Marekani yaimulika Tanzania katika mbio za kushindana na China kumiliki Madini Mkakati

Hii ina maana kwenye ushindani hatufurukuti sio?
Mkuu nasikia wanasema vita vya uchumi ni ngumu sana.
Tungeomba kimoyomoyo
angezaliwa Savimbi mwingine wa UNITA huko Angola ili wanaotaka kuipa shavu Bandari ya Lobito wachelewe sana au wakate tamaa.
 
Mkuu nasikia wanasema vita vya uchumi ni ngumu sana.
Tungeomba kimoyomoyo
angezaliwa Savimbi mwingine wa UNITA huko Angola ili wanaotaka kuipa shavu Bandari ya Lobito wachelewe sana au wakate tamaa.
Mbona ukiona hivyo ujue wameshajihakikishia No more "Savimbiism".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…