Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Mkuu tumalize mjadala, nchi yenye nuclear triad itakuwa na ICBM,Submarines Launched Ballistic Missile na Strategic bombers, Mkuu Israel haina uwezo wa kukabiliana na nchi kama China au India, unadai kuwa ina Missile yenye kwenda 10000km lakini mpaka payload yake iwe chini kidogo ya 1000kg uwezo wa jericho 3 (range) ni 4800km to 6500km ikiwa full(1000kg), sasa nchi kama China wana Missile ya uwezo wa payload 2500 kg, hivi missile yenye payload ya 2500kg athari yake ni sawa na 1000kg? zote ni nuclear warhead.
Dont you see?

Hapo tayari unaona Dongfeng-41 ya china ina range kubwa(15000km) pia uwezo wa kupakia mzigo ni two times ya Jericho 3.

--Israel inaingia x450 ya China, hivi mfano Israel irushe jericho 3(1000 kg payload) zenye damage kwenye radius ya 20km maximum, jericho 3 ziwe 40 kwa wakati mmoja, na china irushe df-41(payload 2500kg) ziwe 40 pia damage radius ya 20km, zikitua zote same time nani kaumia? Dont you see Israel yooote imeishia? ndege zote,raia wote wameisha, damage kwa china itakuwa imepigwa 1 ya 450, ila Israel itakuwa imepigwa 1/1 yaani imeisha.

Israel licha ya wewe kudai ni Nuclear triad mimi nina mashaka na hilo, ili uwe nuclear triad lazima uwe na ICBM, Submarine LBM, na Strategic Bomber LBM, sasa Hebu nambie Israel ina bomber gani?

Tunajua USA ina hizo B-2 na B-52 na n.k ,
UK ina strategic bombers kama Victor
Germany, France, Russia wote hao wana strategic bombers zao
China ina strategic bomber zake (Xian-H6 series) na moja ya strategic bomber latest ni Xian-H6N, Xian H-6N nia air launched ballistic missile hio, inaenda thousand miles pasipo kuwa refueled, nikisema ni air launched ballistic missile ni kwamba inaweza kurusha ballistic missile tokea angani baada ya hapo missile huwa inajilipua kama rocket na kuendelea na safari yake, sasa kama ina range kubwa hivyo unadhani Missile itashindwa kumalizia umbali uliobakia?

Ukiachilia hio Xian-H6N China ina Bomber moja deadly saaana inaitwa H-20, kama B-2 ya USA ambapo ni stealth hio, hio ndio latest kabisa.
Ukiachilia hio H-20 wana bomber ingine ni stealth hio inaitwa JH-XX pia ni stealth na ni hatari sana, hazina utofauti kwenye size na ile B-2 ya USA.

1981 Israel iliishambulia Iraq kwenye nuclear reactors zao na umbali ulikuwa ni 1100km haikutumika bomber yeyote, na hata ndege zilizoenda hazikuwa refuelled.

Sasa mkuu nikuulizze kwa nini Israel haina bomber? na hapo ndio napata mashaka kama kweli ni nuclear triad, Israel itatumia hizo F-15 na F-16 kushambulia adui zake within a range ya eneo hilo(middle east) japo F-15 itabeba nuclear bomb lakini haliwezi kuwa na damage kama litakalo bebwa na strategic bomber kama H-20 pia F-16,F15 even F-35 bado hazina uwezo wa range sawa na strategic bomber kama hizo za China.

Na hapo umejua kabisa Israel vita na China itapigwa asubuhi saa 2 na nusu, Israel imejipanga kupambana na majirani zake middle east, ila China inaeza pambana na nchi sehemu yeyote ile Asia na World wide kwa ujumla.

Sasa endelea kujua jericho 3 kama inaenda 6500km eti ndio inaeza pambana na nchi kama China au India, never happen.
 
Wangewamaliza Hizbullah Kwanza Wakati wa Vita Ya 2006

Waache wajiingize Vitani Waone Kitakacho Wkut
Kila leo wanawatwanga HAMAS Na HAMAS Wanapambana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti eeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama walichemka kwa Hizbullah 2006 unahisi wataweza nn hawa wapuuzi ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa inasubiria nini kuifuta kwenye ramani ya dunia. Israel inajilinda aingie basi mle aifute aone moto wake maamaee. Siyo mchezo pale kumbuka yakobo baba wa Israel alipigana na malaika wa Mungu sasa waje hawa Shia
Leta facts Israel inaweza sio porojo sijui Yakobo kafanyaje, hivi unajua Tel Aviv ni gays paradise? Unajua kuwa sheria ya Israel inaruhusu askari wao kuwa gay?inaruhusu wanawake kusagana, wanaume kubetuana, sheria hadi wana jeshi wanaruhusiwa, sasa bakia na story zako hizo wakati wenzio wanafanya ushetani.
 
GOD BLESS ISRAEL, AMERICA, THE KURDS AND SAUDI ROYAL FAMILY.

Kamoooonnn sema AMEN!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Samahani, kwani mkuu jamaa kafia nchini kwake iran ama? Na je ni helikopta au droni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jamaa kweli lilikuwa linachochea vurugu kwenye ubalozi wa Marekani nchini Iraq.Mbona baada ya kuwawa vurugu zimekoma ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…