Marekani yaikataza isiwape silaha Urusi lakini yeye anaipa Ukraine na Israel

Marekani yaikataza isiwape silaha Urusi lakini yeye anaipa Ukraine na Israel

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Ukiskia duniani kuna maajabu ndio haya.
Marekani anapiga kura ya turufu UNO dhidi ya Ukrain au Palestina akipiga China au Russia America anakasirika
Anasambaza silaha akisambza mwengine kosa.
Haya maajabu ya mwaka.
Yanatakiwa yawe ktk vitabu vya maajabu ya dunia
 
Ukiskia duniani kuna maajabu ndio haya.
Marekani anapiga kura ya turufu UNO dhidi ya Ukrain au Palestina akipiga China au Russia America anakasirika
Anasambaza silaha akisambza mwengine kosa.
Haya maajabu ya mwaka.
Yanatakiwa yawe ktk vitabu vya maajabu ya dunia
kwan silaha za USA haziko mikonon mwa waasi wengi kama ak47 ? Huyu USA mnamuona mbaya ila siku akianguka ndio mtaona rangi halisi za hao mashoga zenu
 
Ukiskia duniani kuna maajabu ndio haya.
Marekani anapiga kura ya turufu UNO dhidi ya Ukrain au Palestina akipiga China au Russia America anakasirika
Anasambaza silaha akisambza mwengine kosa.
Haya maajabu ya mwaka.
Yanatakiwa yawe ktk vitabu vya maajabu ya dunia
Kwasababu ukraine hakuanzisha vita bali alivamiwa ni haki ya ukraine kusaidiwa kumuondoa mvamizi urusi
 
Marekani ni Taifa la kinafiki.
Wanahubiri haki za binadamu,lkn wao hawatendi haki,

Wanahubiri uhuru wa habari lkn wao hawana uhuru,

Wanahubiri demokrasia,lkn wao hawana demokrasia.

Nina majibu juu ya hayo niliyoandika.
Wewe ndio mnafiki huoni ukraine ndio alivamiwa na urusi yeye hakuanzisha vita ni haki yake kusaidiwa ukimsaidia urusi silaha unamsaidia jambazi
 
Kwasababu ukraine hakuanzisha vita bali alivamiwa ni haki ya ukraine kusaidiwa kumuondoa mvamizi urusi
Ukraine alivunja mikataba baada kudanganywa kuwa akishambuliwa watamsaidia matokeo yke wanampa silaha wanakaa pembeni kupgwa ni haki yake sababu hana akili anaongoza nchi kwa kufuata maelekezo.
 
AK47 ni USA made ? je imeanza ingia Afrika tangu mwaka gan ?
Unachanganya mambo rafiki.
AK-47 inauzwa kama zinavyouzwa silaha nyimgine za mataifa mengine,ni ubora wake tu ndio unaifanya ipendwe na watumiaji Dunia nzima.
Fahamu kwamba mataifa ya ulaya mgharibi na marafiki zao wa mbali hawaitumii AK-47 wanatumia silaha bunduki nyingine na hata kutoka USA.
Hata hivyo Kuna nchi zaidi ya 11 duniani zina leseni ya kutengeneza AK-47.

Kuingia Afrika ni kutokana na kupendwa kwake.
Waasi wote duniani hununua silaha kwa Siri lkn sio serikali ya Urusi inayowauzia..

Sasa hoja ya mtoa mada inasema hivi,Marekani inayakataza mataifa mengine yasiiuzie au yasiipe silaha Urusi katika mgogoro Wake na Ukraine,lakini Marekani yenyewe inaipa Ukraine silaha na inayahamasisha mataifa mengine yaipe Ukraine silaha ili iipige urusi.hapo ndipo hoja ya mtoa mada iliposimamia.
Twende na hoja ya mtoa mada.

Hebu jiulize vipi pale Marekani na washirika wake walipokua wakipigana nq Iraq ama Watalaban ama wa wayugoslavia Urusi na china na Korea na Iran na Syria na mataifa mengine wangekua wanawapa silaha na ushauri wa kivita Watalaban,wairaq na wayugoslavia.unafikiri ni Nini kingetokea?
 
kwan silaha za USA haziko mikonon mwa waasi wengi kama ak47 ? Huyu USA mnamuona mbaya ila siku akianguka ndio mtaona rangi halisi za hao mashoga zenu
Hamna ndugu yangu,USA akianguka maisha yatendelea TU.hata ujeremani ya Hitler wazee wetu waliwaza kama wewe,lakini alipoanguka maisha yanaendelea TU.
Kulikua na tawala nyingi TU zenye nguvu zilianguka na maisha yanaendelea tu.Dunia hii ni Mali ya Mungu, yeye ndie ajuaye sio USA.
Waingereaza walikua na nguvu kuishinda Marekani na waliitawala,yaani Marekani ilikua koloni la uingereza, uingereza ilitawala karibu robotatu ya Dunia, uingereza ilianguka na maisha yaliendelea
 
Ukiskia duniani kuna maajabu ndio haya.
Marekani anapiga kura ya turufu UNO dhidi ya Ukrain au Palestina akipiga China au Russia America anakasirika
Anasambaza silaha akisambza mwengine kosa.
Haya maajabu ya mwaka.
Yanatakiwa yawe ktk vitabu vya maajabu ya dunia
Hawa na mashoga zao same type wale wanazuia Hamasi hata wasinywe maji ili wapigane nao 😄
 
Wewe ndio mnafiki huoni ukraine ndio alivamiwa na urusi yeye hakuanzisha vita ni haki yake kusaidiwa ukimsaidia urusi silaha unamsaidia jambazi
Unajua lkn sababu za Urusi kuivamia Ukraine?
Maana naogopa nisije nikapoteza muda wangu kukuelimisha sababu za vita hiyo.
Wamarekani wenye akili wanaijua sababu na wanaona Urusi ana haki ya kuvamia .hata Donald Trump anakerwa na nchi yake kupeleka silaha Ukraine na anaona Urusi inayo sababu ya kuivamia Ukraine.
 
Back
Top Bottom