Marekani yakubali kupeleka Roketi za Masafa Marefu nchini Ukraine

Marekani yakubali kupeleka Roketi za Masafa Marefu nchini Ukraine

Ma
Marekani imefanya kosa kubwa sana na nafikiri sasahivi anajijutia kwa kuto kufikiria vizuri kabla ya kutenda. Marekani atabeba lawama ya matokeo ya hii vita.
Kama hii taarifa ni ya kweli, unahisi we ndio utakuwa umefikiria vizuri kuliko Marekani?
 
Ni jana tu Ukraine kupitia mshauri mkuu wa Zelensky iliitishia Marekani kuwa "ITAIBWATUKIA" marekani kwa bwatukio la mfano!! Tishio hilo lilikuja kwa sababu marekani ilikataa ombi la ukraine la kupewa makombora ya masafa marefu! Baada ya tishio hilo, leo marekani imetangaza kuwa itaipatia ukraine makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kufikia kilomita 80.

Marekani imesema eti ukraine imeihakikishia kuwa haitayatumia kuishambulia urusi ndani ya mipaka ya urusi!! Kwa nini marekani imeogopa bwatukio la marekani?

Kwa mawazo yangu hii ni blackmail!! Zelensky amefanikiwa kuiblackmail marekani!. Iko hivi: Marekani imekuwa ikifanya utafiti wa silaha za kibaiologia (biological weapons) nchini ukraine kwa siri na silaha hizi kufanyiwa majaribio kwa watu kinyume kabisa na maadili ikizingatiwa kuwa silaha hizo zilishapigwa marufuku na umoja wa mataifa! Kwa hiyo Marekani imeona kuwa itakuwa ni aibu na fedheha sana kama ukraine ikatoa ushahidi wa unyama huo wa marekani hadharani.

Marekani haimwamini kabisa Zelensky kwa sasa kama anaweza kutunza siri maana ameahidi kubwatuka kama akikataliwa matakwa yake. Yawezekana kuna uovu mwingine wa marekani ambao ukraine inaweza kuutolea ushahidi! Hofu hiyo nadhani ndiyo imeilazimisha marekani kubadili msimamo ndani ya masaa 24 na kuamua kupeleka silaha hizo ukraine pamoja.

Ila kwa kufanya hivyo Zelensky na watu wote wanaojua siri hizo chafu za marekani bila shaka wataingizwa kwenye orodha ya FBI na CIA ya "kupotezwa". Zelensky amejichimbia shimo!! Marekani haitajisikia salama hadi iwapoteze.

Mdogo mdogo dunia inaweza kujikuta kwenye vita kuu ya tatu, maana urusi imesema kupeleka silaha hizo ukraine haikubaliki!! Ikitokea ukraine ikapiga ndani ya Urusi kilomita 80 hali itakuwa mbaya sana!
Mpaka wewe umejua sasa kuna siri? Mmatumbi kujua siri za 🇺🇸
 
#Breaking #Urgent #Oklahoma

[emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599]

US -At least 7 shot and 3 dead at Warren Clinic in Tulsa, in addition to the shooter.

"Tulsa police say they are currently clearing the building floor by floor, and that it is a "catastrophic" scene inside."

The building is 5 floors. https://t.co/1RuY4sb29T
 
US- TULSA ACTIVE SHOOTING: MULTIPLE DOWN, INCLUDING SHOOTER. POLICE CALL SCENE ‘CATASTROPHIC’
 
Kumbe russia haipo sawa na hii dunia yaani kelele zoote hizi kumbe ni km70 tu? Halafu hiyo mifumo ya kufyatulia ataiweka wapi? Urusi ndiyo nchi pekee ilivyo vyema kwa silaha za kujihami nikimaanisha likirushwa bomu moja tu huo mtambo utafumuliwa na Iskander na hichi kitakachorushwa kitafumuliwa marinda kikiwa hewani
 
Ni jana tu Ukraine kupitia mshauri mkuu wa Zelensky iliitishia Marekani kuwa "ITAIBWATUKIA" marekani kwa bwatukio la mfano!! Tishio hilo lilikuja kwa sababu marekani ilikataa ombi la ukraine la kupewa makombora ya masafa marefu! Baada ya tishio hilo, leo marekani imetangaza kuwa itaipatia ukraine makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kufikia kilomita 80.

Marekani imesema eti ukraine imeihakikishia kuwa haitayatumia kuishambulia urusi ndani ya mipaka ya urusi!! Kwa nini marekani imeogopa bwatukio la marekani?

Kwa mawazo yangu hii ni blackmail!! Zelensky amefanikiwa kuiblackmail marekani!. Iko hivi: Marekani imekuwa ikifanya utafiti wa silaha za kibaiologia (biological weapons) nchini ukraine kwa siri na silaha hizi kufanyiwa majaribio kwa watu kinyume kabisa na maadili ikizingatiwa kuwa silaha hizo zilishapigwa marufuku na umoja wa mataifa! Kwa hiyo Marekani imeona kuwa itakuwa ni aibu na fedheha sana kama ukraine ikatoa ushahidi wa unyama huo wa marekani hadharani.

Marekani haimwamini kabisa Zelensky kwa sasa kama anaweza kutunza siri maana ameahidi kubwatuka kama akikataliwa matakwa yake. Yawezekana kuna uovu mwingine wa marekani ambao ukraine inaweza kuutolea ushahidi! Hofu hiyo nadhani ndiyo imeilazimisha marekani kubadili msimamo ndani ya masaa 24 na kuamua kupeleka silaha hizo ukraine pamoja.

Ila kwa kufanya hivyo Zelensky na watu wote wanaojua siri hizo chafu za marekani bila shaka wataingizwa kwenye orodha ya FBI na CIA ya "kupotezwa". Zelensky amejichimbia shimo!! Marekani haitajisikia salama hadi iwapoteze.

Mdogo mdogo dunia inaweza kujikuta kwenye vita kuu ya tatu, maana urusi imesema kupeleka silaha hizo ukraine haikubaliki!! Ikitokea ukraine ikapiga ndani ya Urusi kilomita 80 hali itakuwa mbaya sana!
Kwamba wewe Mrussi wa kwa mtogole jirani na bi Nyau ile barabara ya tumbo mkabala na kituo cha Popobawa una fahamu majaribio ya silaha za kibailojia yanayo endelea pale ukraine lakini KGB/FSB wao hawafahamu kinacho endelea kule si Ndio unacho taka kutu aminisha hapa
 
Kumbe russia haipo sawa na hii dunia yaani kelele zoote hizi kumbe ni km70 tu? Halafu hiyo mifumo ya kufyatulia ataiweka wapi? Urusi ndiyo nchi pekee ilivyo vyema kwa silaha za kujihami nikimaanisha likirushwa bomu moja tu huo mtambo utafumuliwa na Iskander na hichi kitakachorushwa kitafumuliwa marinda kikiwa hewani
So kirahisi hivyo mkuu.
 
Marekan baada ya kuona ukrain inapungukiwa na askar takriban 60-100 kwa siku wameamua kificha aibu kwa kupeleka hizo siraha ili urusi ikate tamaa
 
Ma
Marekani imefanya kosa kubwa sana na nafikiri sasahivi anajijutia kwa kuto kufikiria vizuri kabla ya kutenda. Marekani atabeba lawama ya matokeo ya hii vita.
Kwani ye ndo amevamia?[emoji2]
 
Kama hii taarifani kweli ,itakuwa poa Sana ,na ndo kitu nilichokuwa nakitaka kitokee. Ukraine kupewa huo mfumo ,utamfanya Russia aachie vitu vizito zaidi ICBN satun 2,na hilo dude likitua linaacha ukiwa mkuu kwenye ardhi na juu ya srdhi ,na hapo itakuwa ndo mwisho wa Vita .

Baada ya hapo tutawasubiri USA na NATO,wanajipya lipi,!? wanaingia mzigoni wenyewe mazima au wanakausha!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hii taarifani kweli ,itakuwa poa Sana ,na ndo kitu nilichokuwa nakitaka kitokee. Ukraine kupewa huo mfumo ,utamfanya Russia aachie vitu vizito zaidi ICBN satun 2,na hilo dude likitua linaacha ukiwa mkuu kwenye ardhi na juu ya srdhi ,na hapo itakuwa ndo mwisho wa Vita .

Baada ya hapo tutawasubiri USA na NATO,wanajipya lipi,!? wanaingia mzigoni wenyewe mazima au wanakausha!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba USA hajui anachokifanya Ila we ngombe ndo unajua
 
Wamepeleka hizi tu, Putin halali, tayari kaanza majigambo ya Nyukilia tena[emoji23][emoji91][emoji91]

Tutampa Ukraine naye Nyukilia kwa siri.
 
Back
Top Bottom