Marekani yaikataza isiwape silaha Urusi lakini yeye anaipa Ukraine na Israel

Marekani yaikataza isiwape silaha Urusi lakini yeye anaipa Ukraine na Israel

Ukraine alivunja mikataba baada kudanganywa kuwa akishambuliwa watamsaidia matokeo yke wanampa silaha wanakaa pembeni kupgwa ni haki yake sababu hana akili anaongoza nchi kwa kufuata maelekezo.
Fatilia vizuri mkuu. Kwa ulaya Ukraine ilikua nchi ya 2 Kama sikosei kwa nchi zenye ghala kubwa za siraha za nyukilia. Huyo huyo urusi alishiriki kumshawishi USA, France na UK na UMOJA wa ulaya ili Ukraine akubali kuziangamiza kwa ahadi ya kulindwa. Lakini baada ya Ukraine kuziangamiza siraha za nyukilia. Urusi imekua nchi ya kwanza kuivamia Ukraine. Urusi ni snich tu. Mbona akuivamia wakati silaha ya nyukilia zipo
 
Kuna mtu anaamini marekani ikidondoka na Dunia inaanguka kisa mtambo wa kuzalisha oxygen tunayovuta Ili kuishi unaendeshwa na USA ndivyo alivyomezeshwa na shoga mmoja from USA
 
Fatilia vizuri mkuu. Kwa ulaya Ukraine ilikua nchi ya 2 Kama sikosei kwa nchi zenye ghala kubwa za siraha za nyukilia. Huyo huyo urusi alishiriki kumshawishi USA, France na UK na UMOJA wa ulaya ili Ukraine akubali kuziangamiza kwa ahadi ya kulindwa. Lakini baada ya Ukraine kuziangamiza siraha za nyukilia. Urusi imekua nchi ya kwanza kuivamia Ukraine. Urusi ni snich tu. Mbona akuivamia wakati silaha ya nyukilia zipo
Hii habari huijui yaani umeiingilia kinyume na maumbile aidha Kwa maksudi au Kwa umbumbumbu wa kutosama habari tola vyombo mbalimbali duniani na kuishia kumeza upumbavu pole sana
 
Hii habari huijui yaani umeiingilia kinyume na maumbile aidha Kwa maksudi au Kwa umbumbumbu wa kutosama habari tola vyombo mbalimbali duniani na kuishia kumeza upumbavu pole sana
Una akili fupi sana si kosa lako. Angalia niliyemjibu aliandika nini. Usikurupuke na matusi ukaonyesha kiwango chako Cha ujinga hata kwa wasiyojua ujinga wako ni mkubwa kiasi gani.
 
Back
Top Bottom