Marekani yaiwekea vikwazo Hezbullah

Marekani yaiwekea vikwazo Hezbullah

EMANUEL MACRON anataka kutoboa Siri iliyofichika miaka mingi,,unaposema Lebanon ndipo Ufaransa ......sasa US anataka kuingilia maslahi ya French Lebanon kupitia Israel,....
Siku zijazo tutajua ya kuwa sponsor wa Hezbollah ni.....Komasava
Haya
 
Uliza benk za china kama zinatoa mkopo kwa Russia
Usichokijua Bank za China zinatoa UNCONDITIONAL LOANS AND FINANCIAL AIDS TO RUSSIA.
TEna sio tu mikopo bali hadi msaada wa kifedha usiokua na masharti.
Embu fuatilieni ninyi.
Au hujui kama USA 2023 imeipiga vikwazo China kwa kuisaidia Russia kifedha!?
Russia imesimama hivi imara licha ya vikwazo vyote kwa usaidizi wa kiuchumi kutoka kwa THE GIANT FUSA CHINA.
 
Back
Top Bottom