Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

bona hawajafanikiwa kuitubukiza taifa la israeli katika bahari kaa wanavosema kila wakati, wajinga watupu wale
 
Na umesahau kusema sio tu gen soleiman aliuawa, pia kauawa major genaral hussein jafari, lt, col, shahraund mozaffari, major general hedi tameri, , captain vahid zamamev, hao wote ni wakubwa wa QUADS FORCE ya iran, marekani walikuwa wanamufuatilia huyu gen soleiman kwa muda sasa, na ile mission imekuwa WELL PLANNED, ORGANIZED, AND EXCUTED BY ELITE US FORCES USING DRONES, huyu gen soleiman ameua mamia ya watu, huko iraq, lebanon, syria, israel na mataifa mengi sana, na pia mamia ya wanajeshi wa marekani, achomeke kwa shetani kwa moto wa milele, WE SALUTE YOU YOUR EXCELLENCE MR PRESIDENT DONALD JOHN TRUMP and the america forces that carried the killing,
 
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini Amani wakati ndio testing site ya silaha
Kiukweli naogopa. Halafu nimesikia Trump nae katuma wanajeshi kama 3000 kwenda middle East. Huyu Trump si aliondoa majeshi yake ? Why wanarudi tena. Middle East itakuja kuwa na Amani kweli ? Too sad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu ww sinime kuuliza lakini mpaka sasa,nimekuuliza kama hawauzi mafuta serikali yao wanaiendeshaje?
Kodi za ndani I.E kodi ya mafuta yaliyosafishwa, na tozo nyingine.
Kwa kumbukumbu sahihi ni kwamba walipandisha bei ya mafuta kwa 50% ikaleta maandamano ya kupinga.

Na wewe unijibu :-
Serikali yenu inaendeshwa kwa kuuza mafuta ghafi?
 
Can they be compared in terms of scale and the level of sophistication and etc?
Mkuu IRAN ni taifa tajiri africa hakuna nchi inayoikuta kwa pesa wameisharusha hadi chombo angani huko waliweka nyani na akaludi salama wanazo drones na kila kitu hadi dunia inamzungumzia manake sio mtu mwepesi wale waajemi uliokua unawasoma kwenye historia ndio hawa IRAN
 
Nimeongelea attack uliyoitaja Newyork vs September 11 aliyoitaja Root,Nilikuwa namaanisha hili best
 
Kodi za ndani I.E kodi ya mafuta yaliyosafishwa, na tozo nyingine.
Kwa kumbukumbu sahihi ni kwamba walipandisha bei ya mafuta kwa 50% ikaleta maandamano ya kupinga.

Na wewe unijibu :-
Serikali yenu inaendeshwa kwa kuuza mafuta ghafi?
Kila nchi ina vyanzo vyake inavyo tegemea kuendesha serikali kwa hiyo mapato makubwa yalitokana na mafuta sasa kama mafuta hauzi ataiendeshaje
Kodi za ndani I.E kodi ya mafuta yaliyosafishwa, na tozo nyingine.
Kwa kumbukumbu sahihi ni kwamba walipandisha bei ya mafuta kwa 50% ikaleta maandamano ya kupinga.

Na wewe unijibu :-
Serikali yenu inaendeshwa kwa kuuza mafuta ghafi?
Kila mtu anajua Iran na mataifa mengi mashariki ya kati yanajiendesha kwa mafuta licha ya kwamba Iran ina viwanda vingi lakini kumbuka hata bidhaa zake zimewekewa vikwazo.
Hizo kodi unazo sema haziwezi kutosha kuendesha taifa kama Iran.
Utafananishaje matumizi ya tz na Iran?
Yaan bajeti ya mwaka mzima ya tz ni sawa na bajeti ya ulinzi tu ya Iran sasa hapo utafananishaje?
 
CHINA RUSSIA TURKEY INDIA Wananunua wese la IRAN

Kwan CHINA na RUSSIA Hawajamzidi IRAN Au Lazma Ufanze Biashara Na US ?!


US Ndio Wana Iharbu Dunia Shenzi Wale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tracked for years...wiped out by a drone: How Qassem Soleimani was targeted by 230mph laser guided Hellfire missile fired from near-silent US MQ-9 Reaper drone after years of intelligence tracking his whereabouts
  • Qassem Soleimani, 62, was targeted as he was leaving Baghdad airport in his car
  • A near-silent US MQ-9 Reaper drone launched the laser-guided Hellfire missile
  • Soleimani was under near-constant surveillance by US, Saudi and Israeli forces
  • He had survived several assassination attempts over the past two decades
Piloted by a two-man crew hundreds of miles away, the 230mph (370kph) drone can carry out precision strikes and relay images of the attack to commanders anywhere in the world. The $64million (£49million) Reaper carries four laser-guided Hellfire missiles with 38lb warheads capable of destroying a tank, along with Paveway bombs. Source The daily mail online Uk.
 
Kashajaguliwa Soleiman Mwengne Huko Ana enda Kuendeleza Alipomalizia The Late Gen Soleiman


Kuna Soleiman Wengi Sana Pale IRAN...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…