Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Naam; kilichokuwa kinasubiriwa na Pentago ni sifnature ya Trump tu sio zaidi wala pungufu. Commander in Chief alipotoa tu idhini generali kule kageuzwa mishikaki fasta. Ha ha ha. Ila uhuni waliofanya Iran kucoordinate vurugu ubalozi a Marekani huko Baghdad ulistahili.kujibiwa kwa onyo kali.
Unaita vurugu? Kumbuka kabla ya iyo vurugu Marekani ndie aliyeanza uchokozi kwa kuwaua Hezbollah.
 
Naam; kilichokuwa kinasubiriwa na Pentago ni sifnature ya Trump tu sio zaidi wala pungufu. Commander in Chief alipotoa tu idhini generali kule kageuzwa mishikaki fasta. Ha ha ha. Ila uhuni waliofanya Iran kucoordinate vurugu ubalozi a Marekani huko Baghdad ulistahili.kujibiwa kwa onyo kali.
Ebu soma hapo ni kauli ya msemaji wa Ayatollah. Iran siyo mchezo.

Trump through his gamble has dragged the U.S. into the most dangerous situation in the region,' advisor Hessameddin Ashena wrote on the social media app Telegram. 'Whoever put his foot beyond the red line should be ready to face its consequences.'
 
Liwagu, Wale sio Raia wa Iraq bali ni imported mamluki kutoka Iran na Syria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tayari waziri mkuu wa Iraq ame laumu mashambulizi yalio muuwa Commander cassem na Muhandis.

Naona US watakosa ushirikiano na serikali ya Iraq.
Wanafanya mashambulizi bila kuwa julisha wenyeji sijui wanajiamini kiasi gani.

Ngoja tusubiri kuona.

Huu mwaka huu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tayari waziri mkuu wa Iraq ame laumu mashambulizi yalio muuwa Commander cassem na Muhandis.

Naona US watakosa ushirikiano na serikali ya Iraq.
Wanafanya mashambulizi bila kuwa julisha wenyeji sijui wanajiamini kiasi gani.

Ngoja tusubiri kuona.

Huu mwaka huu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza huyo Waziri Mkuu wa Iraq ni kibaraka wa Iran,pili Marekani ndio inayotoa ulinzi kwa hiyo Serikali,tatu huyo Waziri Mkuu hana legitimate yoyote ya kuongea hayo sababu kwanza mbona haulizi Majeshi ya Iran yanafanya nini Iraq pia yeye alishaniuzulu aondoke zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya Iran na Marekani yataendelea kuwa hivi hivi mnaliana timing atakae kutwa kazubaa anapewa za uso. Leo Kamanda kauawa juzi Drone ghali sana ya US ilidunguliwa. Hii vita ya timing hainaga mshindi labda wafike kipindi wachore mstari chini wazipige uso kwa macho atakae kalishwa ndo yameishia hapo. Otherwise hii michezo haiishi leo wala kesho
 
Ebu soma hapo ni kauli ya msemaji wa Ayatollah. Iran siyo mchezo.

Trump through his gamble has dragged the U.S. into the most dangerous situation in the region,' advisor Hessameddin Ashena wrote on the social media app Telegram. 'Whoever put his foot beyond the red line should be ready to face its consequences.'
Hayo maneno binadamu yeyote anaweza kuyaongea chief. Tunasubiri vitendo.
 
Mkuu tayari waziri mkuu wa Iraq ame laumu mashambulizi yalio muuwa Commander cassem na Muhandis.

Naona US watakosa ushirikiano na serikali ya Iraq.
Wanafanya mashambulizi bila kuwa julisha wenyeji sijui wanajiamini kiasi gani.

Ngoja tusubiri kuona.

Huu mwaka huu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakizingua twaanzisha ISIS nyingine tuone kama hawatatuita. Afu hatuwahitaji Iraq

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kuwa hakuna mwenye hamu ya vita baina yao. Wote wanapigana mikwara tu, wanajua vyema athari za vita baina yao zitakavokuwa na matokeo mabaya kwa uchumi wao na mataifa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ninavyo hisi Iran inaweza kupotezea tu.
 
Ebu soma hapo ni kauli ya msemaji wa Ayatollah. Iran siyo mchezo.

Trump through his gamble has dragged the U.S. into the most dangerous situation in the region,' advisor Hessameddin Ashena wrote on the social media app Telegram. 'Whoever put his foot beyond the red line should be ready to face its consequences.'

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Waimba taarabu tu hao, hata usiwaamini hao ayatollahs
 
Back
Top Bottom