Tetesi: Marekani yafanya mazoezi Korea kusini hali ya wasiwasi imetanda

Tetesi: Marekani yafanya mazoezi Korea kusini hali ya wasiwasi imetanda

Haya ni maajabu ya Dunia. Hadi leo hii kuna binadamu bado wanaamini US ni wazuri kuliko NK!
Hali wanayokumbana nayo IRAQ sasa, US ana mkono wake, lakini si NK. Hali ngumu wanayoipata WALIBYA, SYRIA na WAPALESTINA, US anachangia lakini si NK.
Ni MJINGA tu anayeweza kukubaliana na kasumba za US.
 
Nahisi,USA,wanaweza kumchukuwa Kim peke yake Na huo kuwa mwisho Wa vita hiyo Na Maneno.
 
Kama US hawamwogopi NK, kwa nini wasijifanye wamekosea wakapitisha hizo ndege katika anga la NK?
Hata kwa tathmini ya haraka kabisa utajua anayeweweseka zaidi katika mgogoro huu ni US.
KIM akirusha DUDE moja tu, matokeo yake ni:-
(1)US wanachanganyikiwa.
(2)Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa wanahaha.
(3)JAPAN wanalala kwenye mahandaki.
(4)SK wanachuchumaa. NB:-Mpaka sasa mazoezi yanayoendelea SK ni ishara tosha kwamba KIM anawaendesha NK na US, yeye mwenyewe akiwa ametulia kimya hana papara anaangalia tu jinsi anavyowahenyesha MAZUZU.
Kwa kifupi huyo ndiye KIM JONG UN, the Panky man.
 
Kama US hawamwogopi NK, kwa nini wasijifanye wamekosea wakapitisha hizo ndege katika anga la NK?
Hata kwa tathmini ya haraka kabisa utajua anayeweweseka zaidi katika mgogoro huu ni US.
KIM akirusha DUDE moja tu, matokeo yake ni:-
(1)US wanachanganyikiwa.
(2)Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa wanahaha.
(3)JAPAN wanalala kwenye mahandaki.
(4)SK wanachuchumaa. NB:-Mpaka sasa mazoezi yanayoendelea SK ni ishara tosha kwamba KIM anawaendesha NK na US, yeye mwenyewe akiwa ametulia kimya hana papara anaangalia tu jinsi anavyowahenyesha MAZUZU.
Kwa kifupi huyo ndiye KIM JONG UN, the Panky man.
mmarekani mshenzi hatakagi vita itokee kwake yaani anaenda kufanyia hayo mazoezi ya kijeshi south korea hafanyii kwake.
 
Kuna watu humu ndani kila anachokisema Marekani wao ni kufuata tu kama WATOTO wadogo tena wa umri wa mwaka 1.
Kwa akili ndogo tu za kawaida, lini tuliwahi kusikia NK imefanya mashambulizi kwenye nchi yoyote ile hapa Duniani?
Akili za mbayuwayu changanya na zako.
 
Sasa Mmarekani ana uzuri gani unaposema kuwa kim ni dikteta au na ww umevurugwa mr dudus
Marekani ni jogoo wa dunia ni lazima asimamie amani ya ulimwengu.Amani ya dunia haiwezi kusimamiwa na Waarabu au Korea Kaskazini.Korea yenyewe ni ndogo kama wilaya ya Bagamoyo, katibu kata wa Tanzania akienda huko Korea nina imani atakuwa raisi bora kuliko huyu mvuta bange ambae anataka kuangamiza watu wake.
 
Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
kwangu mimi nasali usiku na mchana Kim aendelee kuporomosha makombora yake. Siwezi kuwaombea wamarekani na washirika wake kwa sababu ni wanafiki na hao ndo chanzo cha machafuko katika uso wa dunia hii. Longlive Kim Maste of the Jungle
 
Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
kwangu mimi nasali usiku na mchana Kim aendelee kuporomosha makombora yake. Siwezi kuwaombea wamarekani na washirika wake kwa sababu ni wanafiki na hao ndo chanzo cha machafuko katika uso wa dunia hii. Longlive Kim Master of the Jungle
 
Marekani ni jogoo wa dunia ni lazima asimamie amani ya ulimwengu.Amani ya dunia haiwezi kusimamiwa na Waarabu au Korea Kaskazini.Korea yenyewe ni ndogo kama wilaya ya Bagamoyo, katibu kata wa Tanzania akienda huko Korea nina imani atakuwa raisi bora kuliko huyu mvuta bange ambae anataka kuangamiza watu wake.
Huo ujogoo wa dunia marekani alipewa na nani? waendelee kutawala kwingine ila pale NK ni mziki mwingine
 
Marekani hiz tabia za kike atutolee sisi kila.siku mikwara kama watoto wakike maneno mengi ...

Mazoezi anafanya daily hajiamin au aingie wakamalize hizo kelele baada ya hapo wataheshimiana sio hiz kelele
 
Team kiduku apaa Trump aache maneno awake mzikiiii.....Tumnyonyoeee
 
Back
Top Bottom