Marekani yaitamani demokrasia ya Kenya

Marekani yaitamani demokrasia ya Kenya

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Soma mwenyewe hapa. Lumumba kwa kuwa hamjui kiingereza mtafuatilia komenti ili kujua kilichoandikwa.

20220903_073133.jpg


20220903_073921.png
 
Unamaanisha demokrasia hii ambayo Odinga anasema mwenyekiti wa tume alikuja na jina la mgombea wake wa uraisi mfukoni au?
 
Unamaanisha demokrasia hii ambayo Odinga anasema mwenyekiti wa tume alikuja na jina la mgombea wake wa uraisi mfukoni au?
Fuatilia basi japo kidogo kwa yanayoendelea Kenya kuhusu huo uchaguzi!
Kwa ule uwazi wa hiyo kesi...CCM mkasome.
 
Fuatilia basi japo kidogo kwa yanayoendelea Kenya kuhusu huo uchaguzi!
Kwa ule uwazi wa hiyo kesi...CCM mkasome.
CCM tukasome au watanzania mkasome? Sumaye alipoambiwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi kisa anataka apambane na mwenyekiti wa Chadema kwenye uchafuzi wa ndani wewe ulikuwa wapi?

Kwamba mwenyekiti wa chama akae madarakani zaidi ya miaka 15 na kuendelea ndio demokrasia hiyo?
 
CCM tukasome au watanzania mkasome? Sumaye alipoambiwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi kisa anataka apambane na mwenyekiti wa Chadema kwenye uchafuzi wa ndani wewe ulikuwa wapi?

Kwamba mwenyekiti wa chama akae madarakani zaidi ya miaka 15 na kuendelea ndio demokrasia hiyo?

Sumaye naye ni zero brain tu. Kauli ya sumu haionjwi ili maanisha kuwa hawawezi kumuamini mtu aliyekuwa CCM miaka yote akabidhiwe chama ingekuwa jaribio la hatari sawa na kuonja sumu. Naona vilaza wa CCM mumeupokea uwongo wa Mr. Zero bila kuupembua.
 
CCM tukasome au watanzania mkasome? Sumaye alipoambiwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi kisa anataka apambane na mwenyekiti wa Chadema kwenye uchafuzi wa ndani wewe ulikuwa wapi?

Kwamba mwenyekiti wa chama akae madarakani zaidi ya miaka 15 na kuendelea ndio demokrasia hiyo?
Mbona unaweweseka tena!?

Mimi ninaongelea chama kinachoongoza serikali iliyoko madarakani. Chadema imeingiaje hapa?
 
Nimeona mahala wanasema Kenya ndio taifa ambalo raia hupiga kura kuchagua washindi, lakini majaji ndio waamuzi wa mwisho.
 
Back
Top Bottom