Marekani wamuua kamanda wa Kataib Hezbollah

Marekani wamuua kamanda wa Kataib Hezbollah

IDF wana uwezo wa kupiga kale kasehemu kitu kinaitwa carpet bombing kafutike ndani ya masaa, ila inabidi wawe na huruma kwa kina mama na watoto ambao wanatumika kama kinga, huku hao hao IDF wakipelekwa kushtakiwa ICJ.

Ingekua Urusi au China, hivi vita vingeisha kitambo maana wale huwa hawarembi au kubembeleza magaidi ya dini, wanapiga na kulipua chochote kinachotamba.
Huyu Urusi unayemsema mbona kaishindwa Ukraine, kila siku Ukraine anakomboa maeneo
 
Huyu Urusi unayemsema mbona kaishindwa Ukraine, kila siku Ukraine anakomboa maeneo
Screenshot_20230905-204547.png
 
Kawahishwa kwa mabikira, ni mojawapo wa makundi yanayofadhiliwa na Iran.

===========

A commander from Kataib Hezbollah, an Iran-backed armed group in Iraq that the Pentagon has blamed for attacking its troops, was killed in a US strike on Wednesday, the US military said.

"(US) forces conducted a unilateral strike in Iraq in response to the attacks on US service members, killing a Kataib Hezbollah commander responsible for directly planning and participating in attacks on US forces in the region," a statement from the military said. It did not name the commander.

It added that there were no indications of civilian casualties.
Majibu yatakuja muda sio mrefu hao sio M23 ni wazee wa kazi
 
Huyu Urusi unayemsema mbona kaishindwa Ukraine, kila siku Ukraine anakomboa maeneo

Kaishindwa Ukraine maana hao Ukraine wamewezeshwa kujilinda, hivi unajua yale ma-super hypersonic bombs ambazo amejaribu kuelekeza Ukraine huku yakipigwa chini, kama yangepiga Ukraine aisei mbona tungekua tunapaita shamba.
Mrusi hana huruma, yeye hufyatua madude bila kujali yanapiga nani au wapi, na kama ndiye angekua na changamoto ya haya mazombi wa dini pale Gaza, huu ugomvi ungeisha kitambo, anapapiga carpet bombing bila kujali bibi wala babu.
Waulize Chechnya, walikubali kukaa kwa kutulia....
 
Uwanja wa vita ina maana wewe hujui kuwa kuna senior kibao wa Israel wamekufa Gaza, vita haibagui, sijui huko mbinguni hao wanajeshi wa Israel ndio wanasubiri kufungua bendi waanze kuimba

Wenzake hujitoa mhanga wakawahi mabikira, huyu sijui kashindwaje.
 
Waisrael wanawahi nini wakifyekwa kule Gaza?

Waisraeli sasa hivi wamefyeka hadi napata ukakasi, namba zinakaribia kusoma 30,000 wote hao wanawahishwa kwa mabikira.
Kichapo cha Rafah kimeanza.
 
Waisraeli sasa hivi wamefyeka hadi napata ukakasi, namba zinakaribia kusoma 30,000 wote hao wanawahishwa kwa mabikira.
Kichapo cha Rafah kimeanza.
Achana na data fake wazungu wenyewe wanakwambia hata nusu ya wana mgambo hawajakufa, labda kama unafurahia kuuliwa watoto na wazee
 
Back
Top Bottom