Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

Siy wote ni wauza nyanya kama wewe!! Ukweli ni kwamba Marekani imechanganyikiwa, na haijui cha kufanya!! Waliweka vikwazo vya kiuchumi wakidhani uchumi wa urusi utaporomoka ghafla kinyume chake uchumi ukawa na nguvu na pesa yake ikawa na nguvu kuliko hata wakati wa kabla ya vita!! Hivi hata kwa akili ya kawaida kuzuia wawekezaji raia bwa marekani wasilipwe pesa zao wanazoidai urusi ni kitu chenye tija au??
Uchumi wa Russia umeporomoka sana, Tena sana
 
KKwel
Dunia inajifunza mengi sana kupitia huu mgogoro, miaka michache ijayo Urusi na China wanaweza kuwa mbadala wa vitu vingi sana hapa duniani badala ya Marekani.
Kweli kabisa as the saying goes mlango mmoja ukifungwa mwingine unafunguka.
 
Uchumi wa Russia umeporomoka sana, Tena sana
Kipimo cha kitaalamu hutumia kigezo cha thamani ya pesa ya nchi husika! Maana ndio dira ya uchumi wa nchi. Kabla ya vita dola 1=ruble 82, lakini sasa dola 1=ruble 55!! Haihitaji kwenda shule kujua ni nani anapanda na ni nani anaporomoka!
 
Baada ya Urusi kufungiwa njia zote ilizokuwa inatumia kulipa madeni yake na Marekani, wawekezaji watazidi kuikimbia Urusi.

Urusi kwa sasa ni kama kisiwa, imetengwa na Mataifa yote yenye uchumi mkubwa duniani, hata China yupo naye kinafiki tu.

Je, Moscow kujibu mapigo?
____________________

Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

Marekani imesema itafunga njia ya mwisho kwa Russia kulipa mabilioni ya dola ya deni lake kwa wawekezaji wa kimataifa leo Jumatano, na kufanya Russia kushindwa kulipa madeni yake kwa mara ya kwanza tangu wakati wa mapinduzi yajulikanayo kama ya Bolshevik ya mwaka wa 1917.

Wizara ya fedha ya Marekani imesema katika taarifa kwamba haina mpango wa kutoa leseni mpya ili kuiruhusu Russia kuendelea kuwalipa wakopeshaji wake kupitia benki za Marekani.

Tangu awamu ya kwanza ya vikwazo, wizara ya fedha ya Marekani ilizipa benki leseni ya kushughulikia malipo yoyote ya dhamana kutoka Russia. Muda wa fursa hiyo unakamilika saa sita usiku Mei 25.

Kumekuwa pia ishara kwamba utawala wa Biden hauna niya ya kuongeza muda huo wa kikomo.

Bila leseni ya kutumia benki za Marekani kulipa madeni yake, Russia haitakuwa na uwezo wa kulipa dhamana za wawekezaji wake wa kimataifa.

Kremlin imekuwa ikitumia Benki ya JPMorgan Chase na Citigroup kama njia ya kulipa madeni yake.

Chanzo RT, Reuters, Aljazeera, DW, CNN & BBC.View attachment 2238208View attachment 2238210
Putin asipo kuwa eliminated basi nisimalize kuandika.
 
Hujui unachokizungumza!! wawekezaji gani wamekosa dhamana? Kilichotokea ni kwamba wawekezaji raia wa marekani wanaoidai urusi ndio waliopata pigo maana hawataweza kulipwa pesa zao!! Ni pigo kwa raia wa marekani na si pigo kwa urusi!!

Hata hivyo Urusi haina hatia wala haiwezi kuaibika maana haijashindwa kulipa deni lake!! Ila kilichotokea ni kwamba baba mwenye nyumba huko marekani amezuia watoto wake wasilipwe pesa wanazoidai urusi!! Hiyo ni akili matope!! Na urusi imesema SAFI nitawalipa kwa pesa ya kirusi RUBLE!! Halafu kwa kejeli urusi inasema katika mazingira hayo naweza nisiwalipe kabisa na pesa hizo nikazitumia kwa matumizi ambayo yule kizee wa marekani (Rais Biden) hatapenda sana!! akimaanisha atatumia pesa hizo kwenye vita ya ukraine: Jisomee mwenyewe hapa:

Medvedev also said Russia was willing to pay the debt in rubles, but noted it might choose “not to pay at all and use the unspent money for precisely those purposes that those senile Americans will not like very much.”
Unataka kuniambia Ujasus wa FBI ni wa kijinga kiasi hiki?

Fikiri vema mkuu, huwezi sema akili za hao mabepari yalilenga kuumiza wafanya biashara wa nchini mwake!!

Kuna nyundo imemwangukia kichwani Putin
 
Baada ya Urusi kufungiwa njia zote ilizokuwa inatumia kulipa madeni yake na Marekani, wawekezaji watazidi kuikimbia Urusi.

Urusi kwa sasa ni kama kisiwa, imetengwa na Mataifa yote yenye uchumi mkubwa duniani, hata China yupo naye kinafiki tu.

Je, Moscow kujibu mapigo?
____________________

Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

Marekani imesema itafunga njia ya mwisho kwa Russia kulipa mabilioni ya dola ya deni lake kwa wawekezaji wa kimataifa leo Jumatano, na kufanya Russia kushindwa kulipa madeni yake kwa mara ya kwanza tangu wakati wa mapinduzi yajulikanayo kama ya Bolshevik ya mwaka wa 1917.

Wizara ya fedha ya Marekani imesema katika taarifa kwamba haina mpango wa kutoa leseni mpya ili kuiruhusu Russia kuendelea kuwalipa wakopeshaji wake kupitia benki za Marekani.

Tangu awamu ya kwanza ya vikwazo, wizara ya fedha ya Marekani ilizipa benki leseni ya kushughulikia malipo yoyote ya dhamana kutoka Russia. Muda wa fursa hiyo unakamilika saa sita usiku Mei 25.

Kumekuwa pia ishara kwamba utawala wa Biden hauna niya ya kuongeza muda huo wa kikomo.

Bila leseni ya kutumia benki za Marekani kulipa madeni yake, Russia haitakuwa na uwezo wa kulipa dhamana za wawekezaji wake wa kimataifa.

Kremlin imekuwa ikitumia Benki ya JPMorgan Chase na Citigroup kama njia ya kulipa madeni yake.

Chanzo RT, Reuters, Aljazeera, DW, CNN & BBC.View attachment 2238208View attachment 2238210


Hapo Urusi atakuwa amepewa hela na sababu ya kutokulipa madeni kiulaini sana.

Ukiangalia, itakuja kuwaumiza wao Marekani na wakopeshaji tu pale Urusi itakaposema hela zipo ila tafuteni njia ya kuzipokea, wakopeshaji wataishia kuikaba Marekani kuondoa huo ujinga wake.

To be honest, I love how Putin has remained consistent, hatishii, jamaa ana maneno machache ila vitendo kwa 100%.

Go Putin.
 
Hapo Urusi atakuwa amepewa hela na sababu ya kutokulipa madeni kiulaini sana.

Ukiangalia, itakuja kuwaumiza wao Marekani na wakopeshaji tu pale Urusi itakaposema hela zipo ila tafuteni njia ya kuzipokea, wakopeshaji wataishia kuikaba Marekani kuondoa huo ujinga wake.

To be honest, I love how Putin has remained consistent, hatishii, jamaa ana maneno machache ila vitendo kwa 100%.

Go Putin.
Kwahiyo hayo wasiyajue wataalamu wa uchumi wa Marekani.
 
Hapo Urusi atakuwa amepewa hela na sababu ya kutokulipa madeni kiulaini sana.

Ukiangalia, itakuja kuwaumiza wao Marekani na wakopeshaji tu pale Urusi itakaposema hela zipo ila tafuteni njia ya kuzipokea, wakopeshaji wataishia kuikaba Marekani kuondoa huo ujinga wake.

To be honest, I love how Putin has remained consistent, hatishii, jamaa ana maneno machache ila vitendo kwa 100%.

Go Putin.
Ukionekana huwezi lipa bond sahau investors
 
Baada ya Urusi kufungiwa njia zote ilizokuwa inatumia kulipa madeni yake na Marekani, wawekezaji watazidi kuikimbia Urusi.

Urusi kwa sasa ni kama kisiwa, imetengwa na Mataifa yote yenye uchumi mkubwa duniani, hata China yupo naye kinafiki tu.

Je, Moscow kujibu mapigo?
____________________

Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

Marekani imesema itafunga njia ya mwisho kwa Russia kulipa mabilioni ya dola ya deni lake kwa wawekezaji wa kimataifa leo Jumatano, na kufanya Russia kushindwa kulipa madeni yake kwa mara ya kwanza tangu wakati wa mapinduzi yajulikanayo kama ya Bolshevik ya mwaka wa 1917.

Wizara ya fedha ya Marekani imesema katika taarifa kwamba haina mpango wa kutoa leseni mpya ili kuiruhusu Russia kuendelea kuwalipa wakopeshaji wake kupitia benki za Marekani.

Tangu awamu ya kwanza ya vikwazo, wizara ya fedha ya Marekani ilizipa benki leseni ya kushughulikia malipo yoyote ya dhamana kutoka Russia. Muda wa fursa hiyo unakamilika saa sita usiku Mei 25.

Kumekuwa pia ishara kwamba utawala wa Biden hauna niya ya kuongeza muda huo wa kikomo.

Bila leseni ya kutumia benki za Marekani kulipa madeni yake, Russia haitakuwa na uwezo wa kulipa dhamana za wawekezaji wake wa kimataifa.

Kremlin imekuwa ikitumia Benki ya JPMorgan Chase na Citigroup kama njia ya kulipa madeni yake.

Chanzo RT, Reuters, Aljazeera, DW, CNN & BBC.View attachment 2238208View attachment 2238210
Kuna kanchi kanakwenda kuwa tajiri soon kupitia huu mwanya! Hamna atakaye kubali asilipwe wakati mlipaji yuko tayari Kulipa! Nauona ugomvi wa mshawishi na walipwaji!
Dunia inahama misimu tuliyozoea kuishi hili limeshaanza kutokea!
Mipango ya MUNGU siyo mawazo yetu!
 
Mnajadili haya wala hamna habari na mikopo ambayo inachukulia na Bi mkubwa. Zingatieni ushauri wa Adunje Ndugayi.
 
Kwahiyo hayo wasiyajue wataalamu wa uchumi wa Marekani.
Mbona walishindwa kujua ya kwamba vikwazo dhidi ya Urusi vingeshababisha mfumko mkubwa wa bei duniani badala yake wamekuja kushutuka badae wakiwa wamesha viweka ,mpaka vingine wakarazimika kuvitoa baada ya hali kuwa mbaya?
 
Mbona walishindwa kujua ya kwamba vikwazo dhidi ya Urusi vingeshababisha mfumko mkubwa wa bei duniani badala yake wamekuja kushutuka badae wakiwa wamesha viweka ,mpaka vingine wakarazimika kuvitoa baada ya hali kuwa mbaya?
Hayo yote waliyajua na walishajua hayataepukika mpaka malengo yao yatimie.
 
Dunia ya sasa tayari imeendelea sana. Si lazima u-trade na kila nchi ili uwe na mustakbali mzuri wa uchumi. Pia kuna namna nyingi za biashara kufanyika ktk hali yoyote ile (ukizingatia kuwa hata wao Russia wanategemewa na mataifa mengi kwa bidhaa zake)
Duh, unawaza kinyumenyume sana, sasa kila nchi, kila mtu anaihitaji dunia nzima
 
Back
Top Bottom