumwambia acha tabia fulani hiyo ni sawa kabisa lakini kuwakatalia kuajiriwa jeshini hiyo si sahihi maana tunakua tunawahukumu kisa ushoga wao ambao hahuusiani na utendaji wao kikazi.
Halafu mkuu umeniambia nawaza kwa kutumia mifupa! Je hiyo sio dhihaka dhidi yangu? Naomba uniombe radhi tafadhali sana mkuu wangu la sivyo nifungue kamusi yangu ya matusi.
 
Naona unabwabwaja.

Kamusi yenu ya Tanganyika inasema "shoga ni mwanamume anayefirwa".

Transgender sio mwanamume anayefirwa.

Transgender ni mtu wa jinsia yoyote aliyebadili jinsia yake kuwa jinsia nyingine.

Kuna wanawake wamebadili jinsia kuwa midume tena midume ya nguvu kweli kweli.

Na kuna midume imebadili jinsia na kuwa wanawake wenye hulka zote za kike.

Hao huwezi kuwaita mashoga, kwa sababu hawafirwi.

Tizama kamusi vizuri. Kama kamusi yenu ni dhaifu, hilo sio tatizo langu.

Mimi naangalia kamusi imesema nini!
 
Si huwa mnajiita waswahili nyie?

Kwani kamusi yenu inasemaje?
 


Bado unafanya kile kile kuongelea jambo ambalo hauna uelewa nalo,

Kwanza kabisa lazima ujuwe kuna jinsia mbili tu miongoni mwa wanadamu (ya kiume na ya kike)

Hivyo basi kwenye suala la mtu kubadilisha muonekano wake wa nje,ni either mwanaume anajibadili aonekane kama mwanamke kwa nje au mwanamke anajibadili kuonekana kama mwanaume kwa nje, lakini maumbile yake ya uzazi yanabaki vile vile( Transgender )


Sasa kitu ambacho wewe haujui ni kwamba,gay (shoga) ni mtu anayeshiriki mapenzi ya jinsia mmoja,haijalishi ni lesbian,top au bottom,unaposhiriki tu mapenzi ya jinsia moja,wewe ni gay no matter what.


Sasa je hao wanaume waliobadili mionekano yao wanaposhiriki tendo la ndoa,wanaingiliwa wapi kama sio nyuma?na hao wanawake wanaobadilisha mionekano yao kwa nje,unafikiri kwa kufanya hivyo ndio wanaota uume?


Au we unafikiri (wanaume) wamejibadilisha vile ili wawe mahandsome kuvutia mademu?
 
Go educate yourself, little fella!
 
Anyway, wewe unataka minorities wafanyiwe nini cha maana kiasi kwamba uone YES, that's what they deserve.
 
Rais wako huyo ulikuwa unampigia debe..Mtetee basi na leo πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Mm Rais wangu ni Ayatullah, Iwe ni Tramp au Biden wote hawa wanasupport mashoga kwasababu hio ni kawaida ya wazungu ni jambo la kawaida kwao
 
Huu ndo ushenzi wa Democratic....

Pamoja na changamoto za Trump hakutaka kabisa ushenzi huu....
 
Anyway, wewe unataka minorities wafanyiwe nini cha maana kiasi kwamba uone YES, that's what they deserve.
Very simple, NOTING.Black people should understand one thing, they aren't special group in US kwamba everything wasaidiwe au wapewe special treatment.Kwanza wanatakiwa warudi nyuma wajitathmini,kwa nini miaka ya 60s black communitity in US walukuwa very powerfull na walikuwa na umoja kuliko sasa,sasa hivi hawana malengo,they aren't ambitious for anything,wapo wapo tu wanachezewa na wanasiasa kama condom na kutupwa.Wafanye haya
1.Wahakikishe wanaoana wao kwa wao na mwanaume awe kiongozi wa familia at any time na awepo (Sigle parent ni tatizo kubwa sana kwa blacks sasa hivi).
2.Wapeleke watoto wao shule wasome vizuri kama ilivyo kwa race nyingine,kuwe na ma Dr wakubwa kama kina Dr Ben Carson, engineers, programmers etc ,Blacks sasa hivi wanasifika kwa michezo tu na music,hii haitoshi kuwafanya wawe powerfull.
3.Watengeneze black economic powerbase, economic zones kuwa na umiliki wa blacks,anzia manufacturing industries,intertainments,big malls, pharmaceuticals.
Race zote zenye nguvu USA wana umiliki wa hivyo vitu vitatu.Leo hata ukiwapa blacks reparation of $10trillions ,within two days zitarudi kwa weupe b'se ndio wenye economic powerbase.
Hope inatosha kwa leo..
 
Hili ni suala lao binafsi kama blacks. Sioni kama wao kulifanya hili kunahitaji Democratic.
 
Hili ni suala lao binafsi kama blacks. Sioni kama wao kulifanya hili kunahitaji Democratic.
for now democrats have to solve 3 things.
1.Mass black incarceration.
2.Black miss education
3.Police genocide.
At least they can solve those 3 problems as a price of voting for them free in 4 decades...
Kuna kauli Trump aliwaambia blacks kipindi cha uchaguzi kwamba'they have nothing to lose if they vote for him'.Sababu wamekuwa wakichagua liberals for decade and nothing changes....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…