kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ndivyo unavyotataua matatizo yako kwa kugawa takoshil!Wewe ulitakaje?? Mdangie Netanyahu hawasamee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo unavyotataua matatizo yako kwa kugawa takoshil!Wewe ulitakaje?? Mdangie Netanyahu hawasamee
Huyu Urusi unayemsema mbona kaishindwa Ukraine, kila siku Ukraine anakomboa maeneoIDF wana uwezo wa kupiga kale kasehemu kitu kinaitwa carpet bombing kafutike ndani ya masaa, ila inabidi wawe na huruma kwa kina mama na watoto ambao wanatumika kama kinga, huku hao hao IDF wakipelekwa kushtakiwa ICJ.
Ingekua Urusi au China, hivi vita vingeisha kitambo maana wale huwa hawarembi au kubembeleza magaidi ya dini, wanapiga na kulipua chochote kinachotamba.
Huyu Urusi unayemsema mbona kaishindwa Ukraine, kila siku Ukraine anakomboa maeneo
Majibu yatakuja muda sio mrefu hao sio M23 ni wazee wa kaziKawahishwa kwa mabikira, ni mojawapo wa makundi yanayofadhiliwa na Iran.
===========
A commander from Kataib Hezbollah, an Iran-backed armed group in Iraq that the Pentagon has blamed for attacking its troops, was killed in a US strike on Wednesday, the US military said.
"(US) forces conducted a unilateral strike in Iraq in response to the attacks on US service members, killing a Kataib Hezbollah commander responsible for directly planning and participating in attacks on US forces in the region," a statement from the military said. It did not name the commander.
It added that there were no indications of civilian casualties.
Mungu ibariki USA, Mungu ibariki Israel, Mungu tubariki watanganyika.
hv umeielewa thread kwanza ?
Majibu yatakuja muda sio mrefu hao sio M23 ni wazee wa kazi
Huyu Urusi unayemsema mbona kaishindwa Ukraine, kila siku Ukraine anakomboa maeneo
Majibu yatakuja muda sio mrefu hao sio M23 ni wazee wa kazi
Uwanja wa vita ina maana wewe hujui kuwa kuna senior kibao wa Israel wamekufa Gaza, vita haibagui, sijui huko mbinguni hao wanajeshi wa Israel ndio wanasubiri kufungua bendi waanze kuimbaKuna huyu naye utuletee majibu, aisei mabikira wanaisha kwa alla akbar Kiongozi wa magaidi yenye mlengo wa kidini, Hezbollah bwana Abbas Al-Debes auawa na IDF
Wako tayari ndio maana wakaua wale wanajeshiWakijibu wanajibiwa zaidi.
Uwanja wa vita ina maana wewe hujui kuwa kuna senior kibao wa Israel wamekufa Gaza, vita haibagui, sijui huko mbinguni hao wanajeshi wa Israel ndio wanasubiri kufungua bendi waanze kuimba
takoshi imeingiaj hapa?Ndivyo unavyotataua matatizo yako kwa kugawa takoshil!
waende Gaza km wanajiwezaMajibu yatakuja muda sio mrefu hao sio M23 ni wazee wa kazi
Wakiua vigaidi vitoto mnaliaWanatangaza kuua kila uchao vita hawailimalizi nchi kama chanika aibu kwa wanaojiita mataifa makubwa maji ya kina kirefu hayapigi kelele yanazamisha tu!
Kila mmoja anapiga kwenye eneo lakewaende Gaza km wanajiweza
Waisrael wanawahi nini wakifyekwa kule Gaza?Wenzake hujitoa mhanga wakawahi mabikira, huyu sijui kashindwaje.
Achana na data fake wazungu wenyewe wanakwambia hata nusu ya wana mgambo hawajakufa, labda kama unafurahia kuuliwa watoto na wazeeWaisraeli sasa hivi wamefyeka hadi napata ukakasi, namba zinakaribia kusoma 30,000 wote hao wanawahishwa kwa mabikira.
Kichapo cha Rafah kimeanza.