Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

"Officials reminded Trump that after the Iranians mined ships, downed the U.S. drone and allegedly attacked a Saudi oil facility, he hadn’t responded. Acting now, they said, would send a message: “The argument is, if you don’t ever respond to them, they think they can get by with anything,” one White House official said. Source-The Washington Post Magazine
 
Kila nchi ina vyanzo vyake inavyo tegemea kuendesha serikali kwa hiyo mapato makubwa yalitokana na mafuta sasa kama mafuta hauzi ataiendeshaje

Kila mtu anajua Iran na mataifa mengi mashariki ya kati yanajiendesha kwa mafuta licha ya kwamba Iran ina viwanda vingi lakini kumbuka hata bidhaa zake zimewekewa vikwazo.
Hizo kodi unazo sema haziwezi kutosha kuendesha taifa kama Iran.
Utafananishaje matumizi ya tz na Iran?
Yaan bajeti ya mwaka mzima ya tz ni sawa na bajeti ya ulinzi tu ya Iran sasa hapo utafananishaje?
Matumizi ya kuvisaidia (ambayo kimsingi ndio yanatumia pesa nyingi sana) vikundi vya kigaidi sio takwa la wengi.
 
NI kweli Iran hana uwezo wa kupambana na Marekani lakini hata hivyo unawachukulia poa mno Iran! Usisahau Utawala wa Iran upo pale kwa miaka 40, na kwa muda wote huo US hawajawahi kuutaka ule utawala hata mara moja!!! Kwa tabia za US, Iran wangekuwa ni wepesi kama unavyojaribu kuwaonesha, basi ule utawala ungekuwa umeondolewa hata kabla Saadam Hussein hajaondolewa!! Na usisahau, hao hao unawaongelea kwa lugha nyepesi kiasi hicho ndio walisababisha hata heshima ya Jimmy Carter ishuke na kushindwa kurudi madarakani awamu ya pili baada ya Iran kuwashililia mateka maafisa ubalozi kwa takribani mwaka mmoja na ushee na military rescue mission zote zili-fail hadi kiongozi aliyeingia baada ya Carter alipoamua kurudi mezani na ndipo mateka wakaachiwa!!!!

So, YES, Marekani ni too strong kwa Iran lakini na Iran wenyewe sio too weak kiasi hicho!!! Ni kutokana na hilo, ndo maana wakati sisi huku tukifanya ushabiki, mataifa mengine including some Americans wenyewe wanahofu kwamba yanaweza kuzuka mambo makubwa zaidi!! Iran ka-survive pale huku akiwa na uadui mkubwa na Iraq, Israel, Saudi Arabia; na wote hao ni washirika wakubwa wa US lakini jamaa bado wameweza ku-survive!!
Tatzo lao uta waelewesha ila kuelewa ss mtihan...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHINA RUSSIA TURKEY INDIA Wananunua wese la IRAN

Kwan CHINA na RUSSIA Hawajamzidi IRAN Au Lazma Ufanze Biashara Na US ?!


US Ndio Wana Iharbu Dunia Shenzi Wale

Sent using Jamii Forums mobile app
China hathubutu!
Huawei na 5g ni funzo la kutosha, juzi kati wachina na wamarekani wamewekeana saini mikataba ya kibiashara, hilo lisingetokea kama china ha- comply na vikwazo.

Ambition za kuifuta Israel zinawagharimu pakubwa waajemi na waarabu.
 
The New York Times reported that the Pentagon used highly classified information from informants, electronic intercepts, reconnaissance aircraft and other surveillance techniques to track the Iranian general’s movements.

A Gulf newspaper reported the strike involved modified Hellfire R9X ‘Ninja’ missiles, which have warheads with pop-out spinning blades designed to minimise collateral damage.

Instead of exploding, the missile is armed with six long blades that extend just before impact, effectively shredding their targets.
 
Dah jamaa hua nakufatilia sana na hua nakuelewa sanaa ila kuna muda hua unabishana kwa mahaba sio kama unavyotuaminisha hapa
Ipi hiyo?

Predator (drone) ni stealth?

Utakuwa haupo serious!

Mkuu unapo to a hoja zingatia ukweli na si ushabiki au hisia!
Mimi daima nasimama kwenye ukweli japokuwa muda mwingine inauma!

Sent using Jamii Forums mobile app
Zile drones zilikua stilth ww unataka kutuaminisha nn hapa ss kwamfano ?!....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Qasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya kikurdi vinavyoungwa mkono na Iran, ameuawa na vikosi vya Marekani nchini Iraq. Pentagon imethibitisha kuwa aliuawa kufuatia "amri ya rais".

Hayo yamejiri kufuatia ripoti ya mashambulio katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Baghdad, ambayo ilisema watu kadhaa wameuawa.

Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Javad Zarif, ametaja hatua hiyo kuwa "hatari na uchokozi wa kishenzi".

Gen. Soleimani alikuwa mtu mashuhuri kwa utawala wa Iran. Kikosi chake cha Kikurdi kilikuwa kinaripoti moja kwa moja kwa kiongozi mkuu wa kidini wa Iran Ayatollah Ali Khamenei na alisifiwa kama shujaa wa kitaifa.

Rais wa Marekani Donald Trump aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter picha ya bendera ya Marekani baada ya kutangazwa kuuawa kwa jenerali hiyo.

Ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema kuwa Jenerali Soleimani na maafisa wa waasi wanaoungwa mkono na Iran nwalikuwa wakiondoka katika uwanja wa ndege wa Baghdad kwa kutumia magari mawili wakati waliposhambuliwa na ndege za Marekani zisizokuwa na rubani karibu na eneo kuweka mizigo.

Kamanda huyo aliripotiwa kusafiri kutoka Lebanon au Syria. makombora kadhaa yaliripotiwa kushambulia msafara wao, ambapo karibu watu watano wanaaminiwa kuawa.

Taarifa iliyotolewa na Pentagon ilisema: "Kufuatia agizo la rais, vikosi vya jeshi la Marekani vilichukua hatua ya kuwalinda wafanyikazi wake nje ya nchi kwa kumuua Qasem Soleimani,"

"Hatua hii ililenga kudhibiti mipango ya Iran ya mashabulio ya siku zijazo. Marekani itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuwalinda watu wetu na maslahi yetu kote duniani," ripoti hiyo iliendelea kusema.

Shambulio hilo la ndege zisizo na rubani linakuja baada ya siku kadhaa za maandamano ambapo waandamaanaji waliokuwa wakishambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad kukabiliana na vikosi vya Marekani katika eneo hilo.

Pentagon inasema jenerali Soleimani aliidhinisha mashambulio dhidi ya ubalozi wa Marekani.


Qasem Soleimani ni nani?
  • Tangu mwaka Since 1998, Meja Jenerali Qasem Soleimani ameongoza vikosi vya kikurdi nchini Iran- kengo maalum cha jeshi la Iran (Revolutionary Guards) ambacho huendesha opareshani zake nje ya nchi.
  • Alikuwa kiungo muhimu katika mapambano ya kimkakati mashariki ya kati kupitia vikosi vya Kikurdi, ambavyo vinaendesha oparesheni yake kwa ushirikiano na jeshi la ulinzi la Iran.
  • Meja jenerali Qasem Soleimani, na vikosi vyake vinafanya kazi chini ya kiongozi mkuu wa kidini, Ayatollah Ali Khamanei, badala ya kufuata muundo wa kawaida wa kijeshi wa Iran.
  • Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo alitaja jeshi la ulinzi la Iran Revolutionary Guards na washirika wake vikosi vua Kikurdi kama shirika la kigeni la ugaidi mwezi April mwaka jana.
Cold war still exist!!!mh saw
 
China hathubutu!
Huawei na 5g ni funzo la kutosha, juzi kati wachina na wamarekani wamewekeana saini mikataba ya kibiashara, hilo lisingetokea kama china ha- comply na vikwazo.

Ambition za kuifuta Israel zinawagharimu pakubwa waajemi na waarabu.
Waajemi wanasimamia misimamo yao hawatetereki na wana endelea kwa hali ya juu kabisa


Vikwazo vinwayumbisha ila havitakaa viwaangushe kamweeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaelekea CIA wana "mole" huko Iran au kwenye jeshi lenyewe chochote watakachopanga kinajulikana mubashara pentagon.
Ni kichapo tu kwa Iran kelele zilizidi

SOLEIMAN atakuwa kesha kabidhiwa ma bikra 72 huko aliokenda yuko bize.
 
Matumizi ya kuvisaidia (ambayo kimsingi ndio yanatumia pesa nyingi sana) vikundi vya kigaidi sio takwa la wengi.
Una uhakika na unacho kisema au uaendeshwa na mihemuko?
 
Sasa ww kwa mfano ata kama wana F35 itaenda kushambulia vipi anga za Iran? Wakati new model drone ambayo eti wanasema haionekani ilichakazwa ata haijaingia kwenye anga la Iran?

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji769][emoji2400][emoji2398] Marekani Kama mchawi hashindwi kitu chochote. Kuanguliwa kwa ile drone kutawafanya waingie tena mahabara watengeneze drones nyingine wanapitisha tena ili kuhakikisha kwamba jamaaa walibahatisha au vip? Yaani kupambana na USA unahitaji ubongo wenye uwezo mkubwa wa kufanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran is a key Middle Eastern ally of Russia, an important strategic partner. By assassinating Soleimani and putting Us on a military collision course with Tehran, Trump is not only menacing the Islamic Republic, he is poking the Russian bear in the chest, back and face too.
Source: Trump's New Year killing of Soleimani finally blows up the fake Russiagate narrative
====
Mbali na msaada wa haraka wanoweza kupata kutoka Moscow, Iran itasimamia show peke yake.
Show ya Kondeboy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Ndio Mnapo Feli Sasa Kama Jamaa Wnaweza Kuwapiga Wairan Wakiwa SYRIA Kwanini Wanachemka Kuwapiga Ndani Ya IRAN Siku Mji Wowote Wa IRAN Ukipigwa Nitasema Kama Sasa Rasmi IRAN Ni Paper Tiger Hana Maajabu Kama Ambayo US Anafanya Anauwezo Wakupiga Popote Wanapopatikana Wairan Nje Ya IRAN Sababu IRAN Hana Hatimiliki Ya Space Ya Nchi Nyengine Sasa Unahisi Atawalinda Vp Watu Wake ?!

US Anashambulia WairaN Waliopo IRAQ Sababu Anamiliki Karibu Kila Kiingiacho IRAQ Kwa Kila Njia Yemen Halkadhalika


US Akiipiga IRAN Ndani Yamipaka Yake Hapa Sitaongea Tena Lolote



Nb:Sipendi Nawala Sishabikii VITA....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka Iraq nae anazalisha mafuta na machafuko yaliyopo Iraq ndio faida kwa USA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaelekea CIA wana "mole" huko Iran au kwenye jeshi lenyewe chochote watakachopanga kinajulikana mubashara pentagon.
Ni kichapo tu kwa Iran kelele zilizidi

SOLEIMAN atakuwa kesha kabidhiwa ma bikra 72 huko aliokenda yuko bize.
Kwa Marekani kuwa na mole ndani ya Iran sio jambo rahisi, lakini kuna uwezekano mkubwa wanaweza kuwa na informants ndani ya security agencies za Iraq, na ndio maana iliwezekana kwao kufanya shambulizi ndani ya Iraq.
 
Hakuna aliyeamrisha Uvamizi tena ubalozi wa USA Iraq.

Sasa hivi wote waliokuwa na Kidomomo wamefyata mkia. Wanaishia kutoa matamko tu, wanaogopa kumsindikiza Soleiman, timing na kichapo chenyewe kimewatia ganzi hawaamini.
 
Back
Top Bottom