Marekani yafungua Ubalozi wao ndani ya Kyiv baada ya kuufunga takriban miezi 3 iliyopita

M


Mi naona Kama Mmarekani kaamua kumuachia MRUSI sehemu zingine zote ndani ya Ukraine isipokuwa Kyiv.

Alipo MRUSI Mmarekani hakanyagi na alipo Mmarekani MRUSI hakanyagi.

Sioni Vita hii ikiisha siku za hivi karibuni.
Mkuu marekani kwa azimio la congress ni kuirejesha Ukraine na mipaka yake yote ikiwemo Donbas na cremea muda ndio utaongea kumbuka marekani wametenga budget ya miaka 5 ikibidi wataendeleza mapambano mpaka kieleweke, mrusi haondoki na kitu kwenye ardhi ya Ukraine
 
Tatizo hawa watoto wa jf hawajielewi yaani nia vilaza hawajui mziki wa USA na hawajui maana ya taifa kuitwa super power sasa kwa dhati kabisa USA kwenye hii vita ndo anataka kuudhihirisha usuper power wake apa duniani yaani ndo ameamua kwa maksud kabisa kumuonyesha Russia kwamba yeye bado ni mtoto mdogo sana kwa USA
 
Usisahau kidole kingine kinakurudia wewe!
 
[emoji91][emoji91][emoji91]A new video address by Azov commander Denys “Redis” Prokopenko. He says the regiment has orders from Kyiv to end resistance in order to save lives. He suggests that next stage is the evacuation of the dead[emoji91][emoji91][emoji91] https://t.co/wNijR0Idqf
 
Vp mpaka hapo [emoji116][emoji116][emoji116]

#BREAKING | #Ukraine's Azov regiment says military command has issued order to end combat in #Mariupol.

#UkraineRussia https://t.co/YEbqkjVniN
 
[emoji635][emoji1103] Russian gas supplies to Finland will stop at 07:00 Moscow time on May 21, the Finnish company Gasum announced
 
Hilo ni tambala tu kama wawanaweza wakaokoe mateka
 
#Marioupol totally free from n@zi [emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1318][emoji1316]
 
[emoji419][emoji419] [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…