Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Wenzake wanaendelea kupiga hela yeye Iran amekakamaa kudhibiti ak47 mikononi.

Kwa ujinga wake ataprovoke ulaya ione sababu ya kumchapa (straight of hammuz"spelling")
Pole sana Sana Mkuu IRAN Haijawahi Kuprovoke Yyte

Ila hao ulaya Hawatakaa wamjaribu IRAN Hakuna Wakumjaribu IRAN....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nanikakudanganya Kama IRAN Waarabu
Nchi ni watu. Iran wanaishi wairan. Utakuwa kichaa kurusha mabomu kwenye nchi isiyo na watu. Ukiwa unaua wairan nchi itabaki tupu. Nchi ni watu. Naona maji yamefika shingoni na hauna cha kujitetea.
Iran tayari kaguswa kwahiyo moja wa General kwenye serikali ya Iran kapungua. Iran anatakiwa asipanic ajifanye hajui atulie kama Kiduku maana akisema akomae atawaumiza raia wake. Ukumbuke Israel na mwingereza nao wapo kwenye hii vita na unaweza kushangaa Saudia Arabia na Russia wakamsapoti Marekani. Kibaya zaidi Iran yupo pekee yake. Waarabu hawana umoja. Kila mtu anapigana kivyake
Mpaka Hapa Nishapata Mashaka Na Mtu Nnaejenga Nae Hoja.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuh[emoji16][emoji16][emoji16][emoji6]
Kama kungekuwa na mafuta ya magendo bei ya mfuta ingeporoka, kanuni hii inanishawishi kuwa si china wa india anayenunua mafuta ya magendo.

Kupanda kwa bei ya mafuta kwa 50% nchini Iran kulisababisha maandamano Teheran, a vivid indicator that the regime is struggling.
Regime change outcry is beeping louder.
IRAN Mafuta Yalipanda!? kwa Asilimia Ngapi ?!

Unaelewa Sababu Yamaandamano Yale Yalotokea IRAN Mkuu Kweli ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehehe[emoji23][emoji23][emoji16][emoji2][emoji16]
Kama kungekuwa na mafuta ya magendo bei ya mfuta ingeporoka, kanuni hii inanishawishi kuwa si china wa india anayenunua mafuta ya magendo.

Kupanda kwa bei ya mafuta kwa 50% nchini Iran kulisababisha maandamano Teheran, a vivid indicator that the regime is struggling.
Regime change outcry is beeping louder.
Mafuta Ya IRAN Yamekua Yamagendo Leo Kwa Aspects Ipi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
US Hako Nauwezo Wakuichapa IRAN Kirahisi Hv....
Hata mim nashindwa elewa Iran inteligency, kwann mtu muhimu kama Gen Suleman kuwa ardhi ya Iraq kipindi cha machafuko kama hiki, nafikiri mazoea yamewagharimu, nasikia sasa makamanda wa Iran wapo kikaoni, ila nawasihi wasijaribu kulipiza, US this time atawachapa kweli tena kipigo kitakatifu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
US aliingia pakistan(a nuclear state),akamchomoa Osama karibu na jeshi la Pakistan na hawakushtuka mpaka marekani alipowataarifu,Marekani akiamua kumchukua ayatollah muda wowote anaotaka anaweza.
Israel kwa kutumia ndege ya kimarekani F-35 aliingia Iran last year akapiga picha maeneo sensitive ya Iran akaondoka na wala radar hazikumuona!US ni next level.
Nakupitia Drone RQ Alipiga Nini[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran is a key Middle Eastern ally of Russia, an important strategic partner. By assassinating Soleimani and putting Us on a military collision course with Tehran, Trump is not only menacing the Islamic Republic, he is poking the Russian bear in the chest, back and face too.
Source: Trump's New Year killing of Soleimani finally blows up the fake Russiagate narrative
====
Mbali na msaada wa haraka wanoweza kupata kutoka Moscow, Iran itasimamia show peke yake.
 
Iran is a key Middle Eastern ally of Russia, an important strategic partner. By assassinating Soleimani and putting Us on a military collision course with Tehran, Trump is not only menacing the Islamic Republic, he is poking the Russian bear in the chest, back and face too.
Source: Trump's New Year killing of Soleimani finally blows up the fake Russiagate narrative
====
Mbali na msaada wa haraka wanoweza kupata kutoka Moscow, Iran itasimamia show peke yake.
Umesahau kuwa saivi marekani na Russia ni jiwe na shite
 
Hapa Ndio Mnapo Feli Sasa Kama Jamaa Wnaweza Kuwapiga Wairan Wakiwa SYRIA Kwanini Wanachemka Kuwapiga Ndani Ya IRAN
So what????? Hivi mara ngapi tunasikia Iranian backed militias camps zinalipwa kila uchao Huko Syria[emoji28][emoji28][emoji28] tena strong facilities

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku Mji Wowote Wa IRAN Ukipigwa Nitasema Kama Sasa Rasmi IRAN Ni Paper Tiger Hana Maajabu Kama Ambayo US Anafanya Anauwezo Wakupiga Popote Wanapopatikana Wairan Nje Ya IRAN Sababu IRAN Hana Hatimiliki Ya Space Ya Nchi Nyengine Sasa Unahisi Atawalinda Vp Watu Wake ?!

US Anashambulia WairaN Waliopo IRAQ Sababu Anamiliki Karibu Kila Kiingiacho IRAQ Kwa Kila Njia Yemen Halkadhalika


US Akiipiga IRAN Ndani Yamipaka Yake Hapa Sitaongea Tena Lolote



Nb:Sipendi Nawala Sishabikii VITA....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom