Marekani yalalamika kuwa Urusi imetumia droni za Iran kuangamiza ngome za jeshi la Ukraine karibu na bandari ya Odesa

Endelea kuteseka Mkuu, mie jukumu langu ni kukusukumia dawa tuπŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰!

Marekani yenyewe (The Wall Street Journal) yaripoti kuwa droni za Iran zimekuwa pasua kichwa kwa jeshi la Ukraine, halafu wewe myUkraine wa hapo Kibaigwa waleta stori za kuungaunga na kujifaiji, kaongopeane na wenzio huko kwenye vijiwe vya kahawa!

 
safi sana Iran

tawanyisha intestines za mahanisi hao , wakitoka hapo ni mwendo wa kuvaa dayapaz tu
 
Mkuu punguza uongo iliyo kamatwa kipindi hicho ilikuwa ni ndege ya kijasusi na hizi ni ndege za mashambulizi kwa hiyo hizo ni drone mbili tofauti.
 
Mkuu punguza uongo iliyo kamatwa kipindi hicho ilikuwa ni ndege ya kijasusi na hizi ni ndege za mashambulizi kwa hiyo hizo ni drone mbili tofauti.
Basi huenda hujui maana ya drone Iwapo unasema moja na ya kijasusi na nyingine ni ya mashamabulizi. Drone ni drone tu, ukiwekea camera itafanya ujasusi, na ukiweekea silaha itafanya mashambulizi. Hizor drones za Kimarekani ndizo zinazofanya mashamabulizi na vile vile kufanya ujasuzi. Inategema na mission tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…