Marekani yakubaliana Israel kuitwaa Gaza na kuwatimua Wapalestina. Je wataweza au ni tamaa ya kusiklizwa na ndoto za Trump?

Unajielewa brother.
 
Kama anania ya kujenga ni jambo jema ila wasimamizi wawe Wanaghaza wenyewe huyo Trump achapishe hizo dola zake awape Wapalestina watajisimamia
 
Kaka uliona zile video lakini???
Video za Oct 7.
Ingawa Trump ni chizi ila kwa zile video.
Never Again is Now
Why are you talking as if israel apartheid started on October 7, if you take things on that context even the terrorists attacks that ANC was doing to white South African was horrific but most of us chose to call freedom fighting. Why have such a selective opinion over things. Hamas are terrorists while ANC were freedom fighters
 
Mabeberu hilo ndio lengo Lao, lakini hawa wafuasi wa Mfalme Zumaridi wanaona kama hii ni.vita baina ya wayahudi na waislamu hawajui kuna siri kubwa
 
Mwanaharamu hatarithi na mwana wa haki! Kizazi cha Yakobo kibarikiwe milele.
 
Ingekuwa tanzania wasingetumia kazi kubwa wala nini,wangeongea na viongozi tu,kuwalambisha mchuzi.

Then mnaambiwa dar wote muhame.
 
Afadhali umekuwa honestly na hili, maana ulikuwa ni mmoja ya waliotaka Trump aongoze US.
 
Afadhali umekuwa honestly na hili, maana ulikuwa ni mmoja ya waliotaka Trump aongoze US.
Wewe ama ni juha/ mpumbavu au unasumbuliwa na tatizo la usahaulifu. Yawezekana unasumbuliwa na vyote viwili.

Leo si mara ya kwanza mimi kumkosoa Trump.

Nimeshamkosoa mara nyingi tu hapa. Unabisha?

Nakushangaa eti unaona leo nimekuwa mkweli ilhali tokea 2016 namkosoa pale inapostahili.

Ila, watu majuha na wapumbavu ndivyo walivyo. Hawana kabisa uwezo wa kutenda haki.

Pia, hata kumbukumbu zao ni duni sana, zikiakisi uduni wa akili zao.

Siku zote hizo nilipomkosoa Trump wewe ulikuwa wapi hadi ushangae leo?

Stupid is as stupid does.
 
Kumbe we ni ms3nge leo ndipo nimetambua...
Kulikuwa kuna ulazima wa kunitusi hivyo...?
Katika hiko nilicho andika hapo kuna sehemu nimekutusi?
Mataqo yako..
 
πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•
 
Ingekuwa tanzania wasingetumia kazi kubwa wala nini,wangeongea na viongozi tu,kuwalambisha mchuzi.

Then mnaambiwa dar wote muhame.
Ni kweli. Sisi tuna wachuuzi wa miili na roho za watu wanaoturejesha kwenye utumwa wa kujitakia kwa sababu ya upofu na uchoyo binafsi. Ni balaa mwanangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…