Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Hapa wairan wamepata pigo,na tatizo la mageneral wa Iran ni kupenda kuwa Frontline tofauti na mageneral wa nchi Kama Israel wanashinda wamejificha ndani,au mageneral wa marekani ambao hata Iraq hutembelea kea kushitukiza Tena usiku wa manane

Cheo cha General wa IRAN ni sawa na Cheo Cha Ukuruta au Koplo wa US au ISRAEL
 
Dunia nzima kumezuka taharuki na mafuta katika soko la dunia yamepanda kwa 4%. Ila unajua ni kwa nini Taifa lenye nguvu duniani wamefanya shambulizi la hatari na kutisha katika usalama wa dunia na kutangazia dunia wamemuondoa General mkuu wa majeshi ya Iran na vikosi maalumu vya Iran?

Nipo busy ila nitakuja kuelezea nguvu ya usalama na vile watu wanajuwa fanya mambo ya kutisha kwenye muda muafaka bila kosea shabaha.
 
January 3, 2020
Tehran, Iran

Mourners in a mosque after news that a top general in Iran's Revolutionary Guard has been killed in Iraq.
 
Acha ujinga wewe. Israel anamtegemea USA kwa kila kitu 100%,mpaka UN VETO anamtegemea ya USA.
Aahahah! hizo ni janja zao! Militarism strategies, kuhadaa ulimwengu mkuu! akili za kuambiwa?

Ni kama Mrusi anavo mtanguliza Iran ktk hili! kwani aliyetoboa siri ya Mosad kushambulia ni nani? but Mrusi amemshauri Iran alikubali km lilivo tangazwa, ili kuonyesha Dunia kwamba wana kinyongo na ku concetrate kwa USA,

Impactations itakuwa kwa Israel amabayo ndo mlengwa, na wayahudi wanalijua hili fika, wanajipa muda

Trump ametumiwa tu kusema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii akili ilioganda mda c mrefu usikose kurud tena kuja kufananisha na sadam huseein mamruki wa marekan wewe hata mambo yenyewe huyajui unashabikia Kama mpira!
Nyie wote mnaodhani Iran anauwezo huo nawaonea huruma Sana. Nilikuwa upande wa Saddam Hussein ile miaka ya 90s, kwa mikwala aliyokuwa akipiga Saddam Hussein nilijuwa Marekani kwishney. Maskini alipigwa kama mbwa koko roho ilituuma sana. Lkn ulikuwa ni ushabiki tu usio na uhalisia.

In a long run nikajagundua kwamba marekani yupo far away kwenye Hii game ya vita technologicaly ame advance Sana. Iran ana disadvantage kubwa Sana maana amezungukwa na American military base hapo Saudia, Kuwait na nyambizi kibao baharini kwa hiyo bora wapige mkwara WA maneno tuuu halafu wakaushe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbba Unapanik Kijana [emoji3][emoji3]
Kwanza huyo Waziri Mkuu wa Iraq ni kibaraka wa Iran,pili Marekani ndio inayotoa ulinzi kwa hiyo Serikali,tatu huyo Waziri Mkuu hana legitimate yoyote ya kuongea hayo sababu kwanza mbona haulizi Majeshi ya Iran yanafanya nini Iraq pia yeye alishaniuzulu aondoke zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Kibaraka wa IRAN Wamuache Alindwe Na IRAN Wao Wanamlinda Wa Nn ss ?!

Kwan Ililazimishwa Kutoa Ulinzi IRAQ Kwan IRAQ Kabla Wao Wapuuzi Kumuua Saddam Ilikua Ikilindwa Nanani ?!

Hehehe kwan unahisi m2 anapojiuzulu 2 hapo hapo ndio anatoka katika madaraka yake namajukumu yake pole sana Kijana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IRAN
Na ninavyo hisi Iran inaweza kupotezea tu.
IRAN Hawez Kupotezea Hili Suala Hata Dakika Moja Ila Hatatoa Jibu Kama Tunalolitegemea Ama Hatatoa Jibu Kwawakati Kama Tunaotegemea sisi

Nasababu kuu yakufanya hiv ni jamaa kauliwa ila hajauliwa ndani ya Mipaka Ya IRAN Ila Kama Angeuliwa Ndani Ya Mipaka Ya IRAN Kwasasa Mashariki Yakati Ingekua Haikaliki....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh[emoji16][emoji16][emoji3]Mashambulizi Yamefanyika Ndani Ya IRAN Yawapi [emoji23][emoji23][emoji23] Volatility, IRAN Hajawahi Kumtia Kidole Mtu Wala Hajawahi Kumchokoza Mtu Ila Narudia Tena
WAIRAN Watauliwa Popote Ulimwenguni Ila Usitegemee Shambulio Kama Hilo Ndani Ya Mipaka Ya IRAN

Kama US Wangerusha Hata Kwabahati Mbaya Jiwe Ndani Ya IRAN Kwasasa Mashariki Yakati Ingekua Haikaliki.........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom