Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au siyo? 😆😆😆😆😆Marekani hawezi kuwekeza kwenye Nchi iliyojaa Wauwaji na Watekaji.
On Contrary mimi naona ukiiita nchi nyingine beberu umejishusha...assumption ni kwamba wote sisi (kama nchi) ni mbuzi mee kisha katika hao mbuzi mee yupo mbuzi dume ambaye the rest ya mbuzi mnamtambua kama beberu na nyie wengine ni majike.To call or name someone as "Beberu" always has a negative connotation.
Tunashukuru mno kwa kuonwa na Marekani na nitatoa rai kwa serikali yetu kukubali mara moja ujenzi wa reli hiyo kuanza haraka sana!Beberu USA amekusudia kupambana na China katika umiliki wa Madini mkakati yaani critical minerals Kwa kuunganisha Bandari za Dar na Lobito Kupitia kuunganisha reli za Tazara na Benguela.
Huku Marekani ikiimarisha uhusiano na Tanzania, mipango ya kujenga miundombinu kando ya ukanda wa reli ya Lobito inazidi kuimarika.
Je, hii inaweza kuwa mabadiliko katika soko muhimu la madini barani Afrika?
Mambo inazidi kunoga yaani 🔥🔥👇👇
My Take: Zile barua za kina Mdude wa Chadema nani atazitilia maanani ikiwa Beberu wanaemtegemea anaangalia maslahi yake zaidi?👇👇
==============
The U.S. government says it is set to expand the Lobito Corridor - a railway project that runs from Angola to Zambia through the Democratic Republic of the Congo - all the way to the Indian Ocean through Tanzania. The railway would connect African countries to global markets and enhance regional trade and economic growth, supporters say.
US set to extend African railway project through Tanzania
Speaking to reporters online Wednesday, Helaina Matza, the U.S. acting special coordinator for the Partnership for Global Infrastructure and Investment, spoke about progress made on upgrading and extending the Lobito Corridor.
Matza, who just finished a weeklong trip to the DRC and Tanzania, said the trip focused on 'relaunching our partnership with the DRC and engaging with the Tanzanian government and private sector on next steps towards extending the economic corridor to the Indian Ocean. As President [Joe] Biden has said from day one of the launch of this flagship effort, this corridor has never just been about building infrastructure. It's about offering high-quality, sustainable infrastructure projects that deliver lasting economic growth.'
The U.S. government, with the support of the European Union, African financial institutions, and the governments of Angola, the DRC and Zambia, is working to rebuild and revive the Benguela railway line that the countries used to export materials and minerals even before independence.
The project will be financed by $250 million supplied by the U.S. International Development Finance Corporation.
U.S. officials say the improved railway line is meant to enhance export possibilities for Angola, the DRC and Zambia. The partly refurbished railway has already carried shipments of Congolese copper to Angola's Lobito port for shipment to the city of Baltimore on the U.S. East Coast.
Erastus Mwencha, former deputy chairperson of the African Union Commission, said transport systems like the Lobito Corridor can help improve trade among African countries.
'One of the reasons intra-Africa trade is low is because of poor transport networks,' Mwencha said, adding that goods can sometimes be brought from Europe to Africa at more competitive rates than goods being moved from one African country to another.
But Mwencha is worried that the ports and railways used to export Africa's raw materials remain largely the same as they were during colonial times, and that Africa is also still operating on a colonial-era business model.
'Are we going to follow the colonial model of just bringing these raw materials and minerals and exporting them, or are we going to add value?' he said. 'To me, that's the more important aspect.'
Studies show that a poor transportation network in Africa adds 30 percent to 40 percent to the cost of goods traded among African countries, hampering the development of the private sector.
Matza said the Lobito project would benefit not only the U.S. but also African countries and would facilitate business on the continent.
'When you bring trade routes down from 45 days to 36 hours,' she said, 'it opens up a whole new world for markets, and that's what we're testing here today: How can we help new agribusiness develop? What are the right places to think about cold storage, warehousing, logistics? What local food producers can we help support along the way?"
In addition to refurbishing existing lines, the project envisions adding 1,300 kilometers of railway from Zambia to Tanzania. The project is slated to be finished by 2029.
Voice of America
Pia, soma: Ujenzi wa Reli ya Benguela (Lobito Port - Kubumbashi) kunaenda kuua Bandari ya Dar
Yeah! Tukiweka kando hizi habari za siasa na chuki binafsi, kiuchumi ujenzi huo ni fursa kubwa kwa nchi yetu i.e. vijana watapata Ajira na nchi itajiongezea kipato. Nchi "itafunguka" zaidi.Tunashukuru mno kwa kuonwa na Marekani na nitatoa rai kwa serikali yetu kukubali mara moja ujenzi wa reli hiyo kuanza haraka sana!
Ni sahihi kwamba nchi zote (hata wananchi ktk nchi moja) hatuwezi kulingana. Tabia ya Beberu inafahamika; anapokuwa kwenye kundi la mbuzi mee, beberu huvamia majike kingono au kuwasumbua kwa kelele na mikwara kedekede japokuwa hawezi kuwapanda wote hata kama wangetulia au kuridhia hitaji lake.On Contrary mimi naona ukiiita nchi nyingine beberu umejishusha...assumption ni kwamba wote sisi (kama nchi) ni mbuzi mee kisha katika hao mbuzi mee yupo mbuzi dume ambaye the rest ya mbuzi mnamtambua kama beberu na nyie wengine ni majike.
Beberu wengi wanarefer kama nchi za kinyonyaji lakini pia inaweza kutafsiriwa kama nchi yenye nguvu za kiuchumi na kiutawala. Na hivyo nchi nyingine zinajiona weak na inferior. Mbuzi Beberu katika ufalme wa mbuzi hata bei yake ipo juu...anapiga vichwa balaa
Beberu USA amekusudia kupambana na China katika umiliki wa Madini mkakati yaani critical minerals Kwa kuunganisha Bandari za Dar na Lobito Kupitia kuunganisha reli za Tazara na Benguela.
Huku Marekani ikiimarisha uhusiano na Tanzania, mipango ya kujenga miundombinu kando ya ukanda wa reli ya Lobito inazidi kuimarika.
Je, hii inaweza kuwa mabadiliko katika soko muhimu la madini barani Afrika?
Mambo inazidi kunoga yaani 🔥🔥👇👇
View: https://x.com/usembassytz/status/1829401948119818728?t=nTkvBoP50lj4LnVifv_0aA&s=19
My Take:
Zile barua za kina Mdude wa Chadema nani atazitilia maanani ikiwa Beberu wanaemtegemea anaangalia maslahi yake zaidi?👇👇
==============
The U.S. government says it is set to expand the Lobito Corridor - a railway project that runs from Angola to Zambia through the Democratic Republic of the Congo - all the way to the Indian Ocean through Tanzania. The railway would connect African countries to global markets and enhance regional trade and economic growth, supporters say.
US set to extend African railway project through Tanzania
Speaking to reporters online Wednesday, Helaina Matza, the U.S. acting special coordinator for the Partnership for Global Infrastructure and Investment, spoke about progress made on upgrading and extending the Lobito Corridor.
Matza, who just finished a weeklong trip to the DRC and Tanzania, said the trip focused on 'relaunching our partnership with the DRC and engaging with the Tanzanian government and private sector on next steps towards extending the economic corridor to the Indian Ocean. As President [Joe] Biden has said from day one of the launch of this flagship effort, this corridor has never just been about building infrastructure. It's about offering high-quality, sustainable infrastructure projects that deliver lasting economic growth.'
The U.S. government, with the support of the European Union, African financial institutions, and the governments of Angola, the DRC and Zambia, is working to rebuild and revive the Benguela railway line that the countries used to export materials and minerals even before independence.
The project will be financed by $250 million supplied by the U.S. International Development Finance Corporation.
U.S. officials say the improved railway line is meant to enhance export possibilities for Angola, the DRC and Zambia. The partly refurbished railway has already carried shipments of Congolese copper to Angola's Lobito port for shipment to the city of Baltimore on the U.S. East Coast.
Erastus Mwencha, former deputy chairperson of the African Union Commission, said transport systems like the Lobito Corridor can help improve trade among African countries.
'One of the reasons intra-Africa trade is low is because of poor transport networks,' Mwencha said, adding that goods can sometimes be brought from Europe to Africa at more competitive rates than goods being moved from one African country to another.
But Mwencha is worried that the ports and railways used to export Africa's raw materials remain largely the same as they were during colonial times, and that Africa is also still operating on a colonial-era business model.
'Are we going to follow the colonial model of just bringing these raw materials and minerals and exporting them, or are we going to add value?' he said. 'To me, that's the more important aspect.'
Studies show that a poor transportation network in Africa adds 30 percent to 40 percent to the cost of goods traded among African countries, hampering the development of the private sector.
Matza said the Lobito project would benefit not only the U.S. but also African countries and would facilitate business on the continent.
'When you bring trade routes down from 45 days to 36 hours,' she said, 'it opens up a whole new world for markets, and that's what we're testing here today: How can we help new agribusiness develop? What are the right places to think about cold storage, warehousing, logistics? What local food producers can we help support along the way?"
In addition to refurbishing existing lines, the project envisions adding 1,300 kilometers of railway from Zambia to Tanzania. The project is slated to be finished by 2029.
Voice of America
Pia, soma: Ujenzi wa Reli ya Benguela (Lobito Port - Kubumbashi) kunaenda kuua Bandari ya Dar
Beberu USA amekusudia kupambana na China katika umiliki wa Madini mkakati yaani critical minerals Kwa kuunganisha Bandari za Dar na Lobito Kupitia kuunganisha reli za Tazara na Benguela.
Huku Marekani ikiimarisha uhusiano na Tanzania, mipango ya kujenga miundombinu kando ya ukanda wa reli ya Lobito inazidi kuimarika.
Je, hii inaweza kuwa mabadiliko katika soko muhimu la madini barani Afrika?
Mambo inazidi kunoga yaani 🔥🔥👇👇
View: https://x.com/usembassytz/status/1829401948119818728?t=nTkvBoP50lj4LnVifv_0aA&s=19
My Take:
Zile barua za kina Mdude wa Chadema nani atazitilia maanani ikiwa Beberu wanaemtegemea anaangalia maslahi yake zaidi?👇👇
==============
The U.S. government says it is set to expand the Lobito Corridor - a railway project that runs from Angola to Zambia through the Democratic Republic of the Congo - all the way to the Indian Ocean through Tanzania. The railway would connect African countries to global markets and enhance regional trade and economic growth, supporters say.
US set to extend African railway project through Tanzania
Speaking to reporters online Wednesday, Helaina Matza, the U.S. acting special coordinator for the Partnership for Global Infrastructure and Investment, spoke about progress made on upgrading and extending the Lobito Corridor.
Matza, who just finished a weeklong trip to the DRC and Tanzania, said the trip focused on 'relaunching our partnership with the DRC and engaging with the Tanzanian government and private sector on next steps towards extending the economic corridor to the Indian Ocean. As President [Joe] Biden has said from day one of the launch of this flagship effort, this corridor has never just been about building infrastructure. It's about offering high-quality, sustainable infrastructure projects that deliver lasting economic growth.'
The U.S. government, with the support of the European Union, African financial institutions, and the governments of Angola, the DRC and Zambia, is working to rebuild and revive the Benguela railway line that the countries used to export materials and minerals even before independence.
The project will be financed by $250 million supplied by the U.S. International Development Finance Corporation.
U.S. officials say the improved railway line is meant to enhance export possibilities for Angola, the DRC and Zambia. The partly refurbished railway has already carried shipments of Congolese copper to Angola's Lobito port for shipment to the city of Baltimore on the U.S. East Coast.
Erastus Mwencha, former deputy chairperson of the African Union Commission, said transport systems like the Lobito Corridor can help improve trade among African countries.
'One of the reasons intra-Africa trade is low is because of poor transport networks,' Mwencha said, adding that goods can sometimes be brought from Europe to Africa at more competitive rates than goods being moved from one African country to another.
But Mwencha is worried that the ports and railways used to export Africa's raw materials remain largely the same as they were during colonial times, and that Africa is also still operating on a colonial-era business model.
'Are we going to follow the colonial model of just bringing these raw materials and minerals and exporting them, or are we going to add value?' he said. 'To me, that's the more important aspect.'
Studies show that a poor transportation network in Africa adds 30 percent to 40 percent to the cost of goods traded among African countries, hampering the development of the private sector.
Matza said the Lobito project would benefit not only the U.S. but also African countries and would facilitate business on the continent.
'When you bring trade routes down from 45 days to 36 hours,' she said, 'it opens up a whole new world for markets, and that's what we're testing here today: How can we help new agribusiness develop? What are the right places to think about cold storage, warehousing, logistics? What local food producers can we help support along the way?"
In addition to refurbishing existing lines, the project envisions adding 1,300 kilometers of railway from Zambia to Tanzania. The project is slated to be finished by 2029.
Voice of America
Pia, soma: Ujenzi wa Reli ya Benguela (Lobito Port - Kubumbashi) kunaenda kuua Bandari ya Dar
Why Chinese? over the Americans? It is better not to judge before you activelly participate in the the dialogue table(Round table)and weigh out the findings from both sides.We should prefer the Chinese over the Americans. The Americans would always want a relation of master and subservient and never want a fifty fifty sharing of economic benefits. And than we will expose ourselves to political interference and sabotage against real economic development for the masses of our population which is our model for economic development.
Omba Ueleweshwe kama wataka kujua sio kuleta ujuaji usiokuwa na maanaWewe unajua?
NajuaOmba Ueleweshwe kama wataka kujua sio kuleta ujuaji usiokuwa na maana
Are you serious?Marekani hawezi kuwekeza kwenye Nchi iliyojaa Wauwaji na Watekaji.
Mkuu kijogroafia sisi tutakuwa losers,kwa kuwa tunatumia uhaba wa miundobinu ya kisasa katika DRC,Zambia,ambao ni producers wa madini mbali mbali kupitia Lobito Angola badala ya Dar-es'salaam.Yeah! Tukiweka kando hizi habari za siasa na chuki binafsi, kiuchumi ujenzi huo ni fursa kubwa kwa nchi yetu i.e. vijana watapata Ajira na nchi itajiongezea kipato. Nchi "itafunguka" zaidi.
OK; Mkuu. Je, ukilinganisha na manufaa/faida ipatikanayo kwa sasa tunapoitumia fursa ya Uhaba(Ukosefu)wa miundombinu ya kisasa iliyopo DRC, Zambia na Manufaa/Faida ya kuwa na miundombinu ya kisasa na kukosa kupitishwa kwa madini na bidhaa nyingine bandari ya Dar-es Salaam ni kipi bora zaidi?Mkuu kijogroafia sisi tutakuwa losers,kwa kuwa tunatumia uhaba wa miundobinu ya kisasa katika DRC,Zambia,ambao ni producers wa madini mbali mbali kupitia Lobito Angola badala ya Dar-es'salaam.
Madini yawe yanasafishwa kwenda nchi za magharibi au mashariki yote yanapitia Dar-es'salaam.
Lakini ikijengwa hiyo njia ya kupitia Lobito Angola itaua bandari za Mombasa Kenya,Tanga,Dar hata Mtwara.
Dawa nikutoshabikia mradi huo kabisa, ukisaidiwa na vurugu ya wapigania uhuru walio msituni DRC,Angola ili usalama uwe kikwazo.
Mkuu badari imekodishwa kwa sababu ya utendaji mbovu.OK; Mkuu. Je, ukilinganisha na manufaa/faida ipatikanayo kwa sasa tunapoitumia fursa ya Uhaba(Ukosefu)wa miundombinu ya kisasa iliyopo DRC, Zambia na Manufaa/Faida ya kuwa na miundombinu ya kisasa na kukosa kupitishwa kwa madini na bidhaa nyingine bandari ya Dar-es Salaam ni kipi bora zaidi?
Kwa wakati huu madini na bidhaa nyingine vinapitishwa Dar, lakini sioni tunanufaikaje na hilo. Bandari ya Dar imekuwa ni mzigo kwa Taifa hadi ikaonekana ni bora kuibinafsisha.
Tutumie akili kubwa sasa tuanze kuboresha Tazara kuwa katika kiwango cha SGR inayotumia umeme.
TAZARA ikiboreshwa kuwa kiwango cha SGR na ikawa inatumia umeme, kuna iwezekano mkubwa Nchi za Marekani zikafika Asia kupitia Corridor ya Robito na Reli ya TAZARA hasa kwa sababu ya shughuli za Kigaidi za waasi wa Houthi katika njia ya Bahari ya Yemen.
Wenzetu wanawaza mbali sana. Mzigo ukifika Robito utaweza kufikishwa Bahari ya Hindi kupitia Bandari ya DSM kwa haraka sana na kuendelea na Safari kuelekea Bara la Asia. au nchi za Mashariki mwa Afrika.
Pia hii inaweza ikawa fursa kwetu endapo tukiamua kufanya kama Indonesia hasa kwa kuwalazimisha kutengeneza kiwanda cha Battery za Umeme hapa Tanzania. Wanaweza kutengeneza kiwanda Tanzania, wakawa wanaleta hadi madini wanayotoa Congo hapa Tanzania na kutengeneza hizo battery then zikasafirishwa kwa Reli yetu kuelekea Marekani na hata Asia kwenye masoko.
Hii ina maana kwenye ushindani hatufurukuti sio?Mkuu badari imekodishwa kwa sababu ya utendaji mbovu.
Lakini kama hakuna ufanisi hiyo bandari itakimbiwa na wateja wake kwenda bandari nyingine kama Mombasa,Nacala,Beira,Richardabay,Durban nakuifanya Bandari zetu za Tanga,Dar,Zanzibar, Mtwara kuwa feeder ports.
Ikipatikana Kampuni yenye kifua and competent company kama DP World Dar-es'salaam Port itahudumia mizigo mingi mno mara tano au zaidi.
Tukija kwenye reli ya Lobito to Dar-es'salaam mimi siiungi mkono kabisa,Lobito itatunyanganya mizigo kwa faida ya nani?Isipoendelezwa ni faida kwa bandari za Africa Mashariki.
Sisi Tanzania tujikite kuishia DRC na Zambia hasa tujenge miundo mbinu ya kuunganisha Congo Mashariki na nchi yetu.