Wanaua watoto. Hata wewe alipouliwa kuku Ukrain ulilia kwa sababu kuku ni mfugaji mkiristoSasa mbona mnapenda kujiliza liza wakati shida mmeianzisha wenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaua watoto. Hata wewe alipouliwa kuku Ukrain ulilia kwa sababu kuku ni mfugaji mkiristoSasa mbona mnapenda kujiliza liza wakati shida mmeianzisha wenyewe?
Huwezi utofautisha uislamu wa kweli na ugaidi.Huyu kwa kuwa ni mzungu hutosikia akiitwa gaidi. Angekuwa Mwarabu au Muislam ungesikia kasheshe lake
lin waliwahusisha waarabu kweny mambo yao ? km sio nyiny kila jambo mnataka wahusisha magharibi , mara hamas wameundwa na marekan na israel wkt wakishambulia mnafurahiaAtakwambia Hamas hao wameondoka palestina wamepita hewani bila ya kuonekana hadi marekani. Bbc swahili kesho itaripoti hivyo ktk page yake.
Nakosea wadau?
Waseme ukweli, ni gaidi huyo anaiunga mkono Palestina. Wanaficha nini?Mashambulizi ya risasi yaliyotokea maeneo tofauti katika Kitongoji cha Lewiston kwenye Mji wa Maine yamesababisha watu 22 kuuawa na wengine kati ya 50 hadi 60 kujeruhiwa.
Polisi wa Lewiston wamesema wanamshuku mhusika mkuu katika tukio hilo ni Robert Card (40) na kuwa ni mtu hatari ambapo wamechapisha picha yake mtandaoni akionekana ameshika bunduki akifyatua risasi na kusisitiza watu wakae ndani kwa usalama wao kwa kuwa mtuhumiwa anaendelea kutafutwa.
Rais wa Marekani, Joe Biden amezungumza kwa njia ya simu na Wabunge kadhaa pamoja na Gavana wa Maine akiahidi kutoa msaada wa Serikali kutokana na tukio hilo ambapo sababu za kuibuka shambulizi hilo hazijajulikana.
=================
At least 22 killed, dozens wounded in Lewiston, Maine shootings – NBC
At least 22 people were killed and 50 to 60 wounded on Wednesday in mass shootings at multiple locations including a bowling alley and a bar in Lewiston, Maine, NBC News reported, citing a Lewiston police source.
The Lewiston Police Department on Facebook identified a person of interest in the mass shooting at the bar and bowling alley as Robert Card, 40, saying he should be "considered armed and dangerous."
Police earlier posted three photographs of an unidentified suspect pointing what appeared to be a semi-automatic rifle, in addition to a picture of a white SUV, asking the public for help in identifying either.
The Androscoggin County Sheriff's Office also posted pictures of the suspect, a bearded man in a brown hoodie jacket and jeans holding a rifle in the firing position.
"There is an active shooter in Lewiston," Maine state police said previously on the social media platform X. "We ask people to shelter in place. Please stay inside your home with the doors locked. Law enforcement is currently investigating at multiple locations."
The Sun Journal, citing a Lewiston police spokesperson, reported shootings at three separate businesses: the Sparetime Recreation bowling alley, Schemengees Bar & Grille Restaurant, and a Walmart distribution center.
The bowling alley is about four miles (6.5 km) north of the bar, and the distribution center is about a mile and a half (2.5 km) south of the bar.
The Central Maine Medical Center in Lewiston issued a statement saying it was "reacting to a mass casualty, mass shooter event" and coordinating with area hospitals to take patients.
Source: Reuters
Picha na jina.Una uhakika gani kuwa ni mzungu?
Ugaidi ni nini?Huwezi utofautisha uislamu wa kweli na ugaidi.
unaamsha ila bdo umeng'ang'ania shukaUmekasirika? Mpuuzi kweli wewe
sio kila muuaji ni gaidi , wapo wazungu wengi wameshitakiw kwa kesi za ugaidi , wazungu sio wanafiki kama waarab , kisa hamas ni waislam bas waarab hawawez laani mauaji yanayofanywa na hamas , wazungu ukiwa muuaji hata kama kiongoz wa serikalin bas utashitakiwa tuHuyu kwa kuwa ni mzungu hutosikia akiitwa gaidi. Angekuwa Mwarabu au Muislam ungesikia kasheshe lake
american is for all religions , middle east is for terrorism
Ugaidi ni hasa mfumo wa kulenga mabadiliko ya kisiasa kwa kutisha watu kwa njia ya vurugu au mauaji. Tuambie sasa kwann tumuite huyo mtu gaidiSi haba mbona hawajasema gaidi kafamya tukio au gaidi mpaka abatizwe na Marekani.
Pole sanaHuwezi utofautisha uislamu wa kweli na ugaidi.
Pole sana dada.Upande wa Israel. Kama huna upande mbona hukasiri post Isreal humu? Punguza wehu
Ina maana nchi za kiarabu wanaoua hawashtakiwi?sio kila muuaji ni gaidi , wapo wazungu wengi wameshitakiw kwa kesi za ugaidi , wazungu sio wanafiki kama waarab , kisa hamas ni waislam bas waarab hawawez laani mauaji yanayofanywa na hamas , wazungu ukiwa muuaji hata kama kiongoz wa serikalin bas utashitakiwa tu
Ugaidi ni hasa mfumo wa kulenga mabadiliko ya kisiasa kwa kutisha watu kwa njia ya vurugu au mauaji. Tuambie sasa kwann tumuite huyo mtu gai
Hii tafsiri ya ugaidi ni fikra zako kuna magaidi wengi tu hawana uhusiano wowote wa kiasiasa…Ugaidi ni hasa mfumo wa kulenga mabadiliko ya kisiasa kwa kutisha watu kwa njia ya vurugu au mauaji. Tuambie sasa kwann tumuite huyo mtu gaidi
Kama walivyoshtakiwa Bush, Tony Blair na akina Henry Kissinger au sio?wazungu ukiwa muuaji hata kama kiongoz wa serikalin bas utashitakiwa tu