Kwahiyo raia mmoja (mtoto wa kiongozi wa Israel) kuwepo mapumzikoni Marekani ndio chanzo cha kimbunga kutokea?Kwanini niseme hivyo? Hayo sema wewe. Ukweli upo wazi kabisa, mimi nasema hivi;
Florida ni sehemu ya kula bata mazayuni, hulijuwi hilo? :
View attachment 3125648
Waambie wale bata vizuri. Hilo ni onyo tu, kutoka kwa Muumba
Nina wasiwasi enzi zile hata ile Scholarship ya kwenda Canada uliipataje.!
Nchi iliingia hasara kwenda kusomesha mtu kupunguza ujinga badala yake ndio ameongezeka ujinga.