Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ndio maana nawahurumia wanayemsifia Iran ilhali alishadhibitiwa kurutubisha nyuklia na kutengeneza makombora ya masafa marefu.
Iran anapokoroma eti atalipa kisasi ni sawa na mbwa wa miezi 3 kumbwekea JAMBAZI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran anapokoroma eti atalipa kisasi ni sawa na mbwa wa miezi 3 kumbwekea JAMBAZI.
Game changer ni nuclear na makombora ya masafa marefu! Iran kama angevimiliki hivyo bila shaka US angekuwa kama jogoo wa shamba kwa Iran
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app