Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Kumbe Thesis umekimbilia huku...turudi kule Kwenye Uzi wetu unijibu maswali yanguHata Assad wa syria ilitegemewa kuwa ataanguka baada ya miezi miwili tu lkn hadi leo ni takribani miaka saba na nchi inazidi kuimarika. Usimtazame Iran, tazama walio nyuma yake.
Sent using Jamii Forums mobile app