Marekani yakubaliana Israel kuitwaa Gaza na kuwatimua Wapalestina. Je wataweza au ni tamaa ya kusiklizwa na ndoto za Trump?

Marekani yakubaliana Israel kuitwaa Gaza na kuwatimua Wapalestina. Je wataweza au ni tamaa ya kusiklizwa na ndoto za Trump?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kuna uwezekano Isreal na Marekani wakaivamia tena Gaza. Ninavyoandika, Trump anapanga kuwahamisha na kuwanyang'anya ardhi yao kwa maslahi binafsi na Netanyahu.

Je, ataweza au ndo mgogoro unaanza upya? Je tangu lini Trump akawaonea huruma wanadamu wenzake badala ya kuwaibia na kuwanyonya?

Eti anataka awahamishie kwenye nchi nyingine ili apajenge papendeze. Je wapalestina ni mazwazwa wakubaliane na ujinga wa wazi wazi kama huu?

Je hawa wendawazimu wawili Netanyahu na Trump wataweza kukamilisha jinai hii ndani ya miaka minne ambayo kichaa Trump anayo ofisi au kabla kwa sababu ugonjwa wake wa akili unaweza kufumka wakati wowote?
 
Kuna uwezekano Isreal na Marekani wakaivamia tena Gaza. Ninavyoandika, Trump anapanga kuwahamisha na kuwanyang'anya ardhi yao kwa maslahi binafsi na Netanyahu.

Je ataweza au ndo mgogoro unaanza upya? Je tangu lini Trump akawaonea huruma wanadamu wenzake badala ya kuwaibia na kuwanyonya? Eti anataka awahamishie kwenye nchi nyingine ili apajenge papendeze. Je wapalestina ni mazwazwa wakubaliane na ujinga wa wazi wazi kama huu?

Wakiamua kufanya hivyo wataweza, isipokuwa watapaswa wavumilie Sana juu ya kelele nyingi Sana na lawana watakazotupiwa kutoka katika pande zote kabisa za dunia hii.
Itawalazimu kutia pamba masikioni na kuvaa miwani ya mbao!
 
Kuna uwezekano Isreal na Marekani wakaivamia tena Gaza. Ninavyoandika, Trump anapanga kuwahamisha na kuwanyang'anya ardhi yao kwa maslahi binafsi na Netanyahu.

Je ataweza au ndo mgogoro unaanza upya? Je tangu lini Trump akawaonea huruma wanadamu wenzake badala ya kuwaibia na kuwanyonya? Eti anataka awahamishie kwenye nchi nyingine ili apajenge papendeze. Je wapalestina ni mazwazwa wakubaliane na ujinga wa wazi wazi kama huu?
Ukiangalia zile video za 7 October, huruma kwa Palestine inapotea.
Zile ni Horrific moment ambazo Hamas walifanya.
So, Both team to score.
 
Ukiangalia zile video za 7 October, huruma kwa Palestine inapotea.
Zile ni Horrific moment ambazo Hamas walifanya.
So, Both team to score.
Kumbe kuua wapalestina karibu nusu laki siyo horrific au mnakariri maneno ya Netanyahu kwa vile mnampenda tu au mmekubali kugeuzwa mazwazwa? Kumbuka. Ni Wamarekani na waisrael hawa. hawa waliosadia serikali ya makaburu namna ya kuwabugua na kuwatesa waswahili wenzetu ambao nao wamegeuka mazayuni weusi?
 
Niliwaambia baadhi ya Wanamgambo wa hapa JF huyo Trump mnayemshangilia ndiye aliyeitambua Jerusalemu kama mji mkuu wa Israel. Oh unajua nini wewe kuhusu Mashariki. Mnaona sasa.
Ongeza na wale waarabu wa Dearborn Michigan waliokuwa wakimshangilia, leo ndio kaanza kuwasaka wale walioandamana kuunga mkono Palestinian's, hiyo ya Trump kutambua Jerusalem kama capital of Israel naona hawakuelewa maana yake, fukkkcccn useless people
 
Ongeza na wale waarabu wa Dearborn Michigan waliokuwa wakimshangilia, leo ndio kaanza kuwasaka wale walioandamana kuunga mkono Palestinian's, hiyo ya Trump kutambua Jerusalem kama capital of Israel naona hawakuelewa maana yake, fukkkcccn useless people
Kulikuwa na kobaaz humu wakibweeeka kuwa Trump katu hatokuwa pamoja na Israel tatizo kobaaaz kumbukumbu zao zinapoteaga haraka sana
Na bado yule mfuga majini Iran naye very soon anapewa anachostahili.
 
Kumbe kuua wapalestina karibu nusu laki siyo horrific au mnakariri maneno ya Netanyahu kwa vile mnampenda tu au mmekubali kugeuzwa mazwazwa? Kumbuka. Ni Wamarekani na waisrael hawa. hawa waliosadia serikali ya makaburu namna ya kuwabugua na kuwatesa waswahili wenzetu ambao nao wamegeuka mazayuni weusi?
Kaka uliona zile video lakini???
Video za Oct 7.
Ingawa Trump ni chizi ila kwa zile video.
Never Again is Now
 
Kumbe kuua wapalestina karibu nusu laki siyo horrific au mnakariri maneno ya Netanyahu kwa vile mnampenda tu au mmekubali kugeuzwa mazwazwa? Kumbuka. Ni Wamarekani na waisrael hawa. hawa waliosadia serikali ya makaburu namna ya kuwabugua na kuwatesa waswahili wenzetu ambao nao wamegeuka mazayuni weusi?
Vamia taifa lolote afu uue watu wake Kama 1000 na ushehe uone kitakachofata. Uwe mpalestina au mmang'ati!!!
 
Wakiamua kufanya hivyo wataweza, isipokuwa watapaswa wavumilie Sana juu ya kelele nyingi Sana na lawana watakazotupiwa kutoka katika pande zote kabisa za dunia hii.
Itawalazimu kutia pamba masikioni na kuvaa miwani ya mbao!
Mwisho wa yote si netanyahu wala Trump atakuwepo miaka 20;ijayo. Huo ndo ukuu wa Mungu wote tunakufa hata utese binadamu wenzio kwa kiwango gani hutaishi milele uone ubaya wako.
 
Kaka uliona zile video lakini???
Video za Oct 7.
Ingawa Trump ni chizi ila kwa zile video.
Never Again is Now
Why is Oct 7 more prominent than the entire impasse-cum-quagmire? Why if, indeed you are neither Netanyahu nor Trump or any lunatic, why can't you see over 50,000 palestinians butched by these two criminals and another known as Joe Biden? Are mentally sick whoever you are my son or daughter or transgender?
 
Back
Top Bottom