fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Ama wamarekani kwa sasa wameishiwa akili,eti leo wanajisifu kuwapiga maouthi wa yemen,yaani nchi inawapiga ngo????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma imeanzaAma wamarekani kwa sasa wameishiwa akili,eti leo wanajisifu kuwapiga maouthi wa yemen,yaani nchi inawapiga ngo????
ngoma?Ngoma imeanza
Ndio. Hamna Ngoma isiyo na mdundo/ mdundiko.ngoma?
Ama wamarekani kwa sasa wameishiwa akili,eti leo wanajisifu kuwapiga maouthi wa yemen,yaani nchi inawapiga ngo????
subira yavuta kheri,tusubiri nani ataicheza ngoma ya fimbo ya MunguNdio. Hamna Ngoma isiyo na mdundo/ mdundiko.
Labda kama ngoma inapigwa kutoka kwenye empty CD
tusubiritaona majibuFimbo ya ukwaju, ati nini?😂😂😂😂
Middle East is done. Kunywa juice ya ukwaju usafishe tumbo
Mungu wa Israel ndio Mungu wa USA.subira yavuta kheri,tusubiri nani ataicheza ngoma ya fimbo ya Mungu
Sawa,tusubiriMungu wa Israel ndio Mungu wa USA.
Imekuuumaaaaaa eee mabikira wako wengi lazima tuwapeleke wanakostahili wahuni woteeAma wamarekani kwa sasa wameishiwa akili,eti leo wanajisifu kuwapiga maouthi wa yemen,yaani nchi inawapiga ngo????
hiyo lugha ya mabiiranni wewe ndio unaijuaImekuuumaaaaaa eee mabikira wako wengi lazima tuwapeleke wanakostahili wahuni wotee
Hakuna jipya. And Iran must prepare..soon or later, they will succumb to the pressure.tusubiritaona majibu
Tramp uyu uyu alikuwa rais w marekani akaiyogopa Iran au mpya!!!Trump hajaanza hapoo mkuu yule anajibu kwa moto sio hizi rk...