Tetesi: Marekani yafanya mazoezi Korea kusini hali ya wasiwasi imetanda

We mtu wa ajabu

Leo Kim ni Dikteta

Marekani kwako,ni mwema sana?!

Hivi!!!kuna mtu muovu na mbaya kama Marekani?!!!
Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
 
Pole mkuu nadhani umefiwa na aliyekuwa anakuwezesha ssa unahasiiiiiira na muweweseko kiasi unakurupuka kuandika tu,
Tulia utapata mwingine
 
Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
BILA SHAKA WEWE NI KADA WA CCM MAANA WENYE ROHO NZURI KAMA WE HUPATIKANA HUKO HASA MITAA YA LUMUMBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…