DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Mayahudi na wakristo hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila zenuKwasababu ukraine hakuanzisha vita bali alivamiwa ni haki ya ukraine kusaidiwa kumuondoa mvamizi urusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayahudi na wakristo hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila zenuKwasababu ukraine hakuanzisha vita bali alivamiwa ni haki ya ukraine kusaidiwa kumuondoa mvamizi urusi
Wajinga mpka leo hamuelewi kwanini kuna vita ya Ukraine na urusi?urusi hawezi kukabidhi eneo lake kwa NATO.Kwasababu ukraine hakuanzisha vita bali alivamiwa ni haki ya ukraine kusaidiwa kumuondoa mvamizi urusi
Ukraine ni taifa huru wala hakuna eneo la urusi ndani ukraine acha kuunda porojo za vijiwe vya kahawaWajinga mpka leo hamuelewi kwanini kuna vita ya Ukraine na urusi?urusi hawezi kukabidhi eneo lake kwa NATO.
Fatilia vizuri mkuu. Kwa ulaya Ukraine ilikua nchi ya 2 Kama sikosei kwa nchi zenye ghala kubwa za siraha za nyukilia. Huyo huyo urusi alishiriki kumshawishi USA, France na UK na UMOJA wa ulaya ili Ukraine akubali kuziangamiza kwa ahadi ya kulindwa. Lakini baada ya Ukraine kuziangamiza siraha za nyukilia. Urusi imekua nchi ya kwanza kuivamia Ukraine. Urusi ni snich tu. Mbona akuivamia wakati silaha ya nyukilia zipoUkraine alivunja mikataba baada kudanganywa kuwa akishambuliwa watamsaidia matokeo yke wanampa silaha wanakaa pembeni kupgwa ni haki yake sababu hana akili anaongoza nchi kwa kufuata maelekezo.
Ak47 ni USA made in RussiaAK47 ni USA made ? je imeanza ingia Afrika tangu mwaka gan ?
Hii habari huijui yaani umeiingilia kinyume na maumbile aidha Kwa maksudi au Kwa umbumbumbu wa kutosama habari tola vyombo mbalimbali duniani na kuishia kumeza upumbavu pole sanaFatilia vizuri mkuu. Kwa ulaya Ukraine ilikua nchi ya 2 Kama sikosei kwa nchi zenye ghala kubwa za siraha za nyukilia. Huyo huyo urusi alishiriki kumshawishi USA, France na UK na UMOJA wa ulaya ili Ukraine akubali kuziangamiza kwa ahadi ya kulindwa. Lakini baada ya Ukraine kuziangamiza siraha za nyukilia. Urusi imekua nchi ya kwanza kuivamia Ukraine. Urusi ni snich tu. Mbona akuivamia wakati silaha ya nyukilia zipo
Una akili fupi sana si kosa lako. Angalia niliyemjibu aliandika nini. Usikurupuke na matusi ukaonyesha kiwango chako Cha ujinga hata kwa wasiyojua ujinga wako ni mkubwa kiasi gani.Hii habari huijui yaani umeiingilia kinyume na maumbile aidha Kwa maksudi au Kwa umbumbumbu wa kutosama habari tola vyombo mbalimbali duniani na kuishia kumeza upumbavu pole sana