Hizo ni hasira za panzi furaha ya kunguru!! Wakati Marekani inaiwekea vikwazo Urusi vya kuzuiwa kufanya miamala kwa kutumia dola au euro, iliacha dirisha au kibali maalumu cha kufanya miamala kwa dola au euro kama inalipa madeni ya wafanya biashara walioko ndani ya Marekani.
Lengo la Marekani ni kwamba vikwazo visisababisha wamarekani wanaoidai urusi wakashindwa kulipwa pesa yao!! Pesa za urusi zilizokuwa kwenye mabenki ya nchi za magharibi zikazuiwa! Kwa hiyo lengo pia lilikuwa kumlazimisha urusi klutumia dola na euro zilizokuwa benki kuu nchini urusi kuzitumia kulipia madeni tu na wala si vinginevyo!! Marekani ilitegemea Urusi haitaweza kulipa madeni na kutangazwa kuwa imefilisika!
Kilichoishangaza Marekani ni kuwa Urusi iliendelea kulipa madeni bila shida na bila kukwama kwa kuwa bado inafanya biashara vizuri tu pamoja na vikwazo ilivyowekewa! Kwa hiyo marekani akaona atafute njia ya kuilazimisha urusi ishindwe kulipa madeni yake hata kama pesa inazo! Tatizo ni kwamba Marekani imeamua raia wake wanaoidai urusi WASILIPWE PESA ZAO!! Ni sawa na baba kumzuia mwanao asilipwe pesa yake anayomdai "adui yako". Hapo utakuwa unamuumiza mwanao, ndicho anachokifanya marekani.
Matokeo yake Urusi imefurahia sana na kusema itawalipa wadeni wake waliopo marekani kwa ruble! Hii itazidi kuipandisha chati pesa ya urusi ruble na ni sawa na marekani kujipiga risasi mwenyewe mguuni!!
Russia to pay foreign debt in rubles
The announcement comes after the US blocked payments to American bondholders
© Getty Images.
Moscow plans to make foreign debt payments in rubles, Russian State Duma Speaker Vyacheslav Volodin said on Wednesday. This comes after the US blocked Russia from servicing its debt to American bondholders.
Volodin added that the country has all the necessary monetary resources for payments.
Tukisema marekani imechanganyikiwa muwe mnatuelewa!! Urusi imewachanganya hadi wanafanya maamuzi ya kujiumiza wenyewe!