Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

Haya mambo ni very technical, wewe unayeuza nyanya 🍅 hapo soko la Tandale hakuna kitu unachoweza kujua hapo eti Marekani wasijue hivyo wewe endelea kusubiri nyanya 🍅 toka Mvomero.
 
Huoni huo ulikua mtego?
Anachofanyiwa Mrusi hukioni....?
Unadhani Ukraine kama hasaidiwi,angeendelea kupigana hadi sasa?
Apeleke mandege yake km alivyopeleka Libya asijifanye Ukraine sio NATO wakati Hata Libya, Syria na Iraq zote hazikuwa NATO na alienda kushambulia kinamshinda nn anakazi ya kuagiza silaha tu
 
Ile nchi ina viongozi sio kama huku kwetu tunaokota watu
 
EU na USA walimvizia Putin ajichanganye wammalize. Na yeye alivyo mjinga kweli kajichanganya.
Ukraine NI chambo tu.

Kwa aliyesikiliza hotuba ya rais wa European Commission Jana kwenye mkutano wa WEF atanielewa.
Hollywood movies zinakudanganya sana, haya Russia kashaivamia Ukraine toka february hao USA na EU wanamvizia mpaka mwezi wa ngapi?
 
Hizo mbwembwe tu, ww huwezi kuwa na akili ya kuyajua hayo ukawizidi wachumi wa USA.
 
Haya mambo ni very technical, wewe unayeuza nyanya [emoji534] hapo soko la Tandale hakuna kitu unachoweza kujua hapo eti Marekani wasijue hivyo wewe endelea kusubiri nyanya [emoji534] toka Mvomero.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani kawaita wehu kabisa 'those Senile Americans" [emoji23][emoji23][emoji23]
 
ni ipi athari ya Urusi kudefault kwa makampuni ya nje yaliyonunua bond zake

naona kama vile mmarekani na ulaya wanakwenda kugawana hasara baada ya mrusi kushindwa kulipa madeni yake
 
ni ipi athari ya Urusi kudefault kwa makampuni ya nje yaliyonunua bond zake

naona kama vile mmarekani na ulaya wanakwenda kugawana hasara baada ya mrusi kushindwa kulipa madeni yake
Kwamba ilo hawalijuhi mkuu.
 
Haya mambo ni very technical, wewe unayeuza nyanya 🍅 hapo soko la Tandale hakuna kitu unachoweza kujua hapo eti Marekani wasijue hivyo wewe endelea kusubiri nyanya 🍅 toka Mvomero.
Siy wote ni wauza nyanya kama wewe!! Ukweli ni kwamba Marekani imechanganyikiwa, na haijui cha kufanya!! Waliweka vikwazo vya kiuchumi wakidhani uchumi wa urusi utaporomoka ghafla kinyume chake uchumi ukawa na nguvu na pesa yake ikawa na nguvu kuliko hata wakati wa kabla ya vita!! Hivi hata kwa akili ya kawaida kuzuia wawekezaji raia bwa marekani wasilipwe pesa zao wanazoidai urusi ni kitu chenye tija au??
 
EU na USA walimvizia Putin ajichanganye wammalize. Na yeye alivyo mjinga kweli kajichanganya.
Ukraine NI chambo tu.

Kwa aliyesikiliza hotuba ya rais wa European Commission Jana kwenye mkutano wa WEF atanielewa.
Yaani wewe unaizidi think tank ya Russia? Umevimbiwa viazi wewe.
 
kwani la bei ya mafuta kupaa mawinguni &sarafu ya mrusi kuimalika zaidi hawakuwa wakilijua wakati wakiandaa package ya vikwazo dhidi ya Urusi
Sarafu ipi iliyoimarika? Dollar bado ipo imara na kinara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…