Marekani yamsifia rais Samia kwa kuimarisha demokrasia na bunge laidhinisha ufadhili kwa Tanzania

Marekani yamsifia rais Samia kwa kuimarisha demokrasia na bunge laidhinisha ufadhili kwa Tanzania

Kada Mzalendo

Senior Member
Joined
Oct 9, 2024
Posts
142
Reaction score
97
KATIKA kipindi ambacho CHADEMA imekuwa ikieneza propaganda potofu kuhusu hali ya demokrasia nchini Tanzania, ukweli umeonekana wazi kupitia matamshi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) la Marekani.

Viongozi wa juu wa CHADEMA, akiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu, wamekuwa wakiandika barua za kuomba Tanzania inyimwe ufadhili kutoka kwa mashirika ya kimataifa, wakijaribu kuonyesha taswira mbaya ya Serikali ya Rais Samia.

Hata hivyo, juhudi hizo zimegonga mwamba, kwani Marekani, nchi ambayo mara nyingi CHADEMA hukimbilia kulalamika na kuwasilisha madai ya uongo kuhusu ukosefu wa demokrasia na haki za binadamu, sasa imeipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa mageuzi makubwa ya kiutendaji, yanayolenga kuimarisha demokrasia, utawala bora, na haki za binadamu.

Kupitia mkutano uliofanyika jijini Dodoma tarehe 17 Oktoba 2024, Mkurugenzi wa Sera na Tathmini wa MCC, Bw. Dan Barnes, ameweka wazi kuwa: "Katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita, wameridhishwa na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na Tanzania ambazo zimechangia kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi nchini."

Aidha Bunge la Marekani limeidhinisha kuendelea kuipatia Tanzania ufadhili wa miradi ya maendeleo, ishara kwamba jitihada za Rais Samia zimeleta matokeo chanya na kuimarisha msingi wa uchumi na demokrasia nchini.

Bw. Barnes alisisitiza kuwa: "Kutokana na kuridhishwa na mageuzi hayo, Bunge la Marekani limeridhia Tanzania kuendelea kunufaika na ufadhili wa Shirika la MCC."

Hali hii inakinzana moja kwa moja na madai ya uongo ambayo CHADEMA wamekuwa wakiyasambaza, wakijaribu kuonesha taswira potofu kuhusu Serikali ya Tanzania.

Lakini, kupitia mafanikio haya yaliyoidhinishwa na Marekani, Tanzania inathibitisha kuwa ni nchi yenye demokrasia imara na utawala bora, ikishinda propaganda za Chadema ambazo hazina msingi.

Rais Samia, kupitia falsafa yake ya 4Rs (Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi, na Ujenzi Mpya), ameleta mshikamano na kuimarisha demokrasia, jambo linalokubalika kimataifa.
IMG-20241019-WA0009(1).jpg
 
Mtu mweusi ni kama amelaaniwa kitambo sana, yaani unafurahia kusifiwa na USA kuhusu demokrasia na unaona sarakasi zinazotokea kwenye huu uandikishaji!!!!
 
KATIKA kipindi ambacho CHADEMA imekuwa ikieneza propaganda potofu kuhusu hali ya demokrasia nchini Tanzania, ukweli umeonekana wazi kupitia matamshi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) la Marekani.

Viongozi wa juu wa CHADEMA, akiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu, wamekuwa wakiandika barua za kuomba Tanzania inyimwe ufadhili kutoka kwa mashirika ya kimataifa, wakijaribu kuonyesha taswira mbaya ya Serikali ya Rais Samia.

Hata hivyo, juhudi hizo zimegonga mwamba, kwani Marekani, nchi ambayo mara nyingi CHADEMA hukimbilia kulalamika na kuwasilisha madai ya uongo kuhusu ukosefu wa demokrasia na haki za binadamu, sasa imeipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa mageuzi makubwa ya kiutendaji, yanayolenga kuimarisha demokrasia, utawala bora, na haki za binadamu.

Kupitia mkutano uliofanyika jijini Dodoma tarehe 17 Oktoba 2024, Mkurugenzi wa Sera na Tathmini wa MCC, Bw. Dan Barnes, ameweka wazi kuwa: "Katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita, wameridhishwa na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na Tanzania ambazo zimechangia kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi nchini."

Aidha Bunge la Marekani limeidhinisha kuendelea kuipatia Tanzania ufadhili wa miradi ya maendeleo, ishara kwamba jitihada za Rais Samia zimeleta matokeo chanya na kuimarisha msingi wa uchumi na demokrasia nchini.

Bw. Barnes alisisitiza kuwa: "Kutokana na kuridhishwa na mageuzi hayo, Bunge la Marekani limeridhia Tanzania kuendelea kunufaika na ufadhili wa Shirika la MCC."

Hali hii inakinzana moja kwa moja na madai ya uongo ambayo CHADEMA wamekuwa wakiyasambaza, wakijaribu kuonesha taswira potofu kuhusu Serikali ya Tanzania.

Lakini, kupitia mafanikio haya yaliyoidhinishwa na Marekani, Tanzania inathibitisha kuwa ni nchi yenye demokrasia imara na utawala bora, ikishinda propaganda za Chadema ambazo hazina msingi.

Rais Samia, kupitia falsafa yake ya 4Rs (Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi, na Ujenzi Mpya), ameleta mshikamano na kuimarisha demokrasia, jambo linalokubalika kimataifa.
Kada mzalendo, member joined Oct 9,2024...umejiunga kumsaidia kazi Lukas mwashambwa au umetumwa kusifia visivyo sifika?



Karibu sana chawa wa maza
 
Mnapika propaganda za kulihujumu Taifa letu, lakini ukweli unashinda kila mara. Bunge la Marekani limeidhinisha ufadhili mkubwa na kutupilia kapuni taarifa zenu za uzushi, na ifahamike kuwa sifa kutoka Marekani ni heshima ya taifa letu chini ya Samia.

Mitano tena kwake Rais Sam
ia
 
Mtu mweusi ni kama amelaaniwa kitambo sana, yaani unafurahia kusifiwa na USA kuhusu demokrasia na unaona sarakasi zinazotokea kwenye huu uandikishaji!!!!
Huko si ndo mnapokimbiliaga kulia lia na kutia huruma. Wamegundua janja zenu na hivi karibuni wataanza kuwahoji kuhusu matumizi ya pesa wanazowapa kuendeshea chama.
 
Mtu mweusi ni kama amelaaniwa kitambo sana, yaani unafurahia kusifiwa na USA kuhusu demokrasia na unaona sarakasi zinazotokea kwenye huu uandikishaji!!!!
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
 
Acha ujuha we kada mpevu, marekani inashirikiana na yeyote kupalilia maslahi yake. Acha kuinangananga CHADEMA kiboya
 
Mnapika propaganda za kulihujumu Taifa letu, lakini ukweli unashinda kila mara. Bunge la Marekani limeidhinisha ufadhili mkubwa na kutupilia kapuni taarifa zenu za uzushi, na ifahamike kuwa sifa kutoka Marekani ni heshima ya taifa letu chini ya Samia.

Mitano tena kwake Rais Sam
ia
Uchawa ni laana
 
hahaha hii inanikumbusha wimbo wa Mr Ebo, uitwao Sifa za Kijinga
 
KATIKA kipindi ambacho CHADEMA imekuwa ikieneza propaganda potofu kuhusu hali ya demokrasia nchini Tanzania, ukweli umeonekana wazi kupitia matamshi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) la Marekani.

Viongozi wa juu wa CHADEMA, akiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu, wamekuwa wakiandika barua za kuomba Tanzania inyimwe ufadhili kutoka kwa mashirika ya kimataifa, wakijaribu kuonyesha taswira mbaya ya Serikali ya Rais Samia.

Hata hivyo, juhudi hizo zimegonga mwamba, kwani Marekani, nchi ambayo mara nyingi CHADEMA hukimbilia kulalamika na kuwasilisha madai ya uongo kuhusu ukosefu wa demokrasia na haki za binadamu, sasa imeipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa mageuzi makubwa ya kiutendaji, yanayolenga kuimarisha demokrasia, utawala bora, na haki za binadamu.

Kupitia mkutano uliofanyika jijini Dodoma tarehe 17 Oktoba 2024, Mkurugenzi wa Sera na Tathmini wa MCC, Bw. Dan Barnes, ameweka wazi kuwa: "Katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita, wameridhishwa na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na Tanzania ambazo zimechangia kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi nchini."

Aidha Bunge la Marekani limeidhinisha kuendelea kuipatia Tanzania ufadhili wa miradi ya maendeleo, ishara kwamba jitihada za Rais Samia zimeleta matokeo chanya na kuimarisha msingi wa uchumi na demokrasia nchini.

Bw. Barnes alisisitiza kuwa: "Kutokana na kuridhishwa na mageuzi hayo, Bunge la Marekani limeridhia Tanzania kuendelea kunufaika na ufadhili wa Shirika la MCC."

Hali hii inakinzana moja kwa moja na madai ya uongo ambayo CHADEMA wamekuwa wakiyasambaza, wakijaribu kuonesha taswira potofu kuhusu Serikali ya Tanzania.

Lakini, kupitia mafanikio haya yaliyoidhinishwa na Marekani, Tanzania inathibitisha kuwa ni nchi yenye demokrasia imara na utawala bora, ikishinda propaganda za Chadema ambazo hazina msingi.

Rais Samia, kupitia falsafa yake ya 4Rs (Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi, na Ujenzi Mpya), ameleta mshikamano na kuimarisha demokrasia, jambo linalokubalika kimataifa.
chadema wanajulikana kwa balozi wa tanzania tu ambae hana influence yoyote kwa wabunge marekani
 
KATIKA kipindi ambacho CHADEMA imekuwa ikieneza propaganda potofu kuhusu hali ya demokrasia nchini Tanzania, ukweli umeonekana wazi kupitia matamshi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) la Marekani.

Viongozi wa juu wa CHADEMA, akiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu, wamekuwa wakiandika barua za kuomba Tanzania inyimwe ufadhili kutoka kwa mashirika ya kimataifa, wakijaribu kuonyesha taswira mbaya ya Serikali ya Rais Samia.

Hata hivyo, juhudi hizo zimegonga mwamba, kwani Marekani, nchi ambayo mara nyingi CHADEMA hukimbilia kulalamika na kuwasilisha madai ya uongo kuhusu ukosefu wa demokrasia na haki za binadamu, sasa imeipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa mageuzi makubwa ya kiutendaji, yanayolenga kuimarisha demokrasia, utawala bora, na haki za binadamu.

Kupitia mkutano uliofanyika jijini Dodoma tarehe 17 Oktoba 2024, Mkurugenzi wa Sera na Tathmini wa MCC, Bw. Dan Barnes, ameweka wazi kuwa: "Katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita, wameridhishwa na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na Tanzania ambazo zimechangia kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi nchini."

Aidha Bunge la Marekani limeidhinisha kuendelea kuipatia Tanzania ufadhili wa miradi ya maendeleo, ishara kwamba jitihada za Rais Samia zimeleta matokeo chanya na kuimarisha msingi wa uchumi na demokrasia nchini.

Bw. Barnes alisisitiza kuwa: "Kutokana na kuridhishwa na mageuzi hayo, Bunge la Marekani limeridhia Tanzania kuendelea kunufaika na ufadhili wa Shirika la MCC."

Hali hii inakinzana moja kwa moja na madai ya uongo ambayo CHADEMA wamekuwa wakiyasambaza, wakijaribu kuonesha taswira potofu kuhusu Serikali ya Tanzania.

Lakini, kupitia mafanikio haya yaliyoidhinishwa na Marekani, Tanzania inathibitisha kuwa ni nchi yenye demokrasia imara na utawala bora, ikishinda propaganda za Chadema ambazo hazina msingi.

Rais Samia, kupitia falsafa yake ya 4Rs (Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi, na Ujenzi Mpya), ameleta mshikamano na kuimarisha demokrasia, jambo linalokubalika kimataifa.
Mkikaa kuwapigia magoti hao mabeberu mtaishia kuwa watumwa kwao, kaeni na bakuli kungoja misaada.
Mwafrika lazima asimame mwenyewe sio ashangilie akisifiwa na Hawa wanyonyaji dhalimu.
Viva Afrika
 
Dar es Salaam, Tanzania

Dk Nchimbi atoa ahadi kwa shirika la Marekani MCC kuboreshwa kwa demokrasia, haki za kiraia chini ya Samia​


Na Henry Mwangonde , The Guardian
Imechapishwa saa 01:43 PM Oktoba 16 2024

Katibu Mkuu wa CCM Dk Emmanuel Nchimbi

Picha: Guardian Mwandishi
Katibu Mkuu wa CCM Dk Emmanuel Nchimbi

Katibu Mkuu wa CCM ndugu balozi Dk Emmanuel Nchimbi ameihakikishia Jumuiya ya Kimataifa kuwa demokrasia na haki za binadamu zitaimarika Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Dk Nchimbi alitoa kauli hiyo jana katika kikao na Dan Barnes, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sera na Tathmini wa Shirika la Changamoto za Milenia la Marekani (MCC Millennium Challenge Corporation ).

Katika mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam, Dk Nchimbi alibainisha hatua kubwa iliyofikiwa katika kuimarisha demokrasia, utawala bora, uchumi na haki za kiraia.

More info :

TOKA MAKTABA 2023

WASHINGTON (Desemba. 14 , 2023 ) - Bodi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) ilifanya mkutano wake wa robo mwaka tarehe 13 Desemba :

RIPOTI YA UKAGUZI YA MCC ILIYOTOLEWA DECEMBER 2023

Ufilipino na Tanzania zote ni washirika wa zamani wa MCC ambao wanaendelea kukabiliwa na mahitaji makubwa ya maendeleo katika maeneo ya kimkakati ya dunia .

Katika miaka ya hivi karibuni, Ufilipino na Tanzania zimeonyesha ahadi mpya za kuendeleza mageuzi muhimu ili kuimarisha utawala wa kidemokrasia, kulinda haki za binadamu na kupambana na rushwa.

Kwa kutambua juhudi hizi , Bodi ya MCC iliteua Ufilipino na Tanzania kushirikiana na MCC katika kuandaa programu zinazozingatia sera na mageuzi ya kitaasisi ambayo nchi zinaweza kufanya ili kupunguza umaskini na kukuza ukuaji wa uchumi.

Kama sehemu ya mjadala wake wa kila mwaka kuhusu uteuzi wa nchi, Bodi ya MCC pia ilikagua utendaji wa sera wa nchi zilizochaguliwa hapo awali zilizostahiki
 
Mnapika propaganda za kulihujumu Taifa letu, lakini ukweli unashinda kila mara. Bunge la Marekani limeidhinisha ufadhili mkubwa na kutupilia kapuni taarifa zenu za uzushi, na ifahamike kuwa sifa kutoka Marekani ni heshima ya taifa letu chini ya Samia.

Mitano tena kwake Rais Sam
ia
Halafu wakiwakemaea mkinyonga haki za watanzania mnawaita mabeberu...
 
KATIKA kipindi ambacho CHADEMA imekuwa ikieneza propaganda potofu kuhusu hali ya demokrasia nchini Tanzania, ukweli umeonekana wazi kupitia matamshi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) la Marekani.

Viongozi wa juu wa CHADEMA, akiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu, wamekuwa wakiandika barua za kuomba Tanzania inyimwe ufadhili kutoka kwa mashirika ya kimataifa, wakijaribu kuonyesha taswira mbaya ya Serikali ya Rais Samia.

Hata hivyo, juhudi hizo zimegonga mwamba, kwani Marekani, nchi ambayo mara nyingi CHADEMA hukimbilia kulalamika na kuwasilisha madai ya uongo kuhusu ukosefu wa demokrasia na haki za binadamu, sasa imeipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa mageuzi makubwa ya kiutendaji, yanayolenga kuimarisha demokrasia, utawala bora, na haki za binadamu.

Kupitia mkutano uliofanyika jijini Dodoma tarehe 17 Oktoba 2024, Mkurugenzi wa Sera na Tathmini wa MCC, Bw. Dan Barnes, ameweka wazi kuwa: "Katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita, wameridhishwa na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na Tanzania ambazo zimechangia kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi nchini."

Aidha Bunge la Marekani limeidhinisha kuendelea kuipatia Tanzania ufadhili wa miradi ya maendeleo, ishara kwamba jitihada za Rais Samia zimeleta matokeo chanya na kuimarisha msingi wa uchumi na demokrasia nchini.

Bw. Barnes alisisitiza kuwa: "Kutokana na kuridhishwa na mageuzi hayo, Bunge la Marekani limeridhia Tanzania kuendelea kunufaika na ufadhili wa Shirika la MCC."

Hali hii inakinzana moja kwa moja na madai ya uongo ambayo CHADEMA wamekuwa wakiyasambaza, wakijaribu kuonesha taswira potofu kuhusu Serikali ya Tanzania.

Lakini, kupitia mafanikio haya yaliyoidhinishwa na Marekani, Tanzania inathibitisha kuwa ni nchi yenye demokrasia imara na utawala bora, ikishinda propaganda za Chadema ambazo hazina msingi.

Rais Samia, kupitia falsafa yake ya 4Rs (Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi, na Ujenzi Mpya), ameleta mshikamano na kuimarisha demokrasia, jambo linalokubalika kimataifa.
Uchawa ni laana
 

Attachments

  • 20240929_170116.jpg
    20240929_170116.jpg
    29.8 KB · Views: 6
Back
Top Bottom