Naona hata wewe utakuwa mhanga wa bange kama Kim.Madude yote ya kivita alionayo Korea Kaskazini ni zana zilizobuniwa na kutumiwa na Marekani tangu 1947 katika kuhitimisha vita ya pili ya dunia.Wakati huo Korea hata kuvaa kaptura alikuwa hajui.Korea ambae amezingirwa na Marekani pande zote tena akina umbali maili sifuri amwache Korea anamwangalia tu arushe madude yake ya masafa marefu kwenda kuangamiza huko mbali kabisa.Mimi naona upeo wa watu wengine wa kufikiri hua unaambatana na kutumia makamasi badala ya ubongo.Nchi ilivyo ndogo kama wilaya ya Bagamoyo inaweza kutoweka kwenye uso wa ramani duniani ndani ya siku moja tu.