Marekani yakubaliana Israel kuitwaa Gaza na kuwatimua Wapalestina. Je wataweza au ni tamaa ya kusiklizwa na ndoto za Trump?

Marekani yakubaliana Israel kuitwaa Gaza na kuwatimua Wapalestina. Je wataweza au ni tamaa ya kusiklizwa na ndoto za Trump?

Why is Oct 7 more prominent than the entire impasse-cum-quagmire? Why if, indeed you are neither Netanyahu nor Trump or any lunatic, why can't you see over 50,000 palestinians butched by these two criminals and another known as Joe Biden? Are mentally sick whoever you are my son or daughter or transgender?
Kwa hiyo ulitaka proportionality ya 1000 kama mlivyowachinja au😂, kobazi mna akili za mapangoni sana
 
Mtu anaitaka canada atashindwa kuitaka ghaza kupitia kwa Neta?
Jamaa anapenda tu kuongea bila kufikiri.

Baina ya ubongo wake na mdomo wake, hakuna chujio.

Hana akili kivile, ila huwa anaji overestimate sana.

Yeye hapo anaona kaongea jambo la maana sana.

Ukweli ni kwamba alichoongea ni utopolo.

Mara aitamani Greenland. Mara Canada.

Na sasa ni Gaza.

Trump ni mropokaji. Yawezekana kabisa alimaanisha tofauti na alichosema.

Ila kwa vile si mzungumzaji mzuri, maneno yakatoka jinsi yalivyotoka.

Marekani kuichukua Gaza hakutaleta amani na utulivu huko Mashariki ya Kati.

He has said some dumb things before.

But this one takes the cake, in my opinion.
 
Kumbe kuua wapalestina karibu nusu laki siyo horrific au mnakariri maneno ya Netanyahu kwa vile mnampenda tu au mmekubali kugeuzwa mazwazwa? Kumbuka. Ni Wamarekani na waisrael hawa. hawa waliosadia serikali ya makaburu namna ya kuwabugua na kuwatesa waswahili wenzetu ambao nao wamegeuka mazayuni weusi?
Chanzo cha hao kuuliwa ilikuwa ni nini?

Wasingefanya yale mauaji hivyo vifo visingetokea.

GOD BLESS ISRAEL
 
Kwa hiyo ulitaka proportionality ya 1000 kama mlivyowachinja au😂, kobazi mna akili za mapangoni sana
Mwanangu, tumia akili. Hapa hatuangalii imani ya mtu bali utu wake. Mie sijali kama umekeketwa kichwani au chini. Bado nakujali kama binadamu uwe umetahiriwa au uwe na govi kichwani na chini mwanangu.
 
Mwanangu, tumia akili. Hapa hatuangalii imani ya mtu bali utu wake. Mie sijali kama umekeketwa kichwani au chini. Bado nakujali kama binadamu uwe umetahiriwa au uwe na govi kichwani na chini mwanangu.
Hakuna mtu anapenda watu wateseke, lakini mlivyowaua na Gaza ikalipuka kwa sherehe mlitegemea nini? Mliwaua bila huruma na bila kuangalia mtoto au mzee, najukumbusha tuu
 
Hakuna mtu anapenda watu wateseke, lakini mlivyowaua na Gaza ikalipuka kwa sherehe mlitegemea nini? Mliwaua bila huruma na bila kuangalia mtoto au mzee, najukumbusha tuu
Kumbe sikujua kuwa nawe unarudia upumbavu wa magaidi kwa kushangilia vifo vya watoto wasio na hatia. Huwezi kulaani dhambi kwa dhambi. Mie naona wote wana makosa ingawa Israel na wakoloni kukalia ardhi ya wapalestina ndiyo chanzo. Hata hivyo kwa wasiojua historia au wanaoijua wakapufushwa na uzwazwa hapa ni kumpigia mbuzi gitaa. Sorry.
 
Warabu Ni wavamizi,,walivamia Hata Africa,,Tunisia Morocco na Algeria..kote Huko walivamia
 
Wenyewe wanatamka Haaza.Huyu Donadi kawa mkichaa atagombana na kila Taifa sasa ,ya Ramaphosa hayajapoa huyooo kaibukia Gaza.
 
Wafia din walisema Trampo alimwambia Shetanyau amalize vita kabla hajaapishwa kwakuwa hanapesa zakuwapa kuendesha vita ,leo kimetokea nin tenaa? Wafuasi wa palestna vp mbona mnayumba yumbaa
 
Awamu hii Tramp kaingia na tamaa ya kumega maeneo ya watu iliyopitiliza huenda akasababisha vita huko mbeleni
 
Kuna uwezekano Isreal na Marekani wakaivamia tena Gaza. Ninavyoandika, Trump anapanga kuwahamisha na kuwanyang'anya ardhi yao kwa maslahi binafsi na Netanyahu.

Je ataweza au ndo mgogoro unaanza upya? Je tangu lini Trump akawaonea huruma wanadamu wenzake badala ya kuwaibia na kuwanyonya? Eti anataka awahamishie kwenye nchi nyingine ili apajenge papendeze. Je wapalestina ni mazwazwa wakubaliane na ujinga wa wazi wazi kama huu? Je hawa wendawazimu wawili Netanyahu na Trump wataweza kukamilisha jinai hii ndani ya miaka minne ambayo kichaa Trump anayo ofisi au kabla kwa sababu ugonjwa wake wa akili unaweza kufumka wakati wowote?
Trump ana wazimu na kama Marekani ikimuachia aendelee na uraisi basi dunia itaingia kwenye mizozo mingi na yenyewe itakufilia mbali.
 
Gaza ni eneo la Israel.

GOD BLESS ISRAEL
Sasa vitendo ndoto zako za mlokole Tramp ndio zipo ivo je wataweza kuwatoa watu wa Gaza wasiogopa kufa!!! Debe tupu uyo Tramp

walokole wameshasema tumewasikia sasa tunasubli mbabe wa mashariki ya Kat IRAN i Atoe Neno Apo sasa tutajua mwelekeo wa GAZA
uyo ndio mwamba akisema aiwezekani Never Even jua ndio itakuwa ivyo, kama utaki atakuchezesha ngoma adi ww Uteme BUNGO
 
Kuna uwezekano Isreal na Marekani wakaivamia tena Gaza. Ninavyoandika, Trump anapanga kuwahamisha na kuwanyang'anya ardhi yao kwa maslahi binafsi na Netanyahu.

Je ataweza au ndo mgogoro unaanza upya? Je tangu lini Trump akawaonea huruma wanadamu wenzake badala ya kuwaibia na kuwanyonya? Eti anataka awahamishie kwenye nchi nyingine ili apajenge papendeze. Je wapalestina ni mazwazwa wakubaliane na ujinga wa wazi wazi kama huu? Je hawa wendawazimu wawili Netanyahu na Trump wataweza kukamilisha jinai hii ndani ya miaka minne ambayo kichaa Trump anayo ofisi au kabla kwa sababu ugonjwa wake wa akili unaweza kufumka wakati wowote?
Dunia hii inavituko .. umeshaaona wapi mtu analazimishiwa kupewa msaada .. kwani asiejenge kwanza califonia na LA iliyoungua ndo aje awaonee huruma palestina
 
Jamaa anapenda tu kuongea bila kufikiri.

Baina ya ubongo wake na mdomo wake, hakuna chujio.

Hana akili kivile, ila huwa anaji overestimate sana.

Yeye hapo anaona kaongea jambo la maana sana.

Ukweli ni kwamba alichoongea ni utopolo.

Mara aitamani Greenland. Mara Canada.

Na sasa ni Gaza.

Trump ni mropokaji. Yawezekana kabisa alimaanisha tofauti na alichosema.

Ila kwa vile si mzungumzaji mzuri, maneno yakatoka jinsi yalivyotoka.

Marekani kuichukua Gaza hakutaleta amani na utulivu huko Mashariki ya Kati.

He has said some dumb things before.

But this one takes the cake, in my opinion.
Wa kulaumiwa ni yule dogo aliyeshindwa kulenga ile risasi ikaishia kupiga sikio, but good try
 
Back
Top Bottom