Marekani yaelekea kuachana na mafuta ghafi ya Saudi Arabia kuanzia mwaka huu wa 2025

Marekani yaelekea kuachana na mafuta ghafi ya Saudi Arabia kuanzia mwaka huu wa 2025

Ushauri wa bure huu wewe kobazi achana na mawazo ya kitumwa kila siku nakuambia, waarabu kwao wewe ni mtumwa jinasue wewe mwafrika
Mimi nipo morogoro na ekari zangu nyingi za mpunga,kiangazi hulima nyanya,jinasue wewe toka kwa wazungu unayedhani yesu alivaa suti na moka na si kobazi
 
Back
Top Bottom