Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Libya waliambiwa hivyo hivyo.Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
Hili swala sio lakuombea litoke mazara ya vita yatahasili dunia kwa kiasi kikubwa sana, asa sie weye kinchi kisichoweza ata kupiga atua mbili bira mikopoHii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
Iki kitu sio cha kuombea mkuu ayo mabomu yana mazara makubwa kwa binadam, ebu fikili kidogo juu ya hiloBinafs nshachoka mikwara,waamue moja.
Marekani wana aina zaidi ya 800 ya makombora ya nyuklia na Noth Korea wana aina around 10 za hayo makombora. Ikiwa una akili timamu jiulize.. Marekani wanamuogopa nani mpaka wawe na silaha zote hizo na wengine wapo salama kiasi gani mpaka wasiruhusiwe kuwa na hizo silaha ikiwa wote tupo ktk dunia moja.. au je., kuna binadamu aliye juu ya binadamu mwingine? Kila mtu ajiamulie mambo yake kimpango wake ilimradi asimwingilie mwingine. Kusiwe na ushabiki wa kushabikia tu mambo bila kujua kiini chake na kuambiana nini cha kufikiri badala ya namna ya kufikiri.Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
Mimi namuombea n Korea ashinde wewe muombe huyo lofa muhaji TENA mungu MJALIE n Korea ashindeHii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
[emoji1][emoji1][emoji1]
Enzi hizo wanakuja wadhungu africa unawashobokea wanakufanya katumwa kao sasahivi kila m2 apambane na hali yake kama mimi natengeneza nukes na wewe tengeneza zako.Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
Acha bangi mkuu sio nzuri kwa afya yakpMarekani ni jogoo wa dunia ni lazima asimamie amani ya ulimwengu.Amani ya dunia haiwezi kusimamiwa na Waarabu au Korea Kaskazini.Korea yenyewe ni ndogo kama wilaya ya Bagamoyo, katibu kata wa Tanzania akienda huko Korea nina imani atakuwa raisi bora kuliko huyu mvuta bange ambae anataka kuangamiza watu wake.
Kwani north korea wamewahi kukuchokonoa huko nyuma?Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
Wewe mbona unakua kama punguani! Aiangamizd dunia kwani yeye anaishi wapi?Kim jong sio mtu mzuri anawezamka akaangamiza dunia sababu ya ukatili na ujeuri alionao.