Marekani yaandaa na kutuma vikosi barani Asia kwa ajili ya vita na China

Marekani yaandaa na kutuma vikosi barani Asia kwa ajili ya vita na China

Tatizo hadithi yako uliyotunga imekosa ufanisi
Nitasoma andiko lako lenye ufanisi kuhusu hii mada kama utapata nafasi ya kuandika.

Na nitarekebisha iko unachoita "hadithi" kama kipo. Nitaleta ushahidi ukitaka na wewe kwenye kukosoa weka ushahidi. Ni fair game. Challenge accepted 👍
 
Aisee! Unajua umetushitua?
Ukisikia fahari wawili wapiganapo nyasi huumia ndiyo vita ya US na China!
Maana Russia,North Korea,Iran zitaingia kati kui support China,huku baadhi ya nchi za NATO zitaingia upande wa US kuipa tough!
Kuna usalama wa dunia hapo?
Huku kwetu Afrika tutajifia kwa njaa tu!
Mkuu hiyo ni Cold War tu!
 
Aisee! Unajua umetushitua?
Ukisikia fahari wawili wapiganapo nyasi huumia ndiyo vita ya US na China!
Maana Russia,North Korea,Iran zitaingia kati kui support China,huku baadhi ya nchi za NATO zitaingia upande wa US kuipa tough!
Kuna usalama wa dunia hapo?
Huku kwetu Afrika tutajifia kwa njaa tu!
Mkuu hiyo ni Cold War tu!
😀😀😀 sawa mkuu. Nmekuelewa. Ila muhimu tuendelee kufuatilia kwa karibu.
 
Jf Imevamiwa na Wapuuzi
Saivi kila Mmoja Mjuaji
Sio comment mbaya. Ikiwa kila aloandika alilenga matakwa yako jua hakuna kipya. Kitu kinachotufanya kua binadam kamili ni pamoja na kua na fikra na mawazo mbadala na tofauti. Na hata andiko lako naweza kuliona la ajab lakini siez sema eti unajikuta mjuaji au mpuuzi hapana. Nitaangalia kipi kinanifaa kipi nitafiti na kipi nidadisi. Hata hivyo karibu sana
 
Mtoa mada tafuta kazi ya kufanya uchambuzi huwezi
CHINA NA MAREKANI KIMEUMANA TAYARI. VITA IMENUKA

Miaka michache iliyopita ilikuwa huwezi kuzungumzia vita kati ya Uchina na Marekani lakini hivi sasa tayari hilo halipo na kinachozungumzwa ni vita kati ya mataifa mawili makubwa zaidi duniani kiuchumi na kijeshi kwa maana ya Marekani na China.

Mapema mwezi huu (Oktoba) wanajeshi 864 wa Marekani walionekana wakiwa kwenye ndege kubwa za kivita za C-17 wakipelekwa kwa ajili ya mazoezi maalumu ya kupelekwa Asia tayari kwa vita. Hata hivyo, ni wanajeshi 492 tu ndio walifanikiwa kufikia lengo huku wengine washindwa kwa sababu mbalimbali.

Pentagon (Wizara ya Ulinzi ya Marekani) inaita vita hii kama Great Power War inaandaa wanajeshi kwaajili ya Vita na China ambavyo mpka sasa ni ngumu kuepuka. Wanaamini katika Jeshi lao la Marine kwa kua na utayari wa kufika mahali popote wakati wowote watakao hitajika. Jeshi lao majini (US NAVY) wana maisha yao katika bahari ya Atlantic na mpango mkakati wa mapigano huko uko kwenye DNA zao kwamba wamekua wakijifunza kila siku tangu wakati na baada ya vita vya pili vya dunia.

Lakini wanajeshi wa ardhini wanahitaji mafunzo zaidi kwani watakutana na jeshi la China ambalo liko na uelewa mpana zaidi wa Jiografia ya huko. Walipata somo wakati wakipigana na Talibani huko Afghanistan.

Sasa tofauti na Talibani, jeshi la China liko imara zaidi. Wana teknolojia ambayo sio sawa lakini inaikaribia kwa kiasi flani teknolojia ya Marekani ikiwa ni pamoja na vita vya kielektroniki (electronic warfare), Satelite na Drones. Hivyo jeshi la Marekani litakua likionekana kuanzia kwenye kujipanga (formation) hadi kwenye utekelezaji (excution) ya mission yao.

Kwa hio kwa sasa wanajeshi wa Marekani wanafanya mazoezi magumu na makali ili kua na uwezo wa kuishinda China katika vita hio ambayo kwa Marekani ni kama haizuiliki haijalishi nani atakuwa Rais baada ya uchaguzi wa November 5, 2024.

Xi Jin Ping anafukuza mwizi kimya kimya. Mshauri wake muhimu katika msawala mbalimbali kwa sasa amepewa mission ya Taiwan na jeshi la China limearifiwa kufanya mazoezi ili kuichukua Taiwan kwa nguvu mwaka 2027.

Hata hivyo kiasi cha makomandoo kutoka kikosi hatari zaidi cha SEAL NAVY kiko Taipei -Taiwan kwa ajili ya kulinda maeneo muhimu ya kimkakati kijeshi ikiwemo viwanja vya ndege na vituo vya mawasiliano.

Kwa hio ni wazi kwamba ikiwa China itaivamia Taiwan basi Marekani ni lazima kuingia vitani na China kwa sababu wakiacha basi China atapata nguvu kubwa Asia na mataifa mengi yatapiga goti kumtii na kuomba ushirika kwa hivyo ni lazima Marekani aipige China kuonyesha ubabe wake.
 
Watalaban walikua wanatawala Afghanistan.baadae USA na NATO wakapeleka majeshi.
Wakapaigana na watalaban Kwa miaka 20,baadae wamarekani na NATO wakakimbia,Leo hii watalaban wanatawala Afghanistan.
Hao navy seal walikua wapi?
 
Anyway tuko chap ku jump kwenye conclusion ndio maana. Lakini kuhusu kuchambua, niache au nianze sijui kipi ni sahihi. Labda uko sahihi kama binadamu una uhuru wa mawazo, fikra na maoni.
 
Watalaban walikua wanatawala Afghanistan.baadae USA na NATO wakapeleka majeshi.
Wakapaigana na watalaban Kwa miaka 20,baadae wamarekani na NATO wakakimbia,Leo hii watalaban wanatawala Afghanistan.
Hao navy seal walikua wapi?
Nmeandika kuhusu Navy SEALs kufanya Operation maalumu kulinda tu miundombinu muhimu pale ikitokea uvamizi na nyongeza ni kuandaa mazingira kwa wanajeshi wa vikosi vingine.

Pili, niliandika kifupi tu kuhusu hayo mazoezi. Wanafanya hivyo kutokana na kile walichojifunza Afghanistani na kundi la kwanza wamefanya mazoezi katika eneo moja tu la msutuni. Ila China ina maeneo mengi ambayo jeshi la Marekani lazima wafanyie kazi.

Kwa hio, kumbuka sijasema kua China keshapigwa(kama ulivyofanya rejea yako kwa Afghanistan).
 
CHINA NA MAREKANI KIMEUMANA TAYARI. VITA IMENUKA

Miaka michache iliyopita ilikuwa huwezi kuzungumzia vita kati ya Uchina na Marekani lakini hivi sasa tayari hilo halipo na kinachozungumzwa ni vita kati ya mataifa mawili makubwa zaidi duniani kiuchumi na kijeshi kwa maana ya Marekani na China.

Mapema mwezi huu (Oktoba) wanajeshi 864 wa Marekani walionekana wakiwa kwenye ndege kubwa za kivita za C-17 wakipelekwa kwa ajili ya mazoezi maalumu ya kupelekwa Asia tayari kwa vita. Hata hivyo, ni wanajeshi 492 tu ndio walifanikiwa kufikia lengo huku wengine washindwa kwa sababu mbalimbali.

Pentagon (Wizara ya Ulinzi ya Marekani) inaita vita hii kama Great Power War inaandaa wanajeshi kwaajili ya Vita na China ambavyo mpka sasa ni ngumu kuepuka. Wanaamini katika Jeshi lao la Marine kwa kua na utayari wa kufika mahali popote wakati wowote watakao hitajika. Jeshi lao majini (US NAVY) wana maisha yao katika bahari ya Atlantic na mpango mkakati wa mapigano huko uko kwenye DNA zao kwamba wamekua wakijifunza kila siku tangu wakati na baada ya vita vya pili vya dunia.

Lakini wanajeshi wa ardhini wanahitaji mafunzo zaidi kwani watakutana na jeshi la China ambalo liko na uelewa mpana zaidi wa Jiografia ya huko. Walipata somo wakati wakipigana na Talibani huko Afghanistan.

Sasa tofauti na Talibani, jeshi la China liko imara zaidi. Wana teknolojia ambayo sio sawa lakini inaikaribia kwa kiasi flani teknolojia ya Marekani ikiwa ni pamoja na vita vya kielektroniki (electronic warfare), Satelite na Drones. Hivyo jeshi la Marekani litakua likionekana kuanzia kwenye kujipanga (formation) hadi kwenye utekelezaji (excution) ya mission yao.

Kwa hio kwa sasa wanajeshi wa Marekani wanafanya mazoezi magumu na makali ili kua na uwezo wa kuishinda China katika vita hio ambayo kwa Marekani ni kama haizuiliki haijalishi nani atakuwa Rais baada ya uchaguzi wa November 5, 2024.

Xi Jin Ping anafukuza mwizi kimya kimya. Mshauri wake muhimu katika msawala mbalimbali kwa sasa amepewa mission ya Taiwan na jeshi la China limearifiwa kufanya mazoezi ili kuichukua Taiwan kwa nguvu mwaka 2027.

Hata hivyo kiasi cha makomandoo kutoka kikosi hatari zaidi cha SEAL NAVY kiko Taipei -Taiwan kwa ajili ya kulinda maeneo muhimu ya kimkakati kijeshi ikiwemo viwanja vya ndege na vituo vya mawasiliano.

Kwa hio ni wazi kwamba ikiwa China itaivamia Taiwan basi Marekani ni lazima kuingia vitani na China kwa sababu wakiacha basi China atapata nguvu kubwa Asia na mataifa mengi yatapiga goti kumtii na kuomba ushirika kwa hivyo ni lazima Marekani aipige China kuonyesha ubabe wake.
Huyo USA anajua balaa la China kwenye Korean war.
USA haiwezi kupigana na China na HAINA UBAVU WA KUIPIGA CHINA.
 
Naam, ungeleta hoja kinzani au ushahidi kinzani ingefaa sio kwangu tuu na wadau wengine wanaofuatilia. Hatuwezi kuandika habari au makala kwa kuku favour wewe hapana. Ila kilicho cha kweli basi kinaandikwa. Ni ruksa kua na nitazamo kinzani lakini kubeza hoja bila hoja hivyo ni vioja. Karibu kwa hoja
Huna hoja zaidi ya viroja ulivo andika hapa mzee na upunguze mahaba yaani wanajeshi 800+ ndo wakapigane vita na nchi yenye jeshi la watu zaidi ya 2M+
 
Tz tunaushabiki wa vita asee, tena tuna chagua na upande wetu kabsaa kuwashangulia .
 
Mnamkosea mtoa mada kwa matusi yasiyo na ulazima ameandika vizuri ingawa sio hakika sasa unamtukana kwa kosa gani na Ww si uandike unachojua kuhusu huu ugomvi wa China na marekani juu ya Taiwan
China na marekani wanapigana wapi!?..acha kutetea ujinga,siyo facebook hapa
 
Back
Top Bottom